Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MTOTO WA MIAKA 13 AFARIKI KWA CORONA UINGEREZA

 Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
MTOTO wa miaka 13 amefariki dunia nchini Uingereza mara baada ya kukutwa na maambukizi ya virusi vya Corona (Covid-19) hospitali King's College ya Mjini London na ndugu wa mtoto huyo wamevieleza vyombo vya habari.
Mtoto huyo raia wa Uingereza alifariki dunia siku ya Jumatatu ameelezwa kuwa ni muingereza mdogo zaidi kufariki kwa virusi hivyo.
Familia ya mtoto huyo imevieleza vyombo vya habari kuwa mtoto huyo (Ismail Mohamed Abdulwahab) alianza kuonesha...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Mtoto wa miaka 7 afariki kwa kuliwa na mbwa Mwanza

 

Wakazi wa eneo la Malimbe wilayani Nyamagana jijini Mwanza wameingiwa na taharuki baada ya mtoto mwenye umri wa miaka 7 kupoteza maisha kwa kuraruriwa na kuliwa na kundi la mbwa waliokuwa wakizagaa mtaani.

Tukio hilo limetokea Septemba 19 majira ya saa 5 asubuhi wakati mtoto huyo akielekea dukani ambapo vilisababisha taharuki kibwa miongoni mwa wakazi wa mwanzaambalo limekuwa ni geni na halijawahi kutokea kwa wengi waliolishuhudia.

 

 

Mtoto Jovina Lwegasira ambaye alikuwa anasoma elimu ya...

 

11 years ago

Dewji Blog

MTOTO Nasra aliyekuwa akiishi kwenye box kwa miaka minne afariki Dunia

10325360_761911693831786_7288579013049174718_n

MTOTO Nasra aliyekuwa akiishi kwenye box kwa miaka minne akidaiwa kuteswa na mama yake mkubwa baada ya mama yake kufariki, huku akikosa uangalizi wa karibu, chakula, tiba na huduma nyingine muhimu AFARIKI DUNIA katika Hospitali ya Taifa MUHIMBILI usiku wa kuamkia leo majira ya saa saba, tatizo ni Nimonia na homa ilipanda sana.

R.I.P NASRA wewe mbele sisi nyuma tutakufuata, Tulikupenda lakini Mungu amekupenda zaidi.

 

 

11 years ago

GPL

MASKINI! MTOTO ALIYEWEKWA KWENYE BOKSI MIAKA 4 AFARIKI

Nasrah Rashid (kulia) enzi za uhai wake. Kushoto aliyekaa ni baba yake mzazi Rashid Mvungi. MTOTO Nasrah Rashid (4) aliyekuwa akitibiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya kuugua na kupata ulemavu kwa kufungiwa kwenye boksi miaka minne amefariki dunia. Nasrah alifichwa kwenye boksi na mama yake mkubwa aitwaye Mariamu Said mkazi wa Kiwanja cha Ndege, Morogoro tangu akiwa na miezi tisa baada ya mama yake mzazi...

 

5 years ago

CCM Blog

MTOTO MIAKA 6 AKUTWA NA VIRUSI VYA CORONA

  WIZARA ya Afya nchini Kenya imetangaza ongezeko la visa 25 vya #COVID19 baada ya sampuli 1,012 kufanyiwa vipimo na kufanya idadi ya visa nchini humo imefikia 490 huku wagonjwa 6 zaidi wamepona na jumla ya waliopona ni 163.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya nchini humo, Mercy Mwangangi, amesema wagonjwa wapya ni raia wa Kenya wenye umri kati ya miezi 6 na miaka 60 na watu 13 ni wanaume na 12 ni wanawake, wote hawana historia ya kusafiri hivi karibuni.

Katibu huyo ameeleza kuwa wanafanya kazi na...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mtoto wa miaka 9 aozeshwa na baba yake kwa mwanaume mwenye miaka 60

 Untitled

Mtoto Ester Meliyo Lukumay (9).

Untitled 1

Mtoto Ester Meliyo Lukumay (9) akiwa amepozi.

2 (2)

Mtoto Ester Meliyo Lukumay (9) akizungumza jana na Msaidizi wa Kisheria wa Kataa ya Makuyuni Kijiji cha Makuyuni Wilaya ya Monduli Mkoa wa Arusha na Ofisa Maendeleo ya Jamii wa Kataa hiyo, Ruthi Mashambo (kulia).

3

Mtoto Ester Meliyo Lukumay (9) akizungumza jana na Msaidizi wa Kisheria wa Kataa ya Makuyuni Kijiji cha Makuyuni Wilaya ya Monduli Mkoa wa Arusha na Ofisa Maendeleo ya Jamii wa Kataa hiyo,...

 

5 years ago

Michuzi

MCHEKESHAJI AFARIKI KWA CORONA JAPAN

Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
MCHEKESHAJI maarufu na mkongwe kutoka Japan Ken Shimura (70) amefariki dunia usiku wa kuamkia leo mjini Tokyo baada ya kupata maambukizi ya Corona baada ya kupata maambukizi ya virusi vya Corona (covid 19) Shirika la Utangazaji CNN na watu wake wa karibu wamethibitisha.
imeelezwa kuwa Shimura aliumwa homa ya mapafu kufariki dunia jumapili usiku, huku ikielezwa kuwa alianza kusikia dalili ikiwemo uchovu Machi 17 na alilazwa Machi 20 kabla ya kugundulika...

 

5 years ago

CCM Blog

WANASAYANSI WA UINGEREZA KUIFANYIA MAJARIBIO CHANJO YA CORONA KWA WAKENYA


vaccineHaki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionChanjoWatafiti kutoka nchini Uingereza wanafikiria kufanyia majaribio chanjo ya virusi vya corona nchini Kenya ambapo kulingana na wao mlipuko wa ugonjwa huo unaongezeka.Hatua hiyo inajiri wiki moja baada ya Shirika la Afya duniani kuyaonya mataifa ya Ulaya kwamba bara la Afrika sio uwanja wa majaribio ya chanjo.Dawa ya corona yashindwa jaribio la kwanzaWHO: Afrika sio uwanja wa majaribio ya chanjo ya coronaMkuu wa Shirika hilo Dkt Tedros Adhanom...

 

10 years ago

Habarileo

Padri aliyekuwa akitafutwa kwa kulawiti mtoto afariki

Sixtus Kimaro enzi za uhai wakeMTUHUMIWA wa kesi ya kulawiti mtoto wa kiume, aliyekuwa akitafutwa na Mahakama ya Rufaa, Sixtus Kimaro, ambaye alikutwa na tuhuma hizo wakati akiwa Padri katika Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, amefia nchini Msumbiji na mwili wake umesafirishwa kuja Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mtanzania

Mtoto afariki kwa kuchomwa na petroli,mama hoi

mtNa Shomari Binda, Musoma

JESHI la polisi mkoani Mara, linamsaka Simion Otieno,baada ya kudaiwa kuchoma nyumba kwa kutumia mafuta yaa petroli na kusababisha kifo cha mtoto,Tatu Simion (1).

Tukio hilo lililotokea Machi 31, mwaka huu katika Kijiji cha Bwai,wilayani Butiama ambapo chanzo chake kinadaiwa ni wivu wa mapenzi kati ya Otieno na mama wa mtoto huyo, Kudra Janja ambaye ameunguzwa vibaya mwili mzima.
Janja amelazwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mara, kwa matibabu zaidi.
Akizungumza na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani