Jaguar; mwanamuziki milionea aliyeanza kwa kuosha magari
Zipo baadhi ya kauli za Wahenga wa Kiswahili ambazo siyo rahisi kutimia au uhaliasia wake kuonekana kwa haraka katika maisha ya kila siku.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboUwoya Apata Ujauzito:Yasemekana Ni Ya Msanii Milionea Jaguar Toka Kenya.
Grapevine has it that, actress Irene Uwoya is pregnant for her second child and the man behind it is non other than Kenyan artist Jaguar. "Uwoya is pregnant of Jaguar, she wants to have more kids, they love one another truly, next week she might be in Kenya to visit her man" said the sourceSWP failed to reach Uwoya, however, through her Instagram account the actress posted something which matches with what the source said. Uwoya posted the photo below touching her stomach and asked her fans...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-kbjsk4hUGmE/VQ6YCyfYqMI/AAAAAAAHMIY/L47eZ_9gag4/s72-c/unnamed%2B(34).jpg)
Wafanyakazi wa NBC wajitolea kuosha magari kutafuta fedha kupinga ukatili wa watu wenye ulemavu wa ngozi
![](http://1.bp.blogspot.com/-kbjsk4hUGmE/VQ6YCyfYqMI/AAAAAAAHMIY/L47eZ_9gag4/s1600/unnamed%2B(34).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tiJ1m3LxQK8/VQ6YCSXnCBI/AAAAAAAHMIU/DKwDxqqk880/s1600/unnamed%2B(35).jpg)
10 years ago
VijimamboMKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM MH. MECK SADICK AONGOZA ZOEZI LA KUOSHA MAGARI LA MEDIA CAR WASH FOR CANCER LEADERS CLUB LEO
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/9.jpg)
MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM MH. MECK SADICK AONGOZA ZOEZI LA KUOSHA MAGARI LA MEDIA CAR WASH FOR CANCER, LEADERS CLUB LEO
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mh. Meck Sadick akizindua zoezi la kuosha magari katika viwanja vya Leaders Club, Dar kwa ajili ya kuchangia fedha kwa waandishi wa habari ambao wanamatatizo ya kiafya ikiwemo saratani.  Mkuu wa Wilaya ya Kinomdoni, Paul Makonda akimkaribisha Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kuongea na waandishi wa habari pamoja na wadau.  Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mh. Meck Sadick akiongea… ...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qwmbfpYJG3Q/XtaXbN5kP-I/AAAAAAALsXA/QwftzIg5Bxo4LS-2dgHE_xtFaW0n6JkyACLcBGAsYHQ/s72-c/Mr.-Ibu.jpg)
MR IBU MUIGIZAJI MAARUFU ALIYEANZA MAISHA KWA KUUZA KUNI
![](https://1.bp.blogspot.com/-qwmbfpYJG3Q/XtaXbN5kP-I/AAAAAAALsXA/QwftzIg5Bxo4LS-2dgHE_xtFaW0n6JkyACLcBGAsYHQ/s400/Mr.-Ibu.jpg)
ANAFAHAMIKA zaidi kwa jina la "Mr.Ibu" ni John Ikechukwu Okafor mwigizaji na mchekeshaji kutoka nchini Nigeria, Okafor anatajwa kuwa mchekeshaji mashuhuri ndani na nje ya nchi hiyo anayemiliki utajiri mkubwa kupitia sanaa yake.
Okafor alizaliwa Oktoba 17, 1961 katika mji wa Enugu, Kusini Mashariki mwa Nigeria, alizaliwa na kukulia huko pamoja na kupata elimu yake ya msingi na sekondari pia an taaluma ya uandishi wa habari aliyoipata katika chuo cha (IMT.) Tangu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HH5EPnzPgDKwk3GWXb7vj15qYE3KLdCdP7qtel0ZbVWbh1JJRa-gz7FDAvJfFtH6TuZXHEHB2GBcwwbsiWDPaq-vE02jEozQ/milion.jpg)
JWTZ MILIONEA ALIVYOUAWA KWA RISASI
Stori: Haruni Sanchawa na Makongoro Oging’ NI taharuki iliyojaa majonzi na simanzi kufuatia Jeshi la Wananchi wa Tanzania ‘JWTZ’ Kikosi cha CMTU jijini Dar kuondokewa na mpiganaji wake, Sajenti Yohana Lugendo Gweso (40) ambaye alikuwa milionea aliyepigwa risasi sita mwilini na kufariki dunia papo hapo. Mwili wa marehemu Sajenti Yohana Lugendo Gweso (40) wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania...
10 years ago
Bongo Movies26 Nov
5 years ago
BBCSwahili26 May
Rusty Hutson: Mwanamume aliyekuwa milionea kwa kununua visima 60,000 vya mafuta na gesi
Rusty Hutson Jr ni mkuu wa shirika la kawi la Marekani linalokuwa kwa kasi.
10 years ago
Vijimambo21 Apr
JAGUAR ACHELEWA KUINGIA UKUMBINI NA KUSABABISHA MANUNGUNIKO KWA WABEBA BOX HUKO ATLANTA
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/04/19/150419122350_jaguar_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Msanii wa kenya Jaguar
Mwanamuziki wa Kenya Charles Njagua kanyi anayejulikana kama 'Jaguar' alitarajiwa kuwatumbuiza raia wa Atlanta nchini Marekani siku ya ijumaa lakini hakuonekana hadi asubuhi ya siku ya jumamosi na hivyobasi kuwawacha mashabiki wake wakisikitika.Kulingana na gazeti la Daily Nation nchini Kenya, msanii huyo ambaye alitarajiwa kuanza kuwatumbuiza mashabiki hao mwendo wa saa nne usiku aliwasili katika jukwaa saa nane na nusu alfajiri wakati ambapo mashabiki walikuwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania