Wakimbizi:UNHCR yaahidi kushirikiana na Kenya
Shirika linalosimamia wakimbizi UNHCR liko tayari kushirikiana na Kenya kuhakikisha usalama katika kambi ya wakimbizi ya Dadaab
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo18 Jul
UNHCR yamshukuru JK kuhifadhi wakimbizi
SHIRIKA la Umoja wa Mataifa la Wakimbizi Duniani (UNHCR), limesema kuwa Tanzania imekuwa kimbilio salama la wakimbizi kwa sababu ni nchi salama, tulivu, yenye uhusiano mzuri wa kijamii na inayoongozwa na sera nzuri na za kibinadamu.
10 years ago
BBCSwahili04 Nov
UNHCR yahamasisha wakimbizi kutambuliwa
9 years ago
BBCSwahili14 Sep
UNHCR yataka wakimbizi kushughulikiwa
9 years ago
BBCSwahili19 Dec
UNHCR yaonya kuhusu ongezeko la wakimbizi
9 years ago
BBCSwahili31 Aug
UNHCR yapata dola milioni 6 za wakimbizi
10 years ago
Vijimambo09 Oct
UNHCR yakwamua maisha ya malaki ya wakimbizi Burundi
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/7ge4GPNpCCit0EgBBHH1d3x3n0gMsHX9Cj4icxipomyWjI2ndWkrESZ2HfrrT2-E5JklJh9SPljLdGy1ZfL044viRV-JlW_YUZlU3CLMq6-8Xa0LI2CNUMYs-qdkXI_yoJABairyJFjubCYcFG8=s0-d-e1-ft#http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/wp-content/uploads/2014/10/unhcr-burundi.jpg)
Maisha baada ya kuishi ukimbizini huhitaji msaada mkubwa katika nyanja zote za uchumi, kijamii na hata kisaikolojia! Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR nchini Kenya limejikita kusaidia wakimbizi katika kustawisha maisha yao ambapo huanza kwa makazi.
Akizungumza wakati wa mahojiano na Joseph Msami wa idhaa hii mwakilishi mkazi wa UNCHCR nchini Burundi Abel...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-YndIekIoIUk/VFr5JFAiyTI/AAAAAAAGvrY/w-ruGVD1Ygk/s72-c/download%2B(1).jpg)
UFINYU WA BAJETI WAATHIRI MISAADA KWA WAKIMBIZI-UNHCR
![](http://1.bp.blogspot.com/-YndIekIoIUk/VFr5JFAiyTI/AAAAAAAGvrY/w-ruGVD1Ygk/s1600/download%2B(1).jpg)
Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia wakimbizi ( UNHCR) linakabiliwa na upungufu mkubwa wa raslimali fedha kiasi cha kuathiri utoaji wa misaada ya kibinadamu kwa wakimbizi wanaoendelea kuongezeka kila mwaka.Hayo yameelewa siku ya jumatano na Kamishna Mkuu wa UNHCR, Bw. Antonio Guterres wakati alipokuwa akiwasilisha taarifa ya Shirika hilo mbele ya wajumbe wa Kamati ya Tatu ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.Katika taarifa yake hiyo ambayo...
9 years ago
StarTV30 Dec
Serikali, UNHCR kuendelea kuwahifadhi Wakimbizi Waliopo Tanzania
Serikali ya Tanzania imesema itashirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia wakimbizi UNHCR kuhakikisha inalinda na kuwahifadhi wakimbizi waliopo hapa nchini hadi watakapokuwa tayari kurejea kwa hiari katika nchi zao.
Katika ziara ya kiserikali mkoani Kigoma, Waziri mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa ametembelea baadhi ya kambi zinazohifadhi wakimbizi wa Burundi na Jamhuri ya watu wa Kongo akisema Serikali inatambua maridhiano ya umoja wa mataifa katika kuwahifadhi...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fVVkEQ3wuuE/U0JerkdPJ6I/AAAAAAAFZJY/kKBW_Rji5E4/s72-c/unnamed+(77).jpg)
UNHCR WAKABIDHI GARI MPYA KWA AJILI YA IDARA YA WAKIMBIZI NCHINI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-fVVkEQ3wuuE/U0JerkdPJ6I/AAAAAAAFZJY/kKBW_Rji5E4/s1600/unnamed+(77).jpg)