Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SANDRA NA GEORGE WAKIONDOKA UKUMBINI KWA STAILI YAO

 Sandra na George wakiwaaga wageni wao walipokua wakiondoka ukumbini. Sandra na George wakiwapungia wageni wao waliohudhuria harusi yao walipokua wakiondoka kwa staili yao ya pekee. Sandra na George wakiwa na furaha. Wakielekea kwenye usafiri wao Sandra na George wakishangiliwa kwa vigeregere na vifijo huku wakiimba wanameremeta. Sandra na George wakiwa tayari kwa kuondoka.Familia na Bi. harusi

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

SHEREHE YA HARUSI YA SANDRA NA GEORGE DALLAS, TEXAS.

Maharusi wakiwa meza kuu wakipata picha ya kumbukumbu na mmoja ya mtoto wao siku ya sherehe ya harusi yao iliyofanyika katika hoteli ya Westin iliyopo mtaa Legacy Dr. Dallas, Texas siku ya Jumamosi July 4, 2015 na kuhudhuriwa na ndugu, jamaa na marafiki kutoka kila pembe ya Dunia.Wapambe wa Bwna na Bi harusi.WasimamiziWasimamiziWasimamiziFor More photos Click Soma Zaidi

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Michuzi

AIRTEL YAZINDUA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA KWA STAILI LEO

Wakurugenzi wote wa Airtel wakiongozwa na mkuu wao Sunil Colaso (kati) wakikata keki leo wakati wa uzinduzi wa wiki ya huduma kwa wateja ambapo inaadhimishwa duniani kote kuanzia tareh 6, Airtel imejipanga kuadhimisha wiki hii kwa kuwashuru wateja wake wote, kuongeza motishaa kwa watoa huduma wake wote nchini kuendelea kuhudumia wateja, pamoja na kuhamasisha kila mtoa huduma nchini kufahamu umhimu wa mteja.Mkurugenzi mkuu wa Airtel Tanzania Bw Sunil Colaso akiongea na wafanyakazi wote pamoja...

 

11 years ago

GPL

SANDRA: KWA NINI WASANII WANADANGANYA UMRI?

Stori: Mayasa Mariwata MSHANGAO! Mwigizaji wa Bongo, Salama Salmin ‘Sandra’ (32), amesema anachukizwa na tabia ya baadhi ya wasanii wenzake wanaopenda kurudisha umri nyuma kwa kujifanya wadogo kwani haoni umuhimu wake. Salama Salmin ‘Sandra’. Akistorisha na gazeti hili juzikati, Sandra alifunguka kuwa ni jambo la ajabu mtu kudanganya umri tena hata kwa wasanii wenzake wakati kimuonekano inaonesha...

 

10 years ago

Mwananchi

Makonda aanza U-DC kwa staili ya Mwinyi

>Alifanya Rais Ali Hassan Mwinyi na baadaye Augustine Mrema na sasa mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda anataka kufuata nyayo baada ya kutenga kila Ijumaa kuwa siku maalumu ya kusikiliza kero za wananchi wake wa wilaya hiyo kuhusu suala nyeti la ardhi.

 

11 years ago

GPL

EFm YANOGESHA KWA STAILI YA VIGODORO

Kundi la Bagamoyo Star kutoka wilaya ya Bagamoyo, Pwani.
Mashefa Musica kutoka Msasani wakikamua.
Baba Yoyoo akijipoza kwa lambalamba wakati akishuhudia matukio.…

 

9 years ago

Vijimambo

KWA STAILI HII KIPINDUPINDU HAKITATUACHA

 Maji ya shida, umeme kwa mgao, internet kwa vifurushi, daresalama mambo yake si salama, haya ndio yanayowakuta wakaazi wa daresalama. shida inapotokea wengine wananufaika, wengine wanahasirika, waburuta vitoroli kwao inakuwa neema, tenda za kuchota maji zinawaongezea kipato, lakini usalama wa maji hayo hauna uhakika wapi wameyapata, ugumu wa jibu  wasuali hilo, inawafanya wengine wakaze buti wakayatafute maji popote yalipo kwa gharama yoyote. PICHA NA VIJIMAMBO/KWANZA PRODUCTIONPamoja na...

 

10 years ago

GPL

SANDRA: SIJAWAHI KUTOA RUSHWA YA NGONO KWA ‘DAIREKTA’

Na Imelda Mtema
MSANII wa siku nyingi katika tansia ya filamu Bongo, Salama Salmin ‘Sandra’ amefunguka kuwa tangu ameanza kujihusisha na mambo ya sanaa hajawahi kuwa na bwana ndani ya klabu ya Bongo Movies na wala hajawahi kutoa rushwa ya ngono kwa ‘dairekta’ kama ilivyo kwa wengine. Msanii wa siku nyingi katika tansia ya filamu Bongo, Salama Salmin ‘Sandra’. Akizungumza na mwandishi wa...

 

10 years ago

Habarileo

Siha waapisha viongozi kwa staili ‘yake’

Naibu Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Aggrey MwanriMAMIA ya wananchi wa wilaya ya Siha juzi walifurika kwa wingi kushuhudia viapo vya kutumikia wananchi vikitolewa na viongozi waliochaguliwa ngazi ya wenyeviti wa vijiji, vitongoji na wajumbe wa halmashauri za vijiji.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani