Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk Slaa: Tulishinda urais 2010

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema kuwa kinaamini kilishinda uchaguzi wa rais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010 chini ya mfumo wa vyama vingi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mtanzania

Dk. Slaa: Tumejiandaa urais 2015

Dk. Wilbrod Slaa

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Wilbrod Slaa

Na Esther Mbussi, Dar es Salaam

KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, amesema chama chake kimejipanga vizuri kukabiliana na mgombea yeyote wa urais atakayeteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika uchaguzi mkuu ujao.

Amesema kwamba, pamoja na CCM kubuni mbinu ya kupandikiza baadhi ya watu wanaoeleza jinsi wanavyotaka kuwania urais, Chadema hawatakurupuka kutangaza mgombea wao kwa sababu wanajua madhara ya...

 

10 years ago

Mtanzania

Dk.Slaa asaka ubani wa urais Ulaya

DK-SLAANA MWANDISHI WETU, DAR
WAKATI vuguvugu la kusaka mgombea urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) likishika kasi, Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Willibrod Slaa, ameondoka kwenda barani Ulaya kusaka ubani wa urais kwa muda wa siku nane.
Dk. Slaa ambaye amekuwa akitajwa kuwa anaweza kuteuliwa na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kugombea urais Oktoba mwaka huu kutokana na rekodi yake, anafanya ziara hii ikiwa ni ya pili baada ya ziara ndefu aliyoifanya hivi karibu nchini Marekani.
Taarifa...

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Mwananchi

NANI NI NANI URAIS: DK Willibroad Slaa: Katibu Mkuu wa Chadema

Historia yake Dk Willibrod Slaa ni Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Slaa alizaliwa Oktoba 29, 1948 kijijini Kwermusi, Wilaya ya Mbulu (Oktoba atafikisha umri wa miaka 67). Slaa alisoma Shule ya Msingi Kwermusi iliyoko wilayani Mbulu mwaka 1958-1961 na baadaye Shule ya Kati (Middle School) ya Karatu kati ya mwaka 1962-1965.

 

9 years ago

Vijimambo

MKE HALALI WA NDOA WA DK.WILBROD SLAA, MBUNGE ROSE KAMILI AMLIPUA DR SLAA


Mbunge wa Viti Maalumu kupitia chadema,Rose Kamili,akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo jioni kuhusiana na tuhuma alizozitoa mume wake kwamba waliishi kwa maisha ya kula mihogo na familia yake ili kuhakikisha chadema inastawi na kuimarika jambo ambalo si la kweli walikuwa na maisha mazuri ya kawaida tu na kusema kuwa Dk.Slaa anapaswa awaombe radhi wataznzania kwa kufafanisha kula mihogo kuwa ni umaskini na kuongeza kwa kusema mbona ukienda katika mahoteli makubwa...

 

9 years ago

TheCitizen

Why 2010 polls were tough for JK

President Jakaya Kikwete’s ten years tenure in office ends in October. He would be remembered as a President who came to office riding on the wave of popularity. But his popularity only lasted for five years.

 

10 years ago

Mtanzania

Rekodi ya 2010/11 huenda ikajirudia

NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

LIGI Kuu ya Vodacom msimu huu imekuwa na utata mkubwa kutokana na ugumu uliogubika mbio za ubingwa.Mpaka sasa mzunguko wa pili wa ligi ukiwa unaendelea, bado ni vigumu kutabiri ni timu gani inaweza kutwaa ubingwa.Kileleni kwenye msimamo wa ligi hiyo kuna vita kali baina ya mabingwa watetezi Azam FC na Yanga, wote wakiwa na pointi 25 baada ya kushuka dimbani mara 13, lakini Azam FC wako juu kutokana na uwiano wake mzuri wa tofauti ya mabao ya kufunga na...

 

10 years ago

BBCSwahili

A-Kusini kombe la 2010 lilipiwa

Magazeti ya Afrika Kusini yadai nchi hiyo kweli ililipa dola milioni kumi wakati ikidai kuandaa kombe la kandanda la 2010

 

11 years ago

Mwananchi

Ufaransa kafuta mzimu wa 2010?

Timu ya taifa ya Colombia imefanikiwa kuibuka na ushindi wa kwanza muhimu katika mchezo wao wa hatua ya makundi ya Kombe la Dunia baada ya kuichapa Ugiriki kwa mabao 3-0 jana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani