Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Viongozi wasifu staili ya Karume

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein (wa pili kulia) na viongozi wengine wakiitikia dua iliyoombwa na Mufti wa Zanzibar, Shehe Saleh Omar Kabi (kulia) baada ya kisomo cha hitma, iliyosomwa jana katika ukumbi wa Ofisi ya CCM Kisiwandui mjini Unguja. (Picha na Ikulu).VIONGOZI wa Serikali na kidini, wamesifu staili ya uongozi wa Shekhe Abeid Amaan Karume kwa uzalendo na kuweka mbele maslahi ya Taifa na kuwatumikia wananchi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Viongozi wa dini wasifu usikivu wa JK

VIONGOZI wa dini waliopewa nafasi kusoma dua, licha ya kuchomekea mahitaji ya taasisi zao, baadhi walisifu usikivu na upole wa Rais Jakaya Kikwete na kusisitiza washauri wake kumshauri vyema.

 

11 years ago

Habarileo

Wasomi, viongozi wa dini wasifu hotuba ya JK

WASOMI na viongozi wa dini wamesifu hotuba ya Rais Jakaya Kikwete aliyotoa kwa wananchi, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano na kusema itasaidia wanaopinga Muungano kujirudi na kuona mafanikio yake.

 

10 years ago

Habarileo

Wazee, viongozi wa dini wasifu amani Tarime

Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalumu ya Tarime/Rorya, Lazaro MambosasaWAZEE wa kimila wa koo 13 za kabila la Wakurya, viongozi wa madhehebu ya dini na makundi ya kijamii wilayani Tarime, wameupongeza Uongozi wa wilaya ya Tarime na Jeshi la Polisi kwa kudumisha amani.

 

10 years ago

Habarileo

Siha waapisha viongozi kwa staili ‘yake’

Naibu Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Aggrey MwanriMAMIA ya wananchi wa wilaya ya Siha juzi walifurika kwa wingi kushuhudia viapo vya kutumikia wananchi vikitolewa na viongozi waliochaguliwa ngazi ya wenyeviti wa vijiji, vitongoji na wajumbe wa halmashauri za vijiji.

 

5 years ago

Michuzi

KARUME DAY KUMBUKIZI YA MIAKA 48 YA KIFO CHA SHEIKH ABEID AMANI KARUME.



By MZEE WA ATIKALI  ✍️✍️✍️


1. USULI:

Jumanne ya leo, tarehe 7.4.2020, imetimia miaka 48 toka aliyekuwa Rais wa kwanza wa Zanzibar, ndugu SHEIKH ABEID AMANI KARUME,  alipouawa kwa kumiminiwa risasi nane na Luteni HOMOUD MOHAMMED BARWAN katika Afisi Kuu ya Afro Shiraz Party, Kisiwandui, Zanzibar.

Kwa mujibu wa "The Public Holidays Act, Cap. 35 (RE 2002)", sikukuu za kitaifa nchini ziko 17 na mojawapo ya sikukuu hizo ni "KARUME DAY". Hivyo, leo ni siku ya mapumziko.

Je, Mwanamapinduzi huyu...

 

9 years ago

Michuzi

TIMU YA KAMATI YA AMANI YA VIONGOZI WA DINI MKOA WA DAR, YAENDELEA KUJIFUA UWANJA WA KARUME KUJIANDAA KUWASAMBARATISHA WENZAO WA ARUSHA MWEZI UJAO.

 Kamanda Mpinga, akishiriki dua ya pamoja na wachezaji wa timu ya Kamati ya Amani ya Viongozi wa Dini, baada ya mazoezi yao timu hiyo yanayoendelea kwenye Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa kirafiki na timu ya Kamati ya Amani ya Mkoa wa Arusha unaotarajia kuchezwa mwezi ujao jijini Arusha na ule wa kirafiki kati yao na timu ya Mabalozi hivi karibuni. Kamanda Mpinga alifika kuwatembelea wachezaji hao kujionea maendeleo ya mazoezi yao.   Kamanda Mpiga...

 

9 years ago

Vijimambo

MAMA KARUME AZINDUA MICHUANO YA KARUME CUP

Makamu Mwenyekiti wa Mpira wa Mikono Zanzibar (BAZA) Ramadhani Khamis Salmin akizungumza wakati wa ufunguzi huu wa michuano ya Kombe la Karume Cup uliofanyika katika viwanja vya Gymkhana Zanzibar na kushirikisha timu 17 za mchezo huo kwa Zanzibar 6 zikiwa za Wanawake na 11 za Wanaume. Mlezi wa Michuano ya Kombe la Karume Cup Mama Shadya Karume akitowa shukarani zake kwa Chama cha Mpira wa Mikono Zanzibar (BAZA) kufanikisha michuano hiyo kwa kipindi chote cha miaka 12 kwa kumuezi Mzee Abeid...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wasifu wa Edward Lowassa

Je unamfahamu Edward Lowassa ni nani katika siasa za Tanzania ?

 

9 years ago

BBCSwahili

Wasifu wa Bi Anna Mghirwa

Mghirwa ndiye mgombea pekee wa kike katika kinyang'anyiro cha urais Tanzania mwaka 2015

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani