Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SAME MASHARIKI: HUDUMA ZA KIJAMII ZINAVYOWATESA WANANCHI

Rais Jakaya Kikwete akiwa na Mbunge wa Same kwa tiketi ya CCM, Mh. Anne Kilango Malecela. Same ni moja kati ya wilaya saba zinazounda Mkoa wa Kilimanjaro, upande wa Kaskazini ikipakana na Wilaya ya Mwanga, Kaskazini Mashariki ikipakana na nchi ya Kenya, Kusini na Kusini Mashariki ikipakana na Tanga na Magharibi ikipakana na Manyara. Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana na Mh.… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MBOZI MASHARIKI: HUDUMA MBOVU ZA KIJAMII BADO NI TATIZO

Mheshimiwa Godfrey Weston Zambi. Na Mwandishi Wetu, Mbeya
Mbozi ni moja kati ya wilaya nane zinazounda Mkoa wa Mbeya. Upande wa kaskazini, imepakana na Wilaya ya Chunya, mashariki kuna Wilaya ya Mbeya Mjini na Ileje, kusini kuna Nchi ya Zambia na magharibi kuna Mkoa wa Rukwa. Ndani ya wilaya hiyo, kuna majimbo mawili ya uchaguzi, Mbozi Mashariki na Mbozi Magharibi. Mwishoni mwa wiki iliyopita, Uwazi lilifunga safari hadi kwenye...

 

10 years ago

Mwananchi

Kuchelewa huduma za kijamii kikwazo - Lukuvi

Imeelezwa kuwa ucheleweshwaji wa huduma za kijamii kama maji, umeme na miundombinu mingine kufika katika maeneo kwa wakati ndiyo chanzo cha gharama za kununua nyumba kuwa kubwa.

 

5 years ago

Michuzi

BIL. 33 KUTUMIKA KUIMARISHA HUDUMA ZA KIJAMII NCHINI

Na WAMJW.
Wizara ya Afya, kupitia Idara kuu ya Maendeleo ya Jamii inatarajia kutumia Jumla ya shilingi bilioni 33.195 ili kutekeleza shughuli mbalimbali za kijamii hususani zilizopewa kipaumbele kwa mwaka wa fedha 2020/21.

Akiwasilisha Hotuba ya Wizara, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu amesema katika mwaka wa fedha 2020/21 Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii inatarajia kutumia kiasi hicho cha fedha kwa lengo la kuimarisha huduma na mafunzo kwenye...

 

10 years ago

GPL

SHINYANGA MJINI HUDUMA MBOVU ZA KIJAMII BADO NI TATIZO

Na Conges Mramba Shinyanga Shinyanga Mjini ni moja kati ya wilaya nane zinazounda Mkoa wa Shinyanga. Shinyanga Mjini imepakana na Mkoa wa Mwanza upande wa Kaskazini, Mashariki kuna Wilaya ya Kishapu na Magharibi kuna Wilaya ya Kahama. Pia ni jimbo la uchaguzi linaloongozwa na Mheshimiwa Stephen Masele kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Mheshimiwa Stephen Masele. Wiki iliyopita, Uwazi lilifunga safari mpaka kwenye jimbo...

 

10 years ago

GPL

RUNGWE MAGHARIBI; SOKO LA MAZAO, HUDUMA ZA KIJAMII BADO NI TATIZO

Na Mwandishi Wetu, Mbeya
Rungwe ni moja kati ya wilaya nane zinazounda Mkoa wa Mbeya. Upande wa Kaskazini imepakana na Wilaya ya Mbeya Vijijini, Mashariki imepakana na Mkoa wa Iringa na Wilaya ya Kyela, Kusini Magharibi kuna Wilaya ya Ileje na Magharibi kuna Wilaya ya Mbeya Vijijini. Profesa David Mwakyusa. Wilaya ya Rungwe, imeganyika katika majimbo mawili ya uchaguzi, Rungwe Magharibi linaloongozwa na Profesa David Mwakyusa...

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YA JAPAN YAINGIA MIKATABA MINNE KUUNGA MKONO HUDUMA ZA KIJAMII KATIKA VIJIJI NCHINI TANZANIA


Serikali ya Japan kupitia balozi wake nchini Tanzania Mh. Goto Shinichi Februari 28,2020 jijini Dar es Salaam imeingia mikataba minne tofauti katika muendelezo wa kuendelea kuunga mkono huduma za kijamii katika vijiji mbalimbali nchini Tanzania.

Serikali hiyo ya Japan ikiwakilishwa na Balozi Goto Shinichi imeingia mkataba wa kusambaza magari ya wagonjwa katika hospitali ya KCMC wenye thamani ya dola za Kimarekani 52,996.

Mkataba mwengine ni pamoja na kusaidia mazingira ya elimu katika wilaya...

 

9 years ago

Vijimambo

TIMU YA MADAKTARI BINGWA KUTOKA NCHINI CHINA WATOA HUDUMA ZA KIJAMII KATIKA KIJIJI CHA KISAUNI ZANZIBAR.

1Dokta Gao Yun Lai akimpima presha na sukari bwana Mohd Ali, mkaazi wa Kisauni. PICHA NA ABDALLA OMAR – MAELEZO ZANZIBAR. 2Dokta Fadhil Mohd ambae ni D0kta Dhamana Kanda ya Unguja akitoa maelezo kwa waadishi wa habari (hawapo pichani).
3 45
Wananchi mbalimbali wakipatiwa huduma za matibabu katika kijiji cha Kisauni Zanzibar.  

                   Mwashungi Tahir Maelezo-Zanzibar 
Jumla ya madaktari bingwa tisa kutoka nchini china wakishirikiyana na madaktari wa hapa Zanzibar wameweza kutoa...

 

10 years ago

Mwananchi

Mimba shuleni zinavyowatesa wanafunzi Mkoa wa Rukwa

Rukwa bado, unakabiliwa na tatizo sugu la ujauzito kwa wanafunzi wa kike, suala linalochangia kuporomoka kwa kiwango cha elimu mkoani humo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani