BREAKING NEWZZZZZ: Dkt. William Ferdinand Shija afariki dunia
Sekretarieti ya CPA Kanda ya Afrika inasikitika kutangaza kifo cha aliyekuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola, (CPA) Dkt. William Ferdinand Shija (pichani) kilichotokea katika Hospitali ya Charring Cross, London Uingereza tarehe 4 Oktoba, 2014.
Taarifa ya kifo chake imekuja wakati ambapo Mkutano wa 60 wa CPA unafanyika Yaoundé, Cameroon.
Dkt. William Shija amefanya kazi kwa takriban miaka 8 kama Katibu Mkuu wa Chama cha Wabunge wa Jumuiya ya Madola. Amefanya kazi kubwa kwa CPA na ameacha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi05 Oct
Dk William Shija afariki dunia Uingereza
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6gQXZJXBnGA/VDeXjueDgRI/AAAAAAAGo9U/uHr0g6HmIsM/s72-c/2007%2BLondon%2BPhotos%2B002.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-opr33pCVirQ/VDMkfTl0KKI/AAAAAAAGocg/1CNgMJWnJwQ/s72-c/download.jpg)
JK AOMBOLEZA MISIBA YA BRIGEDIA JENERALI MUHIDIN KIMARIO NA DKT WILLIAM SHIJA
![](http://2.bp.blogspot.com/-opr33pCVirQ/VDMkfTl0KKI/AAAAAAAGocg/1CNgMJWnJwQ/s1600/download.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-zkXwSwIutKA/VDmOiCeLEVI/AAAAAAAGpRQ/eUm_4aQhDEw/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
Mwili wa marehemu Dkt William Shija wawasili nchini leo kutoka London, Uingereza
![](http://2.bp.blogspot.com/-zkXwSwIutKA/VDmOiCeLEVI/AAAAAAAGpRQ/eUm_4aQhDEw/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dRNSdR2WYk4/VDmOitBm3yI/AAAAAAAGpRU/bY1KFcnqKfk/s1600/unnamed%2B(8).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qpIvdc9WOu0/VDmOjOkMm5I/AAAAAAAGpRc/Zt0OECK7EFg/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-lx___u66pNE/VDmOZq1zTxI/AAAAAAAGpPk/uHKuFLqMml4/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9BTMFS1qhHc/VDmOaGaj0yI/AAAAAAAGpPs/5ffRdeiGbNk/s1600/unnamed%2B(13).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ClKtrwHc1Ko/XkupvFM6DCI/AAAAAAALd3Y/_aPqt1pQYxMUY1zAPLt136eesggHIE6zACLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.jpg)
BREAKING NEWZZZZZ: ALIYEKUWA KATIBU MKUU TAIFA WA CHADEMA DKT MASHINJI AHAMIA CCM.
![](https://1.bp.blogspot.com/-ClKtrwHc1Ko/XkupvFM6DCI/AAAAAAALd3Y/_aPqt1pQYxMUY1zAPLt136eesggHIE6zACLcBGAsYHQ/s640/unnamed.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GxEmomufk0E/Xpa1__UdKbI/AAAAAAAEGuc/NI5mxhcw8TEKXBekpL3bOAFy1rfSCtgCgCLcBGAsYHQ/s72-c/pic%252Bajali.jpg)
BREAKING NEWZZZZZ: WATU 18 WAFARIKI DUNIA NA WENGINE 15 WAJERUHIWA KWA AJALI WILAYANI MKURANGA.
Watu 18 wamefariki na wengine 15 kujeruhiwa baada ya magari mawili kugongana katika kijiji cha Kilimahewa Wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Rufiji, Onesmo Lyanga amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.
Kamanda Lyanga amesema kuwa ajali hiyo imetokea leo Jumatano Aprili 15, 2020 na kwamba imehusisha lori na gari la abiria aina ya Toyota Coaster.“Ni Kweli tuko kwenye eneo la tukio, ajali imetokea na imesababisha vifo vya watu 18 na majeruhi 15,” amebainisha...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-_i1ghNbU8xM/VDpavLrUQTI/AAAAAAAGpfU/Q4dSsHFhhjo/s72-c/s1.jpg)
RAIS KIKWETE AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUTOA HESHIMA ZA MWISHO KWA MWILI WA MAREHEMU DKT WILLIAM SHIJA LEO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-_i1ghNbU8xM/VDpavLrUQTI/AAAAAAAGpfU/Q4dSsHFhhjo/s1600/s1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2Kg735QKSYo/VDpaw82f0_I/AAAAAAAGpfc/Cau2ahdQNZg/s1600/s2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CrCtxSMl_L0/VDqPGQpDPnI/AAAAAAAGpjo/uEqGwm-qJEA/s1600/s3.jpg)
10 years ago
Dewji Blog12 Oct
Rais Jakaya Kikwete na Makamu wake, Dkt. Bilal wawaongoza wananchi kuaga mwili wa marehemu William Shija viwanja vya Karimjee Dar leo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mrisho Jakaya Kikwete, akitoa heshima za mwisho mbele ya Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Mabunge ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola, marehemu Dkt. William Shija, wakati wa zoezi la kuagwa mwili lililofanyika kwenye Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam, leo Oktoba 12, 2014. (Picha na OMR).
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mrisho Jakaya Kikwete, akiwafariji wanafamilia wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa...