Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vigezo ubora wa mazao vyagharimu wakulima

Wakulima mkoani Rukwa wanalazimika kuuza mazao yao kwa walanguzi kwa bei ya chini kwa sababu baadhi hayakidhi vigezo kwenye masoko ya ndani na nje ya nchi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Tunatumia vigezo vipi kupima ubora wa elimu yetu?

Waandishi Daniel Sifuna na Nobuhide Sawamura katika kitabu chao: ‘Challenges of Quality Education in Sub-Saharan African Countries,’ wanasema kuwa wasomi na wataalamu wa elimu duniani wanatofautiana katika kuelezea maana ya elimu bora au ubora wa elimu.

 

10 years ago

Vijimambo

WAKULIMA WA MAZAO YA HORTICULTURE WAHAMASISHWA KUUNGANA.

Katibu Tawala wa Wilaya ya Mbarali, Alfred Mzurikwao, akizungumza na wakulima mbali mbali alipokuwa amemwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Mbarali katika sherehe za Wakulima zilizofanyika katika skimu ya umwagiliaji ya Ilaji iliyoko Mbarali mkoani Mbeya.Afisa wa TAHA, Isac Ndemanhile, akizungumza na wakulima zaidi ya 300 waliohudhuria sherehe za wakulima katika skimu ya Ilaji.Maafisa wa TAHA wakitoa maelezo kwa mgeni rasmi katika moja ya mashamba ya wakulima yanayoendeshwa kwa kufuata teknolojia...

 

10 years ago

Mwananchi

Wakulima ongezeni thamani ya mazao yenu

Unapozungumzia tabaka la watu maskini hapa Tanzania, bila shaka utaanza kutaja wakulima. Wale wadogo wamekuwa wakiishi maisha duni licha ya kuwa na mashamba makubwa, hali nzuri ya hewa na nguvu kazi ya kutosha

 

11 years ago

Michuzi

WAKULIMA WATAKIWA KUONGEZA THAMANI YA MAZAO

Na Woinde Shizza,Arusha
Wakulima wametakiwa kutumia fursa ya kuongeza thamani mazao yao ili waweze kunufaika zaidi kiuchumi kuliko kuuza mazao yao yakiwa ghafi kwani watakuwa wanayonywa na kuzidi kuwa masikini.
Wito huo umetolewa jana na Ofisa masoko wa shirika la Farm Africa, Rahel Pazzia, wakati akizungumza na waandishi wa habari, kwenye maonyesho ya wakulima nane nane, kanda ya kanda ya kaskazini yanayoendelea jijini Arusha.  
Alisema kupitia Farm Africa wakulima wengi wa ufuta wa mkoa huo...

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli kufuta ushuru wa mazao ya wakulima

MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli, ameendelea kuchanja mbuga katika kampeni zake, huku akitoa ahadi zenye kuyagusa makundi mbalimbali ya Watanzania, safari hii akiahidi kuwakomboa wakulima kwa kuwaondolea mzigo wa ushuru wa mazao.

 

11 years ago

Mwananchi

Bodi za mazao zatakiwa kutatua kero za wakulima

Bodi za mazao nchini zimetakiwa kutatua kero mbalimbali zinazowakabili wakulima ili kuwajengea uwezo wa kuzalisha kwa wingi na kufikia mahitaji ya soko la ndani na nje.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakulima walalamikia ubora wa dawa

BAADHI ya wakulima kutoka mkoani Mbeya  wamelalamikia dawa za kilimo aina ya Karate 50 ec na Selecron 720 ec kuwa hazina ubora. Wakulima hao waliowakilishwa na John Mwaipopo, walisema dawa...

 

5 years ago

Michuzi

WAKULIMA WILAYANI KAHAMA WAIOPONGEZA NFRA UNUNUZI WA MAZAO

WAKULIMA  wa wilaya ya Kahama Mkoani Shinyanga wameipongeza Wizara ya Kilimo kwa kuanza kuwajali wakulima wa Mazao mbalimbali kwa kuchukua hatua ya kuwakomboa kwa kutoa maelekezo ya kulielekeza shirika la Taifa la kuhifadhi chakula (NFRA) kununua mazao myote katika  msimu huu.

Pongezi hizo zimetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Nyanhembe Agricultural Farm Khamis Mgeja ambayo  inayojishughulisha na shughuli za Kilimo na ufugaji alipotembelewa na jopo la waandishi wa habari kwenye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani