Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasifu wa Bi Anna Mghirwa

Mghirwa ndiye mgombea pekee wa kike katika kinyang'anyiro cha urais Tanzania mwaka 2015

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Je unamfahamu Anna Mghirwa ?

Je unamfahamu Anna Mghirwa ? tazama mahojiano yake na Zuhura Yunus wa BBC Dira ya Dunia TV hapa

 

9 years ago

BBCSwahili

Anna Mghirwa mgombea urais mwanamke TZ

Anna Mghirwa ambaye mgombea urais pekee mwanamke katika uchaguzi wa mwaka huu nchini Tanzania.

 

12 years ago

BBCSwahili

Wasifu wa Nelson Mandela

Mandela alikuwa Rais wa zamani wa Afrika Kusini na amefariki akiwa na umri wa miaka

 

10 years ago

BBCSwahili

Wasifu wa Edward Lowassa

Je unamfahamu Edward Lowassa ni nani katika siasa za Tanzania ?

 

10 years ago

Habarileo

Viongozi wa dini wasifu usikivu wa JK

VIONGOZI wa dini waliopewa nafasi kusoma dua, licha ya kuchomekea mahitaji ya taasisi zao, baadhi walisifu usikivu na upole wa Rais Jakaya Kikwete na kusisitiza washauri wake kumshauri vyema.

 

10 years ago

Michuzi

WASIFU WA BERNARD KAMILIUS MEMBE

Bernard Kamilius Membe alizaliwa tarehe 9 Novemba, 1953, Rondo, Chiponda, katika Mkoa wa Lindi, akiwa ni mtoto wa pili kati wa watoto saba (7) waliozaliwa katika familia ya Mzee Kamillius Anthony Ntachile na Mama Cecilia John Membe. Kwa kabila, Bernard Membe ni Mmwera, na kama ilivyo desturi ya Wamwera, watoto hutumia jina la ukoo wa Mama. Hivyo watoto wote saba wa familia hii ya Mzee Kamillius wamekuwa wanatumia jina la upande wa mama yao, Cecilia, yaani Membe.
Elimu:1962 – 1968: Elimu ya...

 

10 years ago

Habarileo

EU, UN wasifu uboreshaji hali za wanawake

SERIKALI ya Tanzania imepongezwa na Umoja wa Mataifa kwa juhudi zake kubwa, inazofanya katika kuhakikisha kuna usawa wa jinsia nchini humu.

 

9 years ago

Habarileo

Wabunge wasifu hotuba ya Magufuli

WABUNGE wamesifu hotuba ya ufunguzi wa Bunge la 11 iliyotolewa bungeni jana na Rais wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli. Hotuba hiyo ni ufunguzi rasmi wa Bunge la 11, ambapo mkutano wa kwanza wa bunge hilo ulianza Jumanne wiki hii mjini hapa.

 

9 years ago

Habarileo

Wastaafu wasifu utendaji wa Dk Magufuli

UMOJA wa Wazee Wastaafu mkoani Shinyanga (UWASHI), wamempongeza Rais John Magufuli kwa utendaji wake wa kazi ambao wameeleza kuwa unafanana na ule wa enzi ya Mwalimu Julius Nyerere.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani