Kutafuna ubani ni haramu, wapi huko ?
Muanzilishi wa Singapore Lee Kuan Yew,aliyeaga dunia jumatatu aliharamisha utafunaji wa ubani
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili13 Jan
Ubani wa kutafuna wamtia matatani mtoto
11 years ago
Mwananchi16 Mar
Operesheni wahamiaji haramu imeishia wapi?
5 years ago
Michuzi21 Mar
WAHAMIAJI HARAMU 51 WAKAMATWA MAKURUNGE HUKO BAGAMOYO
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/IMG-20200320-WA0056-1024x576.jpg)
NA MWAMVUA MWINYI,PWANI
JESHI la Polisi mkoani Pwani, kwa kushirikiana na Idara ya Uhamiaji wamefanikiwa kuwakamata wahamiaji haramu 51, raia wa Ethiopia waliokuwa wameingia nchini kupitia bandari bubu ya Makurunge katika wilaya ya Bagamoyo.
Idadi hiyo inafikia wahamiaji haramu 100 baada ya wengine 49 kukamatwa juzi ,Kidomole,Fukayose.
Kamanda wa polisi mkoani hapa,Wankyo Nyigesa alieleza, raia hao wamekabidhiwa kwa vyombo vya dola kwa taratibu za kisheria .
“Raia hawa wamekamatwa usiku wa...
10 years ago
Vijimambo07 Oct
JE UNATAKA KUJUA WEMA SEPETU KAZALIWA MWAKA GANI, WAPI NA KASOMA WAPI! SOMA HAPA
![wema sepetu bongoclan.co.tz](http://www.bongoclan.co.tz/wp-content/uploads/2014/10/wema-sepetu-bongoclan.co_.tz_.jpg)
![wema sepetu bongoclan.co.tz..](http://www.bongoclan.co.tz/wp-content/uploads/2014/10/wema-sepetu-bongoclan.co_.tz_..-300x201.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/Sajent-1.jpg?width=650)
SAJENTI, SIASA NA MALEZI YA MTOTO WAPI NA WAPI?
9 years ago
Dewji Blog12 Nov
Kituo cha kuendeleza Samaki Kanda ya Kati chatoa siku saba kwa wavuvi haramu kusalimisha zana haramu wanazotumia
Baadhi ya nyavu haramu zisizoruhusiwa kutumika kuvulia samaki kwenye bwawa la Kijiji cha Mwanzugi,wilayani Igunga.
Na. Jumbe Ismailly
[IGUNGA] Kituo cha kuendeleza samaki Kanda ya kati,chenye makao yake makuu wilayani Igunga,Mkoani Tabora kimetoa muda wa siku saba kuanzia sasa kwa watu wote wanaojishughulisha na uvuvi...
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Friends of Simba watia ubani
9 years ago
Global Publishers30 Dec
Jini kabula amwanika wa ubani wake
Msanii wa filamu Bongo, Miriamu Jolwa ‘Jini Kabula’.
NA gladness mallya
MSANII wa filamu Bongo, Miriamu Jolwa ‘Jini Kabula’ hivi karibuni alimwanika mpenzi wake kwenye mtandao wa kijamii wa WhatsApp na kuambatanisha na maneno ya kimahaba.
Jini Kabula aliweka picha ya mpenzi wake huyo ambaye hakutaka kumtaja jina huku akiambatanisha na maneno ya kimahaba na alipoulizwa kuhusu suala la ndoa alisema halipo bali ni marafiki tu.
“Huyu ni rafiki yangu sana na niliweka picha tukiwa pamoja kwenye...
10 years ago
Mtanzania09 Jun
Dk.Slaa asaka ubani wa urais Ulaya
NA MWANDISHI WETU, DAR
WAKATI vuguvugu la kusaka mgombea urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) likishika kasi, Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Willibrod Slaa, ameondoka kwenda barani Ulaya kusaka ubani wa urais kwa muda wa siku nane.
Dk. Slaa ambaye amekuwa akitajwa kuwa anaweza kuteuliwa na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kugombea urais Oktoba mwaka huu kutokana na rekodi yake, anafanya ziara hii ikiwa ni ya pili baada ya ziara ndefu aliyoifanya hivi karibu nchini Marekani.
Taarifa...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10