Siha waapisha viongozi kwa staili ‘yake’
MAMIA ya wananchi wa wilaya ya Siha juzi walifurika kwa wingi kushuhudia viapo vya kutumikia wananchi vikitolewa na viongozi waliochaguliwa ngazi ya wenyeviti wa vijiji, vitongoji na wajumbe wa halmashauri za vijiji.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboJOSE ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA KWA STAILI YA PEKEE
Zawadi hizo kwa Jose.
kwa mapicha ya kumwaga...
10 years ago
Bongo516 Feb
Vituko vya Valentine’s day: Ndoa zafungwa kwa staili yake ndani ya jeneza siku ya wapendanao! (Picha)
11 years ago
Dewji Blog26 May
Mkutano wa Katibu Mkuu wa CCM Taifa Jimbo la Singida Mjini haijawahi kutokea, waingia kwa staili ya aina yake wakitumia Bodaboda na Bajaji
Mbunge wa Jimbo la Singida Mjini, Mh. Mohammed Dewji (MO), Naibu Waziri wa Fedha ambaye pia Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara, Mh. Mwigulu Nchemba wakiwa kwenye boda boda, wakati wa msafara wa kuelekea kwenye mkutano wa hadhara wa CCM uliofanyika eneo la viwanja vya People’s Club mjini Singida.
Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Abdulrahman Kinana , sambamba na Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Nnauye,wakiwasili kwenye viwanja vya People’s Club kwenye mkutano wa hadhara kwa staili ya aina yake kwa...
10 years ago
Dewji Blog28 Nov
Njoo tuage mwezi Novemba kwa staili ya aina yake na Skylight Band ikiwemo Red carpet treatment, Ijumaa hii Thai Village
Kutoka kushoto ni Dinga Mbepera, Aneth Kushaba AK47, Sam Mapenzi na Bella Kombo wakitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village Masaki ambapo ratiba ya Skylight Band wiki hii tukifunga mwezi Novemba kwa mwaka 2014 ni kama ifutavyo.
IJUMAA 28.11.14: Kama kawaida tunaaga mwezi aina yake, skylight friday ndani ya Thai village masaki,special show ya mwisho wa mwezi kuwashukuru wadau wetu, Kutakua na Red carpet treatment, kutakua free shots of...
10 years ago
Habarileo08 Apr
Viongozi wasifu staili ya Karume
VIONGOZI wa Serikali na kidini, wamesifu staili ya uongozi wa Shekhe Abeid Amaan Karume kwa uzalendo na kuweka mbele maslahi ya Taifa na kuwatumikia wananchi.
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_00162.jpg)
NJOO TUAGE MWEZI NOVEMBA KWA STAILI YA AINA YAKE NA SKYLIGHT BAND IKIWEMO RED CARPET TREATMENT, IJUMAA HII THAI VILLAGE
5 years ago
MichuziVIONGOZI WA DINI WILAYANI KARAGWE WAANDAMANA KUMSHUKURU RAIS MAGUFULI KWA KURUHUSU IBAADA DC AWAPOKEA KWA NIABA YAKE NA KUTOA NENO.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uW_E1TgYmlo/XlKXr_GxmWI/AAAAAAALe6g/Kyt8wfTJziolnq1elugK0HlX9L4y3ttZQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200214-WA0018.jpg)
SIHA YAPIGA HATUA KWA MAENDELEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-uW_E1TgYmlo/XlKXr_GxmWI/AAAAAAALe6g/Kyt8wfTJziolnq1elugK0HlX9L4y3ttZQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200214-WA0018.jpg)
*********************
HALMASHAURI ya Wilaya ya Siha Mkoani Kilimanjaro, imetumia sh69 bilioni kwa ajili ya miradi mbalimbali ya maendeleo kupitia mapato ya halmashauri, fedha za ruzuku za serikali kuu, michango ya wananchi na wadau wa maendeleo.
Mkurugenzi...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ciAqQ6as-gU/VDKRTv8bnbI/AAAAAAAGoT4/4JsfcNG5ZBE/s72-c/pic%2B7.jpg)
AIRTEL YAZINDUA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA KWA STAILI LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-ciAqQ6as-gU/VDKRTv8bnbI/AAAAAAAGoT4/4JsfcNG5ZBE/s1600/pic%2B7.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-dYCXPbeOV0s/VDKRYU_la7I/AAAAAAAGoUg/Iwew-LcUoV0/s1600/pic4.jpg)