Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mahakama yakamata mali ya GGM

Gari ya Kampuni ya Uchimbaji wa Dhahabu mkoani Geita (GGM) imekamatwa na wakala wa kukamata mali wa Mahakama Kuu jijini Mwanza huku moja ikikimbia baada ya kampuni hiyo kushindwa kulipa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

DPP AWASILISHA MAOMBI MAHAKAMA YA MAFISADI KUTAKA AKAUNTI MBILI ZENYE SHILINGI BILIONI 16.7 ZA UPATU ZIWE MALI YA SERIKALI

Na Karama Kenyunko, Michuzi Globu ya Jamii.
MKURUGENZI Mashtaka nchini (DPP) Biswalo Mganga amewasilisha maombi katika Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi ( Mahakama ya Mafisadi), ya kuomba kutaifishwa kwa akaunti mbili za USD na moja ya EURO zenye jumla ya Shilingi bilioni 16.7 za upatu kuwa mali ya Serikali kutokana na washtakiwa hao raia wa kigeni kutofika mahakamani
Washtakiwa hao ni  raia wa Ujerumani Manon Huebenthal na raia wa Uingereza Frank Ricket ambapo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Alalamikia GGM kumpora ardhi

KAMPUNI ya Geita Gold Mine (GGM) inatuhumiwa kumpora mzawa, Hosea Katampa, eneo lake lililopo Lijeti namba tatu licha ya kwenda mahakamani kulidai na kupewa kihalali. Katampa alitoa malalamiko hayo juzi...

 

10 years ago

Mwananchi

DC ajitosa mgogoro wa GGM na wananchi

Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Geita (GGM) imeshauriwa kukaa meza moja na wananchi wanaoishi jirani na mgodi wake ili kutafuta ufumbuzi wa tatizo linalolalamikiwa la ulipuaji wa miamba.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wananchi waandamana kupinga ulipuaji GGM

WANANCHI wa kijiji cha Katoma mkoani hapa wameandamana kwa Mkuu wa Wilaya ya Geita, Omar Manguchie, kupinga shughuli za ulipuaji miamba ya dhahabu unaoendeshwa na kampuni ya dhahabu ya Geita...

 

10 years ago

TheCitizen

GGM promised Sh1.2bn for Kili HIV/Aids challenge

According to AngloGold Ashanti Sustainability Vice President Simon Shayo, organisers of the event had planned to raise Sh1.5 billion this year.

 

9 years ago

Michuzi

MGODI WA DHAHABU WA GEITA (GGM), UMEZALISHA AJIRA ZAIDI YA 200

 Mwandishi Wetu, GeitaMGODI wa dhahabu wa geita (GGM), umezalisha ajira zaidi ya 200 kwa jamii baada kuwekeza zaidi ya Sh1.7 Bilioni kupitia programu ya Uchumi na Maendeleo (GEDP) ambayo imelenga kusaidia wakulima na wajasiriamali wadogo na wa kati, wanaoishi jirani na mgodi.


Akizungumza wakati Mkuu wa Mkoa wa Geita, Fatma Mwassa alipotembelea mgodini hapo juzi, Makamu wa Rais wa Anglo Gold Ashanti/GGM, Simon Shayo alisema mpango umelenga kubadili hali za maisha ya wakazi kuwa tofauti na...

 

10 years ago

Dewji Blog

GGM wamteua Lady Jaydee kuwa balozi wa Kili Challenge

1 (1)

Makamu wa Rais wa Kampuni ya Geita Gold Mine (GGM), Simon Shayo, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu uteuzi wa balozi wa kampeni ya Kili Challenge, kulia kwake ni Afisa mawasiliano wa kampuni hiyo, Tenga Tenga na kushoto kwake ni Balozi mpya wa kampeni hiyo, Judith Wambura – Lady Jaydee na Mwenyekiti wa TACAIDS, Dk. Fatma Mrisho.

3

Balozi wa kampeni ya Kili Challenge, Judith Wambura – Lady Jaydee akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kampeni hiyo inayolenga...

 

10 years ago

Michuzi

Halmashauri ya Geita kupata wastani wa Dola za Marekani milioni 1.8 kutoka GGM

Na Greyson Mwase, Dar es Salaam
Halmashauri ya Geita  itaanza kupata  wastani wa  Dola za Marekani milioni 1.8 kwa mwaka  kutoka Mgodi wa  Dhahabu wa  Geita (GGM) baada ya kusainiwa rasmi kwa marekebisho ya mkataba  baina ya kampuni hiyo na Serikali.
Hayo yamesemwa na Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo  kabla ya kutiliana saini marekebisho ya mkataba huo  ambao uliosainiwa  awali mwaka 1999. Awali, Halmashauri hiyo ilikuwa ikipata  ushuru wa huduma wa  Dola za Marekani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani