Dk William Shija afariki dunia Uingereza
Katibu Mkuu wa Umoja wa Wabunge wa Jumuiya ya Madola (CPA), Dk William Shija, ambaye pia aliwahi kushika nyadhifa za uwaziri na ubunge nchini kwa nyakati tofauti, amefariki dunia jijini London jana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziBREAKING NEWZZZZZ: Dkt. William Ferdinand Shija afariki dunia
Taarifa ya kifo chake imekuja wakati ambapo Mkutano wa 60 wa CPA unafanyika Yaoundé, Cameroon.
Dkt. William Shija amefanya kazi kwa takriban miaka 8 kama Katibu Mkuu wa Chama cha Wabunge wa Jumuiya ya Madola. Amefanya kazi kubwa kwa CPA na ameacha...
11 years ago
Michuzi.jpg)
Mwili wa marehemu Dkt William Shija wawasili nchini leo kutoka London, Uingereza
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
11 years ago
BBCSwahili20 Oct
Lynda Bellingham afariki dunia Uingereza
Mwigizaji maarufu nchini Uingereza Lynda Bellingham afariki dunia
11 years ago
Michuzi.jpg)
DR WILLIAM SHIJA R.I.P
.jpg)
11 years ago
IPPmedia28 May
Dr William Shija
IPPmedia
IPPmedia
The Parliament has been urged to formulate specific laws that will help legislators to oversee government budget expenditures and the imposing of punishment against civil servants abusing public funds. This was said on Monday by the Secretary General of ...
11 years ago
Vijimambo
MWILI WA DR. WILLIAM SHIJA WAWASILI NCHINI


Shija amewahi kuwa mbunge wa CCM wa jimbo la Sengerema toka mwaka 1990 hadi 2005. Alichaguliwa katika kikao cha 52 cha bunge hilo linalowakutanisha wawakilishi 700 kutoka mabunge ya nchi zilizo wanachama wa Jumuiya ya Madola.
Miongoni...
11 years ago
Michuzi
11 years ago
Michuzi
IBADA MAALUM YA KUUAGA MWILI WA MAREHEMU DR. WILLIAM SHIJA

Mwili wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Commonwealth Parliamentary Association (CPA), Dr. William Shija, aliyefariki dunia Jumamosi ya Tarehe 4 Oktoba 2014, umeagwa rasmi jana katika Ibada maalum iliyofanyika katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Vincent de Paulo, Osterley, London.
Ibada hiyo...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
08-May-2025 in Tanzania