Ufinyu wa bajeti wakwamisha ununuzi wa pembejeo
WIZARA ya Kilimo na Maliasili imesema ufinyu wa bajeti umesababisha kuwepo kwa upungufu mkubwa wa pembejeo, ikiwemo mbolea ambayo imepungua kutoka tani 1,500 hadi 620.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo31 May
Ufinyu wa bajeti wakwamisha barabara ya Kivukoni -Makutano
SERIKALI kwa sasa haina mpango wa kuijenga kwa kiwango cha lami barabara ya kutoka Kivukoni Kinesi -Makutano Kinesi hadi Kuruya katika barabara kuu ya Mwanza hadi Sirari kutokana na ufinyu wa bajeti ya serikali.
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-SwV2pUtXq88/VQmfZYdQsWI/AAAAAAAACBI/nl7Sp6Jcj6Q/s72-c/kilango.jpg)
Ufinyu wa bajeti kikwazo
UFINYU wa bajeti ya serikali umeelezwa kuwa kikwazo kwa wanafunzi wanaosoma kwa lugha za kigeni kupata mafunzo kwa vitendo.
Hata hivyo, serikali imesema jitihada mbalimbali zinaendelea kufanywa ili kuhakikisha wanafunzi wote wanasoma kwa vitendo.
Kusoma kwa vitendo ni njia mojawapo ya njia za kumwezesha mwanafunzi kuwa na uelewa mpana.
Hayo yalielezwa bungeni jana na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Anne Kilango-Malecela.
![](http://3.bp.blogspot.com/-SwV2pUtXq88/VQmfZYdQsWI/AAAAAAAACBI/nl7Sp6Jcj6Q/s1600/kilango.jpg)
Alisema Sera ya Elimu aliyoiwasilisha mezani imeweka mikakati...
10 years ago
Tanzania Daima23 Oct
Bohumata yalia ufinyu wa bajeti
BODI ya Huduma za Maktaba Tanzania (Bohumata), inakabiliwa na changamoto ya ufinyu wa bajeti pamoja na upungufu wa waandishi wa vitabu kutoka nchini. Mkuu wa Kitengo cha Mipango wa bodi...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-YndIekIoIUk/VFr5JFAiyTI/AAAAAAAGvrY/w-ruGVD1Ygk/s72-c/download%2B(1).jpg)
UFINYU WA BAJETI WAATHIRI MISAADA KWA WAKIMBIZI-UNHCR
![](http://1.bp.blogspot.com/-YndIekIoIUk/VFr5JFAiyTI/AAAAAAAGvrY/w-ruGVD1Ygk/s1600/download%2B(1).jpg)
Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia wakimbizi ( UNHCR) linakabiliwa na upungufu mkubwa wa raslimali fedha kiasi cha kuathiri utoaji wa misaada ya kibinadamu kwa wakimbizi wanaoendelea kuongezeka kila mwaka.Hayo yameelewa siku ya jumatano na Kamishna Mkuu wa UNHCR, Bw. Antonio Guterres wakati alipokuwa akiwasilisha taarifa ya Shirika hilo mbele ya wajumbe wa Kamati ya Tatu ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.Katika taarifa yake hiyo ambayo...
10 years ago
MichuziWAKALA WA TAIFA WA HIFADHI YA CHAKULA (NFRA) KANDA YA DODOMA INAKABILIWA NA UFINYU WA ENEO LA KUHIFADHIA MAZAO MSIMU HUU WA UNUNUZI WA MAZAO
Vilevile Dr. Nchimbi ameelekeza ukarabati wa Maghala ya hifadhi ya “National Milling” yaliyopo eneo la Makole ambayo uwezo wake ni kuhifadhi takribani tani elfu 10 kwa ghala uwekewe mkakati ili kusaidia kuleta suluhisho la...
11 years ago
Habarileo11 Jan
Madiwani wakwamisha bajeti ya Jiji Mwanza
KIKAO cha Baraza la Madiwani jijini Mwanza jana kilikataa kupitisha bajeti ya mwaka 20014/15 kwa madai kuwa haijakidhi matakwa ya wananchi kwa kutoa kipaumbele zaidi kwa wafanyakazi.
11 years ago
Mwananchi29 Jun
Utoro BLW wakwamisha bajeti Z’bar
11 years ago
Mwananchi13 Jun
BAJETI 2014/2015: Bajeti yawagawa wabunge, CCM waipongeza, upinzani waiponda
11 years ago
Mwananchi14 Jun
MAONI BAJETI: Wananchi mikoani waiponda Bajeti 2014