Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


A-Kusini kombe la 2010 lilipiwa

Magazeti ya Afrika Kusini yadai nchi hiyo kweli ililipa dola milioni kumi wakati ikidai kuandaa kombe la kandanda la 2010

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

USHAHIDI WA RUSHWA WALIYO TOA SOUTH AFRICA NA KUPEWA NAFASI YA KUANDAA KOMBE LA DUNIA 2010


Kwa takribani wiki mbili sasa neno ‘rushwa’ limekuwa likiliandama sana shirikisho la soka duniani FIFA.Wiki iliyopita maafisa 10 wa shirikisho hilo walikamatwa na serikali ya Marekani kwa kujihusisha na skendo ya ubadhirifu wa £100m, jambo ambalo lilipelekea wadau mbalimbali kumuomba Rais wa shirikisho hilo Sepp Blatter kujiuzulu. Jerome Valcke
Jerome Valcke Hata hivyo Blatter amegoma kufanya hivyo, lakini ikiwa suala la ubadhirifu wa £100m likiwa bado la moto, leo hii umetolewa ushahidi...

 

11 years ago

Michuzi

marekani yaifunga Ghana 2-1 kulipiza kisasi cha kutolewa nayo mapema mwaka 2010 afrika kusini

 Kocha wa Marekani ambaye ni mshambuliaji nyota wa zamani wa Ujerumani Jurgen Klinsmann na wachezaji wake wakishangilia bao la kwanza lililofungwa sekunde ya kwanza na Clint Dempsey pichani chini Goli la dakika ya kwanza lililowekwa kimiani na Clint Dempsey na lingine la dakika za lala salama la rizevu John Brooks katika mchezo  uliopigwa usiku uliopita mjini Natal, Brazil,  ni magoli ambayo yameiwezesha Marekani kulipiza kisasi dhidi ya Ghana waliowafunga 2-1 na kuwafungasha virago...

 

9 years ago

BBCSwahili

Kombe la dunia lilichangia mimba zaidi Afrika Kusini

Mashindano ya kombe la dunia ya mwaka 2010 nchini Afrika Kusini, yalichochea ongezeko la idadi ya watoto wa kiume waliozaliwa miezi tisa baada ya mashindano hayo kuanza.

 

9 years ago

BBCSwahili

Sudan Kusini kucheza mechi ya kwanza Kombe la Dunia

Sudan Kusini inajiandaa kucheza mechi yake ya kwanza kabisa ya kufuzu kwa Kombe la Dunia itakapokutana na Mauritania Jumatano.

 

9 years ago

TheCitizen

Why 2010 polls were tough for JK

President Jakaya Kikwete’s ten years tenure in office ends in October. He would be remembered as a President who came to office riding on the wave of popularity. But his popularity only lasted for five years.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wassira aonya makosa ya 2010

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Steven Wassira, amesema makosa ya mwaka 2010 yaliyofanyika katika chaguzi za serikali za mitaa, vitongoji na vijiji yakirudiwa tena, wapinzani watachukua...

 

10 years ago

Mtanzania

Rekodi ya 2010/11 huenda ikajirudia

NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

LIGI Kuu ya Vodacom msimu huu imekuwa na utata mkubwa kutokana na ugumu uliogubika mbio za ubingwa.Mpaka sasa mzunguko wa pili wa ligi ukiwa unaendelea, bado ni vigumu kutabiri ni timu gani inaweza kutwaa ubingwa.Kileleni kwenye msimamo wa ligi hiyo kuna vita kali baina ya mabingwa watetezi Azam FC na Yanga, wote wakiwa na pointi 25 baada ya kushuka dimbani mara 13, lakini Azam FC wako juu kutokana na uwiano wake mzuri wa tofauti ya mabao ya kufunga na...

 

11 years ago

Mwananchi

Ufaransa kafuta mzimu wa 2010?

Timu ya taifa ya Colombia imefanikiwa kuibuka na ushindi wa kwanza muhimu katika mchezo wao wa hatua ya makundi ya Kombe la Dunia baada ya kuichapa Ugiriki kwa mabao 3-0 jana.

 

11 years ago

Mwananchi

Dk Slaa: Tulishinda urais 2010

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema kuwa kinaamini kilishinda uchaguzi wa rais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010 chini ya mfumo wa vyama vingi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani