Dk.Slaa asaka ubani wa urais Ulaya
NA MWANDISHI WETU, DAR
WAKATI vuguvugu la kusaka mgombea urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) likishika kasi, Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Willibrod Slaa, ameondoka kwenda barani Ulaya kusaka ubani wa urais kwa muda wa siku nane.
Dk. Slaa ambaye amekuwa akitajwa kuwa anaweza kuteuliwa na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kugombea urais Oktoba mwaka huu kutokana na rekodi yake, anafanya ziara hii ikiwa ni ya pili baada ya ziara ndefu aliyoifanya hivi karibu nchini Marekani.
Taarifa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziDK. MALECELA ASAKA WADHAMINI KATIKA KUGOMBEA NAFASI YA URAIS
10 years ago
GPLDK. MALECELA ASAKA WADHAMINI KATIKA KUGOMBEA NAFASI YA URAIS
10 years ago
Mwananchi09 Jun
Dk Slaa aenda ziarani Ulaya kupikwa
10 years ago
VijimamboKATIBU MKUU WA CHADEMA DR WILBROAD SLAA AKIWA ZIARANI BARANI ULAYA
11 years ago
Mtanzania28 Jul
Dk. Slaa: Tumejiandaa urais 2015
![Dk. Wilbrod Slaa](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Slaa.jpg)
Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Wilbrod Slaa
Na Esther Mbussi, Dar es Salaam
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, amesema chama chake kimejipanga vizuri kukabiliana na mgombea yeyote wa urais atakayeteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika uchaguzi mkuu ujao.
Amesema kwamba, pamoja na CCM kubuni mbinu ya kupandikiza baadhi ya watu wanaoeleza jinsi wanavyotaka kuwania urais, Chadema hawatakurupuka kutangaza mgombea wao kwa sababu wanajua madhara ya...
11 years ago
Mwananchi19 Jul
Dk Slaa: Tulishinda urais 2010
10 years ago
Vijimambo29 Mar
BREAKING NEWZZZZ RIPOTI MPYA YAMBIO ZA URAIS YATOKA,NI LOWASSA NA MWIGULU KWA CCM,CHADEMA NI SLAA
![](https://scontent-mad.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/22704_1569880066600782_5729300747823912878_n.jpg?oh=fb2b3e73471792eff272f55885ecb6d5&oe=55BA6448)
![](https://fbcdn-sphotos-g-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xat1/v/t1.0-9/11088391_1569879943267461_6356965142291801367_n.jpg?oh=98c95caf8f7e226648aac5ff9fb1e72d&oe=55A2A432&__gda__=1438144826_c25d0eba2b617db29bac257850f9a5af)
![](https://scontent-mad.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/11083873_1569879993267456_2357284592050219961_n.jpg?oh=c8ead43229af3eba53df416d885472cd&oe=55B11F22)
![](https://scontent-mad.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/11113836_1569880109934111_7712167609056260833_n.jpg?oh=fe0ce65d12eaf144fed451ec7cb4b46b&oe=55B06A9F)
Ripoti hi imetolewa hi leo Jijini DSm,Ripoti yote itawajia
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Friends of Simba watia ubani
10 years ago
BBCSwahili28 Mar
Kutafuna ubani ni haramu, wapi huko ?