Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Alalamikia GGM kumpora ardhi

KAMPUNI ya Geita Gold Mine (GGM) inatuhumiwa kumpora mzawa, Hosea Katampa, eneo lake lililopo Lijeti namba tatu licha ya kwenda mahakamani kulidai na kupewa kihalali. Katampa alitoa malalamiko hayo juzi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MAMILIONI YATENGWA KUMPORA DIAMOND MTOTO!

Sakata la yule jamaa aitwaye King Lawrence, raia wa Uganda mwenye maskani yake nchini Afrika Kusini ‘Sauz’ anayedai kuwa mtoto wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ aliyempata kupitia kwa mwandani wake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’, Latifah Nasibu ‘Princes Tiffah’ siyo wa mwanamuziki huyo, limechukua sura mpya.Jamaa huyo amefunguka upya kwamba, ametenga...

 

9 years ago

Michuzi

MASHALI AMDUNDA BIGRIGHT NA KUMPORA SIMU NA PESA

Bondia Thomas mashale wa manzese jijini Dar es salaam alifanya kitendo cha kusikitisha na kushangaza umma katika ukumbi wa friends corner uliopo Manzese ,pale alipomvamia katibu wa ngumi za kulipwa nchini Ibrahim Kamwe (bigright) kumpiga na kumpora simu na pesa. Akizungumza na vyanzo habari hizi Ibrahim kamwe alisema.”Nilikuwepo ukumbini  hapo friends corner nikishuhudia mpambano wa Jonas Segu na idd Pearali kwa kuwa watu walikuwepo ni wengi mno na pale mbele kulikuwa na fujo za...

 

10 years ago

GPL

JOHARI ATUBU KUMPORA RAY KWA MAINDA

Mwandishi Wetu/Ijumaa
STAA wa sinema za Bongo, Blandina Chagula ‘Johari’ amekiri kwamba wakati anaingia kwenye uhusiano wa kimapenzi na nyota wa fani hiyo, Vincent Kigosi ‘Ray’ alijua yupo na nguli wa filamu, Ruth Suka ‘Mainda’. Staa wa sinema za Bongo, Blandina Chagula ‘Johari’. Katika mahojiano mafupi na gazeti hili yaliyofanyika Jumanne iliyopita jijini Dar, hali ilikuwa...

 

9 years ago

StarTV

Mtuhumiwa utekaji malori, uporaji ameuawa akijaribu Kumpora Silaha Polisi

Kijana mmoja aliyekuwa anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kuteka malori matano eneo la Milade barabara kuu ya Singida-Mwanza na kuwapora abiria mali na fedha ameuawa kwa kupigwa risasi wakati akijaribu kumvamia askari na kumnyang’anya silaha ili atoroke chini ya ulinzi.

Kijana huyo Dotto Wiliam mwenye miaka 30 mkazi wa Kibaoni Mjini Singida anadaiwa kukiri kutega mawe barabarani na kupora, jana majira ya saa tano usiku na kukubali kwenda pori la Minyunge-Singida kuonesha bunduki aliyoficha...

 

10 years ago

Mwananchi

DC ajitosa mgogoro wa GGM na wananchi

Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Geita (GGM) imeshauriwa kukaa meza moja na wananchi wanaoishi jirani na mgodi wake ili kutafuta ufumbuzi wa tatizo linalolalamikiwa la ulipuaji wa miamba.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mahakama yakamata mali ya GGM

Gari ya Kampuni ya Uchimbaji wa Dhahabu mkoani Geita (GGM) imekamatwa na wakala wa kukamata mali wa Mahakama Kuu jijini Mwanza huku moja ikikimbia baada ya kampuni hiyo kushindwa kulipa...

 

11 years ago

Mwananchi

Mwambusi alalamikia waamuzi

Kocha wa Mbeya City, Juma Mwambusi amesema mdudu mbaya anayefanya kiwango cha soka nchini kishindwe kukua ni waamuzi wasiokuwa wadilifu katika uchezeshaji wao hasa kwa timu ndogo zinazoibuka na kuonyesha ushindani mkubwa dhidi ya timu kubwa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wananchi waandamana kupinga ulipuaji GGM

WANANCHI wa kijiji cha Katoma mkoani hapa wameandamana kwa Mkuu wa Wilaya ya Geita, Omar Manguchie, kupinga shughuli za ulipuaji miamba ya dhahabu unaoendeshwa na kampuni ya dhahabu ya Geita...

 

9 years ago

Mwananchi

Dk Makaidi alalamikia fitna Masasi

Mgombea ubunge Jimbo la Masasi mkoani Mtwara, kwa tiketi ya NLD, Dk Emmanuel Makaidi amesema anahisi harufu ya hujuma, lakini haihofii na ameapa kupambana hadi ashinde.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani