Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Siha waapisha viongozi kwa staili ‘yake’

Naibu Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Aggrey MwanriMAMIA ya wananchi wa wilaya ya Siha juzi walifurika kwa wingi kushuhudia viapo vya kutumikia wananchi vikitolewa na viongozi waliochaguliwa ngazi ya wenyeviti wa vijiji, vitongoji na wajumbe wa halmashauri za vijiji.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

JOSE ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA KWA STAILI YA PEKEE

Jose akijaribu kupuliza mshumaa alipokua akisherehekea siku yake ya kuzaliwa nyumbani kwake siku ya Jumamosi Novemba 29, 2014 DMV na kuhudhuriwa na ndugu, jamaa na marafiki.Jose akimlisha keki mama mwenye nyumba wake.Mama mwenye nyumba amkulisha keki JoseMdhamini wa pendo lake Jose akimchum huku akmpa zawadi yake. Aunty Asha akimzawadia Jose. Ni zawadi juu ya zawadiZawadi zikiendelea.
Zawadi hizo kwa Jose.Picha zaote na mwakilishi wa Vijimambo Maryland Aloyce Mbullu
kwa mapicha ya kumwaga...

 

10 years ago

Bongo5

Vituko vya Valentine’s day: Ndoa zafungwa kwa staili yake ndani ya jeneza siku ya wapendanao! (Picha)

Miongoni mwa matukio ya kushangaza kama sio kufurahisha yaliyofanywa siku ya Jumamosi Feb.14 katika siku ya wapendanao Valentine’s day, ni lile la wachumba kumi walioamua kufunga ndoa zao wakiwa ndani ya jeneza huko Bangkok, Thailand. Inasemekana kuwa wapenzi hao walifanya hivyo kwa kuamini kuwa ni njia ya kuondoa mikosi katika ndoa zao. Chanzo: Daily Mail

 

11 years ago

Dewji Blog

Mkutano wa Katibu Mkuu wa CCM Taifa Jimbo la Singida Mjini haijawahi kutokea, waingia kwa staili ya aina yake wakitumia Bodaboda na Bajaji

DSC_0204

Mbunge wa Jimbo la Singida Mjini, Mh. Mohammed Dewji (MO), Naibu Waziri wa Fedha ambaye pia Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara, Mh. Mwigulu Nchemba wakiwa kwenye boda boda, wakati wa msafara wa kuelekea kwenye mkutano wa hadhara wa CCM uliofanyika eneo la viwanja vya People’s Club mjini Singida.

DSC_0232

Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Abdulrahman Kinana , sambamba na Katibu wa Itikadi na  Uenezi Nape Nnauye,wakiwasili kwenye viwanja vya People’s Club kwenye mkutano wa hadhara kwa staili ya aina yake kwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Njoo tuage mwezi Novemba kwa staili ya aina yake na Skylight Band ikiwemo Red carpet treatment, Ijumaa hii Thai Village

DSC_0016

Kutoka kushoto ni Dinga Mbepera, Aneth Kushaba AK47, Sam Mapenzi na Bella Kombo wakitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village Masaki ambapo ratiba ya Skylight Band wiki hii tukifunga mwezi Novemba kwa mwaka 2014 ni kama ifutavyo.

IJUMAA 28.11.14: Kama kawaida tunaaga mwezi aina yake, skylight friday ndani ya Thai village masaki,special show ya mwisho wa mwezi kuwashukuru wadau wetu, Kutakua na Red carpet treatment, kutakua free shots of...

 

10 years ago

Habarileo

Viongozi wasifu staili ya Karume

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein (wa pili kulia) na viongozi wengine wakiitikia dua iliyoombwa na Mufti wa Zanzibar, Shehe Saleh Omar Kabi (kulia) baada ya kisomo cha hitma, iliyosomwa jana katika ukumbi wa Ofisi ya CCM Kisiwandui mjini Unguja. (Picha na Ikulu).VIONGOZI wa Serikali na kidini, wamesifu staili ya uongozi wa Shekhe Abeid Amaan Karume kwa uzalendo na kuweka mbele maslahi ya Taifa na kuwatumikia wananchi.

 

10 years ago

GPL

NJOO TUAGE MWEZI NOVEMBA KWA STAILI YA AINA YAKE NA SKYLIGHT BAND IKIWEMO RED CARPET TREATMENT, IJUMAA HII THAI VILLAGE‏

Kutoka kushoto ni Dinga Mbepera, Aneth Kushaba AK47, Sam Mapenzi na Bella Kombo wakitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village Masaki ambapo ratiba ya Skylight Band wiki hii tukifunga mwezi Novemba kwa mwaka 2014 ni kama ifutavyo. Sam Mapenzi akitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band ndani viunga vya Thai Village Masaki jijini Dar Ijumaa iliyopita huku akipewa sapoti na...

 

5 years ago

Michuzi

VIONGOZI WA DINI WILAYANI KARAGWE WAANDAMANA KUMSHUKURU RAIS MAGUFULI KWA KURUHUSU IBAADA DC AWAPOKEA KWA NIABA YAKE NA KUTOA NENO.

 Viongozi wa dini wilayani Karagwe wakiwa kwenye maandamanoViongozi wa madhehebu  ya Dini wilayani Karagwe wakimsikiliza mkuu wa wilaya baada ya kumaliza maandamano yao.
 Askofu Almachius Rweyongeza mwenye kanzu nyeupe pamoja na viongozi wengine wa dini wakiongea na viongozi wenzao wa dini.Askofu Almachius Rweyongeza kulia akiongea na viongozi wenzake wa dini baada ya kupokea maandamano ya Amani yaliyolenga kumshukuru Rais Magufuli kwa kutofunga nyumba za ibaada na kuwaruhusu watanzania...

 

5 years ago

Michuzi

SIHA YAPIGA HATUA KWA MAENDELEO


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Siha Mkoani Kilimanjaro, Ndaki Mhuli akizungumza kwenye kikao cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri hiyo, kulia ni Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Godson Ngomuo na Makamu Mwenyekiti Juma Juni.

*********************
HALMASHAURI ya Wilaya ya Siha Mkoani Kilimanjaro, imetumia sh69 bilioni kwa ajili ya miradi mbalimbali ya maendeleo kupitia mapato ya halmashauri, fedha za ruzuku za serikali kuu, michango ya wananchi na wadau wa maendeleo. 
Mkurugenzi...

 

10 years ago

Michuzi

AIRTEL YAZINDUA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA KWA STAILI LEO

Wakurugenzi wote wa Airtel wakiongozwa na mkuu wao Sunil Colaso (kati) wakikata keki leo wakati wa uzinduzi wa wiki ya huduma kwa wateja ambapo inaadhimishwa duniani kote kuanzia tareh 6, Airtel imejipanga kuadhimisha wiki hii kwa kuwashuru wateja wake wote, kuongeza motishaa kwa watoa huduma wake wote nchini kuendelea kuhudumia wateja, pamoja na kuhamasisha kila mtoa huduma nchini kufahamu umhimu wa mteja.Mkurugenzi mkuu wa Airtel Tanzania Bw Sunil Colaso akiongea na wafanyakazi wote pamoja...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani