UNHCR WAKABIDHI GARI MPYA KWA AJILI YA IDARA YA WAKIMBIZI NCHINI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-fVVkEQ3wuuE/U0JerkdPJ6I/AAAAAAAFZJY/kKBW_Rji5E4/s72-c/unnamed+(77).jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe. Mathias Chikawe (kushoto) akipokea ufungua wa gari kutoka kwa Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi Duniani (UNHCR), Bi. Joyce Mends-Cole. Gari hiyo ambayo ni mpya aina ya Toyota Land Cruiser imetolewa na Shirika hilo kwa ajili ya kusaidia shughuli mbalimbali za kiutendaji zifanywazo na Idara ya Wakimbizi nchini iliyopo ndani ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. Tukio la makabidhiano hayo lilifanyika katika ofisi za wizara...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog07 Apr
UNHCR wamkabidhi gari mpya Waziri Chikawe, kwa ajili ya Idara ya Wakimbizi nchini
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (kushoto) akipokea ufungua wa gari kutoka kwa Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi Duniani (UNHCR), Joyce Mends-Cole. Gari hiyo ambayo ni mpya aina ya Toyota Land Cruiser imetolewa na Shirika hilo kwa ajili ya kusaidia shughuli mbalimbali za kiutendaji zifanywazo na Idara ya Wakimbizi nchini iliyopo ndani ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. Tukio la makabidhiano hayo lilifanyika katika ofisi za wizara...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-YndIekIoIUk/VFr5JFAiyTI/AAAAAAAGvrY/w-ruGVD1Ygk/s72-c/download%2B(1).jpg)
UFINYU WA BAJETI WAATHIRI MISAADA KWA WAKIMBIZI-UNHCR
![](http://1.bp.blogspot.com/-YndIekIoIUk/VFr5JFAiyTI/AAAAAAAGvrY/w-ruGVD1Ygk/s1600/download%2B(1).jpg)
Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia wakimbizi ( UNHCR) linakabiliwa na upungufu mkubwa wa raslimali fedha kiasi cha kuathiri utoaji wa misaada ya kibinadamu kwa wakimbizi wanaoendelea kuongezeka kila mwaka.Hayo yameelewa siku ya jumatano na Kamishna Mkuu wa UNHCR, Bw. Antonio Guterres wakati alipokuwa akiwasilisha taarifa ya Shirika hilo mbele ya wajumbe wa Kamati ya Tatu ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.Katika taarifa yake hiyo ambayo...
10 years ago
BBCSwahili04 Nov
UNHCR yahamasisha wakimbizi kutambuliwa
10 years ago
Habarileo18 Jul
UNHCR yamshukuru JK kuhifadhi wakimbizi
SHIRIKA la Umoja wa Mataifa la Wakimbizi Duniani (UNHCR), limesema kuwa Tanzania imekuwa kimbilio salama la wakimbizi kwa sababu ni nchi salama, tulivu, yenye uhusiano mzuri wa kijamii na inayoongozwa na sera nzuri na za kibinadamu.
9 years ago
BBCSwahili14 Sep
UNHCR yataka wakimbizi kushughulikiwa
9 years ago
BBCSwahili31 Aug
UNHCR yapata dola milioni 6 za wakimbizi
9 years ago
BBCSwahili19 Dec
UNHCR yaonya kuhusu ongezeko la wakimbizi
10 years ago
BBCSwahili14 Apr
Wakimbizi:UNHCR yaahidi kushirikiana na Kenya
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-hG4B2Bv73xk/Xra5VOWLZGI/AAAAAAALpjM/HxpBExecPLkX7q29IeXtA1yOojStxqnHwCLcBGAsYHQ/s72-c/3d720bd7-79eb-4a8d-af7f-3b402e50b4e3.jpg)
Taasisi ya DYCCC na AlHikma Foundation wakabidhi vifaa vya PPE kwa Taasisi ya JAI kwa ajili ya kuzikia
![](https://1.bp.blogspot.com/-hG4B2Bv73xk/Xra5VOWLZGI/AAAAAAALpjM/HxpBExecPLkX7q29IeXtA1yOojStxqnHwCLcBGAsYHQ/s640/3d720bd7-79eb-4a8d-af7f-3b402e50b4e3.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ec5Q6ju2NAA/Xra5Vs6rk3I/AAAAAAALpjU/OisqI73Gh0kj0kKm7wCpOBNfzCUFo0lSQCLcBGAsYHQ/s640/9e3dfba9-eb30-48c6-95ab-a238604cc37c.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/--BJW1hJUyjU/Xra5VE7biyI/AAAAAAALpjQ/sSi5PyvjfTMlIsi8mSI1AkSU2TuXSH50ACLcBGAsYHQ/s640/87cbce05-6f25-49e9-ab60-bae06aca34ab.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-_lXebxgvym4/Xra5UxKas2I/AAAAAAALpjI/IZKl-A5pm3QQkE_iFyfC6nS4Y6gNsJ39gCLcBGAsYHQ/s640/1581cea7-5da2-43f7-8eda-316535ee3240.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-SdRrAo_STF8/Xra5WBMAgGI/AAAAAAALpjY/V_Bfs2Dk9dAV2GHDPOeo7CZSK18QjBbxQCLcBGAsYHQ/s640/e6bde3ff-8489-49e6-9c12-192c81aa6429.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-iZnoIK6vYR4/Xra5WeE4FbI/AAAAAAALpjc/gyxpOyVoVLg_-5Ram7l4hQjAMl39-a-7ACLcBGAsYHQ/s640/ed0061d6-c190-494f-b0f5-394ee04aa95e.jpg)