Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UFINYU WA BAJETI WAATHIRI MISAADA KWA WAKIMBIZI-UNHCR

Na Mwandishi Maalum, New York


Shirika la Umoja wa Mataifa  linalohudumia wakimbizi ( UNHCR) linakabiliwa na upungufu mkubwa wa raslimali fedha kiasi cha kuathiri utoaji wa misaada ya kibinadamu kwa wakimbizi  wanaoendelea kuongezeka kila  mwaka.

Hayo yameelewa siku ya  jumatano  na  Kamishna Mkuu wa UNHCR, Bw. Antonio Guterres wakati alipokuwa akiwasilisha taarifa  ya  Shirika hilo mbele ya  wajumbe wa Kamati ya Tatu ya Baraza Kuu la  Umoja wa Mataifa.

Katika taarifa  yake hiyo ambayo...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

UNHCR WAKABIDHI GARI MPYA KWA AJILI YA IDARA YA WAKIMBIZI NCHINI.

 Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe. Mathias Chikawe (kushoto) akipokea ufungua wa gari kutoka kwa Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi Duniani (UNHCR), Bi. Joyce Mends-Cole. Gari hiyo ambayo ni mpya aina ya Toyota Land Cruiser imetolewa na Shirika hilo kwa ajili ya kusaidia shughuli mbalimbali za kiutendaji zifanywazo na Idara ya Wakimbizi nchini iliyopo ndani ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. Tukio la makabidhiano hayo lilifanyika katika ofisi za wizara...

 

11 years ago

Dewji Blog

UNHCR wamkabidhi gari mpya Waziri Chikawe, kwa ajili ya Idara ya Wakimbizi nchini

PIX 1

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (kushoto) akipokea ufungua wa gari kutoka kwa Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi Duniani (UNHCR), Joyce Mends-Cole. Gari hiyo ambayo ni mpya aina ya Toyota Land Cruiser imetolewa na Shirika hilo kwa ajili ya kusaidia shughuli mbalimbali za kiutendaji zifanywazo na Idara ya Wakimbizi nchini iliyopo ndani ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. Tukio la makabidhiano hayo lilifanyika katika ofisi za wizara...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Ufinyu wa bajeti kikwazo



UFINYU wa bajeti ya serikali umeelezwa kuwa kikwazo kwa wanafunzi wanaosoma kwa lugha za kigeni kupata mafunzo kwa vitendo.
Hata hivyo, serikali imesema jitihada mbalimbali zinaendelea kufanywa ili kuhakikisha wanafunzi wote wanasoma kwa vitendo.
Kusoma kwa vitendo ni njia mojawapo ya njia za kumwezesha mwanafunzi kuwa na uelewa mpana.

Hayo yalielezwa bungeni jana na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Anne Kilango-Malecela.

Alisema Sera ya Elimu aliyoiwasilisha mezani imeweka mikakati...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Bohumata yalia ufinyu wa bajeti

BODI ya Huduma za Maktaba Tanzania (Bohumata), inakabiliwa na changamoto ya ufinyu wa bajeti pamoja na upungufu wa waandishi wa vitabu kutoka nchini. Mkuu wa Kitengo cha Mipango wa bodi...

 

11 years ago

Habarileo

Ufinyu wa bajeti wakwamisha ununuzi wa pembejeo

WIZARA ya Kilimo na Maliasili imesema ufinyu wa bajeti umesababisha kuwepo kwa upungufu mkubwa wa pembejeo, ikiwemo mbolea ambayo imepungua kutoka tani 1,500 hadi 620.

 

11 years ago

Habarileo

Ufinyu wa bajeti wakwamisha barabara ya Kivukoni -Makutano

SERIKALI kwa sasa haina mpango wa kuijenga kwa kiwango cha lami barabara ya kutoka Kivukoni Kinesi -Makutano Kinesi hadi Kuruya katika barabara kuu ya Mwanza hadi Sirari kutokana na ufinyu wa bajeti ya serikali.

 

10 years ago

BBCSwahili

UNHCR yahamasisha wakimbizi kutambuliwa

Shirika la Wakimbizi duniani UNHCR linazindua Kampeni ya kuwapa haki za msingi Wakimbizi

 

9 years ago

BBCSwahili

UNHCR yataka wakimbizi kushughulikiwa

Umoja wa mataifa umeelezea masikitiko jinsi mataifa ya bara Ulaya yanavyozingatia sheria zinazohusiana na mipaka yake

 

10 years ago

Habarileo

UNHCR yamshukuru JK kuhifadhi wakimbizi

Mkurugenzi Mkuu wa UNHCR, Antonio GuterresSHIRIKA la Umoja wa Mataifa la Wakimbizi Duniani (UNHCR), limesema kuwa Tanzania imekuwa kimbilio salama la wakimbizi kwa sababu ni nchi salama, tulivu, yenye uhusiano mzuri wa kijamii na inayoongozwa na sera nzuri na za kibinadamu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani