Ufinyu wa bajeti kikwazo
UFINYU wa bajeti ya serikali umeelezwa kuwa kikwazo kwa wanafunzi wanaosoma kwa lugha za kigeni kupata mafunzo kwa vitendo.
Hata hivyo, serikali imesema jitihada mbalimbali zinaendelea kufanywa ili kuhakikisha wanafunzi wote wanasoma kwa vitendo.
Kusoma kwa vitendo ni njia mojawapo ya njia za kumwezesha mwanafunzi kuwa na uelewa mpana.
Hayo yalielezwa bungeni jana na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Anne Kilango-Malecela.
Alisema Sera ya Elimu aliyoiwasilisha mezani imeweka mikakati...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima23 Oct
Bohumata yalia ufinyu wa bajeti
BODI ya Huduma za Maktaba Tanzania (Bohumata), inakabiliwa na changamoto ya ufinyu wa bajeti pamoja na upungufu wa waandishi wa vitabu kutoka nchini. Mkuu wa Kitengo cha Mipango wa bodi...
11 years ago
Habarileo26 Apr
Ufinyu wa bajeti wakwamisha ununuzi wa pembejeo
WIZARA ya Kilimo na Maliasili imesema ufinyu wa bajeti umesababisha kuwepo kwa upungufu mkubwa wa pembejeo, ikiwemo mbolea ambayo imepungua kutoka tani 1,500 hadi 620.
11 years ago
Habarileo31 May
Ufinyu wa bajeti wakwamisha barabara ya Kivukoni -Makutano
SERIKALI kwa sasa haina mpango wa kuijenga kwa kiwango cha lami barabara ya kutoka Kivukoni Kinesi -Makutano Kinesi hadi Kuruya katika barabara kuu ya Mwanza hadi Sirari kutokana na ufinyu wa bajeti ya serikali.
10 years ago
MichuziUFINYU WA BAJETI WAATHIRI MISAADA KWA WAKIMBIZI-UNHCR
Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia wakimbizi ( UNHCR) linakabiliwa na upungufu mkubwa wa raslimali fedha kiasi cha kuathiri utoaji wa misaada ya kibinadamu kwa wakimbizi wanaoendelea kuongezeka kila mwaka.Hayo yameelewa siku ya jumatano na Kamishna Mkuu wa UNHCR, Bw. Antonio Guterres wakati alipokuwa akiwasilisha taarifa ya Shirika hilo mbele ya wajumbe wa Kamati ya Tatu ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.Katika taarifa yake hiyo ambayo...
11 years ago
Mwananchi13 Jun
BAJETI 2014/2015: Bajeti yawagawa wabunge, CCM waipongeza, upinzani waiponda
11 years ago
Mwananchi14 Jun
MAONI BAJETI: Wananchi mikoani waiponda Bajeti 2014
10 years ago
Mwananchi02 Jun
UCHAMBUZI WA BAJETI: Bajeti ya Ujenzi imekidhi vigezo
10 years ago
MichuziWAKALA WA TAIFA WA HIFADHI YA CHAKULA (NFRA) KANDA YA DODOMA INAKABILIWA NA UFINYU WA ENEO LA KUHIFADHIA MAZAO MSIMU HUU WA UNUNUZI WA MAZAO
Vilevile Dr. Nchimbi ameelekeza ukarabati wa Maghala ya hifadhi ya “National Milling” yaliyopo eneo la Makole ambayo uwezo wake ni kuhifadhi takribani tani elfu 10 kwa ghala uwekewe mkakati ili kusaidia kuleta suluhisho la...
5 years ago
MichuziUTUMISHI YAFANYA KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI KUJADILI TAARIFA YA MAPITIO YA UTEKELEZAJI WA MPANGO WA BAJETI WA MWAKA 2019/20 NA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA 2020/21
Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro (katikati) akiongoza kikao cha Baraza la Wafanyakazi kujadili taarifa ya Mapitio ya Utekelezaji wa Mpango wa Bajeti wa Mwaka 2019/20 na Mpango wa Bajeti kwa Mwaka 2020/21 kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Kituo cha Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa jijini Dodoma.
Baadhi ya Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakimsikiliza Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais,...