Wastaafu wasifu utendaji wa Dk Magufuli
UMOJA wa Wazee Wastaafu mkoani Shinyanga (UWASHI), wamempongeza Rais John Magufuli kwa utendaji wake wa kazi ambao wameeleza kuwa unafanana na ule wa enzi ya Mwalimu Julius Nyerere.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo21 Nov
Wabunge wasifu hotuba ya Magufuli
WABUNGE wamesifu hotuba ya ufunguzi wa Bunge la 11 iliyotolewa bungeni jana na Rais wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli. Hotuba hiyo ni ufunguzi rasmi wa Bunge la 11, ambapo mkutano wa kwanza wa bunge hilo ulianza Jumanne wiki hii mjini hapa.
9 years ago
Habarileo30 Nov
AFP wasifu kasi ya Rais Magufuli
CHAMA cha siasa cha Alliance for Tanzania Farmers (AFP) kimetoa pongezi kwa Rais John Magufuli na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kwa kasi ya utendaji kazi ambayo wameionesha na kuleta matumaini kwa wananchi.
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Wapinzani wapongeza utendaji wa Magufuli
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wnn-u-wJiZM/VlA71SQdCiI/AAAAAAAIHh8/A0k8Okc097w/s72-c/tt.jpg)
ONLY IN TANZANIA: RAIS MAGUFULI AKIWA NA MARAIS WASTAAFU BUNGENI DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-wnn-u-wJiZM/VlA71SQdCiI/AAAAAAAIHh8/A0k8Okc097w/s640/tt.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-MVNrNtOXW60/XtJItbaXfbI/AAAAAAABMRU/RvAjGy9ZIAQOL0veFHGAiPfdfA003R6AwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS MAGUFULI AKABIDHI ZAWADI YA TAUSI 100 KWA MARAIS WASTAAFU
![](https://1.bp.blogspot.com/-MVNrNtOXW60/XtJItbaXfbI/AAAAAAABMRU/RvAjGy9ZIAQOL0veFHGAiPfdfA003R6AwCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-7phqMk6MkVw/XtJIsy-GyQI/AAAAAAABMRQ/wRt0lSW9-uMb92N8D9VM-mud48wfCB10QCLcBGAsYHQ/s400/2.jpg)
9 years ago
StarTV01 Dec
UWT Dar  wampongeza Utendaji Wa Rais Magufuli kwa mwanzo mzuri
Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi, U.W.T Mkoa wa Dar es salaam wamempongeza Rais Magufuli kwa uwajibikaji wake na utendaji kazi kwa kupiga vita mafisadi na wakwepa kodi.
Rais Magufuli amefananishwa na hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, kwa ufuatiliaji na kasi yake aliyoianza ya kuwa karibu na wananchi katika kuhakikisha anakomesha kero zao na kuwawajibisha viongozi wazembe.
Janeth Masaburi ni Mwenyekiti wa U.W.T. mkoa wa Dar es salaam amewataka watanzania bila...
9 years ago
Dewji Blog14 Nov
BAKWATA Mkoani Singida wapongeza utendaji wa Rais Dk. Magufuli aliyoanza nayo!
Katibu BAKWATA mkoa wa Singida,Alhaj Burhan Mlau,akiwa ofisini kwake akitekeleza majukumu yake jana.Picha na Nathaniel Limu.
Na Nathaniel Limu
[SINGIDA]
Aina ya kasi ya utendaji kazi aliyoanza nayo rais Dk.John Pombe Magufuli,imeendelea kuwakuna Watanzania wengi kila kona ya nchi,wakiwemo viongozi wa madhehebu mbalimbali ya dini.
Katibu wa BAKWATA mkoa wa Singida,Alhaj Burhan Mlau,amesema kutokana na utendaji ulioonyeshwa na Dk.Magufuli kwa muda mfupi,ana imani kubwa kwamba utendaji huo...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-RFOboB6h-ys/Xr-C9_7PijI/AAAAAAACLBE/BgYJQ1YyI5oZsJF4lJ_aSHRM14P-FNsawCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200515_114019.jpg)
BABA WA UZAO: RAIS DK. MAGUFULI HANA HISTORIA YA KUSHINDWA KATIKA UTENDAJI WAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-RFOboB6h-ys/Xr-C9_7PijI/AAAAAAACLBE/BgYJQ1YyI5oZsJF4lJ_aSHRM14P-FNsawCLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200515_114019.jpg)
Kanisa Halisi la Mungu Baba lililopo Tegeta jijini Dar es Salaam, limesema, Rais Dk. John Magufuli, hana historia ya kushindwa katika utendaji wake kwa kuwa amebarikiwa na Mungu Baba, hivyo kila atakayemwinua na kumuombea mema kama lilivyofanya kanisa hilo atapata baraka tena za halali kabisa.
Hayo yamesemwa jana na Kiongozi wa Kanisa hilo anayejulikana kwa jina la Baba wa Uzao, wakati wa kuhitimisha ibada ya siku tisa ya kumuomba Mungu amfiche Rais Dk. Magufuli waovu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HMxEGepLXxQ/XsaGheryzdI/AAAAAAALrIs/1qr5EL5M3foxwUwA74PQYAdMr9gP_hSdwCLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot%2B2020-05-21%2Bat%2B16.27.24%2B%25281%2529.png)
UTENDAJI KAZI WA KAMISHNA JENERALI WA JESHI LA MAGEREZA SULEIMAN MZEE WAMKOSHA RAIS JOHN MAGUFULI
![](https://1.bp.blogspot.com/-HMxEGepLXxQ/XsaGheryzdI/AAAAAAALrIs/1qr5EL5M3foxwUwA74PQYAdMr9gP_hSdwCLcBGAsYHQ/s640/Screenshot%2B2020-05-21%2Bat%2B16.27.24%2B%25281%2529.png)
Na Said Mwishehe, Michuzi TVUTENDAJI kazi unaofanywa na Kamishna Jenereli wa Magereza Suleiman Mzee (pichani) umemkosha sana Rais Dk. John Pombe Magufuli ambapo amesema anafanya kazi nzuri sana na wakati mwingine amekuwa akimuona ameshika koleo kwa ajili ya kuchimba mchanga akishirikiana na wafungwa.
Akizungumza leo Mei 21 mwaka huu, akiwa katika Ikulu ya Chamwino Mjini Dodoma, Rais Magufuli amesema kuwa alifanya mabadiliko ya Kamishna Jenerali wa Magereza na kwamba aliyeko sasa anafanya kazi...