JAGUAR ACHELEWA KUINGIA UKUMBINI NA KUSABABISHA MANUNGUNIKO KWA WABEBA BOX HUKO ATLANTA
Msanii wa kenya Jaguar
Mwanamuziki wa Kenya Charles Njagua kanyi anayejulikana kama 'Jaguar' alitarajiwa kuwatumbuiza raia wa Atlanta nchini Marekani siku ya ijumaa lakini hakuonekana hadi asubuhi ya siku ya jumamosi na hivyobasi kuwawacha mashabiki wake wakisikitika.Kulingana na gazeti la Daily Nation nchini Kenya, msanii huyo ambaye alitarajiwa kuanza kuwatumbuiza mashabiki hao mwendo wa saa nne usiku aliwasili katika jukwaa saa nane na nusu alfajiri wakati ambapo mashabiki walikuwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
July 4th weekend yafana huko Atlanta, GA





























10 years ago
VijimamboLB YAIKARIBISHA VIJIMAMBO ATLANTA KWA MNUSO WA KIMTINDO
11 years ago
Bongo530 Jul
Zitto Kabwe apongeza nguvu ya mitandao ya kijamii kwa kusababisha kusitishwa kwa ajira katika idara ya uhamiaji
11 years ago
Mwananchi16 Feb
Jaguar; mwanamuziki milionea aliyeanza kwa kuosha magari
10 years ago
BBCSwahili20 Aug
Muhubiri ashtakiwa kwa kusababisha kifo
10 years ago
Mtanzania23 May
DED kizimbani kwa kusababisha hasara ya milioni 24/-
Na Lushishi Robert, Serengeti
TAASISI ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (TAKUKURU) mkoani Mara, imemfikisha mahakamani Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti, Goody Kitambo kwa kosa la matumizi mabaya ya madaraka na kuisababisha Serikali hasara ya Sh milioni 24.5.
Kitambo alifikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Serengeti akituhumiwa kwa kosa la kutumia vibaya madaraka yake ikiwa ni pamoja na kukiuka sheria ya ununuzi wa umma kwa kuelekeza magari ya halmashauri ya wilaya hiyo...
10 years ago
VijimamboWatanzania wa jimbo la Georgia na Alabama wakutana kwa hafla ya nyama choma Atlanta, GA
















10 years ago
VijimamboSANDRA NA GEORGE WAKIONDOKA UKUMBINI KWA STAILI YAO
11 years ago
Vijimambo
RAIA WAMSHAMBULIA TRAFFIC WA UBUNGO KWA KUSABABISHA AJALI HIYO NDIYO BONGO
