UWT Dar  wampongeza Utendaji Wa Rais Magufuli kwa mwanzo mzuri
Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi, U.W.T Mkoa wa Dar es salaam wamempongeza Rais Magufuli kwa uwajibikaji wake na utendaji kazi kwa kupiga vita mafisadi na wakwepa kodi.
Rais Magufuli amefananishwa na hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, kwa ufuatiliaji na kasi yake aliyoianza ya kuwa karibu na wananchi katika kuhakikisha anakomesha kero zao na kuwawajibisha viongozi wazembe.
Janeth Masaburi ni Mwenyekiti wa U.W.T. mkoa wa Dar es salaam amewataka watanzania bila...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-KQ3TwhlkuQs/VnlJjtD7crI/AAAAAAAIN5U/KJcjxnO_u2s/s72-c/magufuli1.jpg)
IGWUTA WAMPONGEZA RAIS MAGUFULI KWA KAZI ZAKE
![](http://3.bp.blogspot.com/-KQ3TwhlkuQs/VnlJjtD7crI/AAAAAAAIN5U/KJcjxnO_u2s/s320/magufuli1.jpg)
Akizungumza na Waandishi wa habari leo Katibu Mkuu wa chama chama cha IGWUTA, Michael Kashamba amesema kuwa,Wamefurahishwa kwa kumpata Rais Magufuli na wanatoa wito kwa Wafanyakazi wote hapa nchini kujitokeza na kumuunga...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-WPVH2X2c3_w/XmFZ7YoM0cI/AAAAAAALhbQ/0ZicZqFIsYQGWr_wDE5dX1dWffa8zUCogCLcBGAsYHQ/s72-c/8a8e3752-dcd6-4de9-a19c-5be6977a338f.jpg)
KATIBU MKUU UWT AMPONGEZA RAIS MAGUFULI KWA KUWAPA WANAWAKE KIPAUMBELE
Charles James, Michuzi TV
KATIBU Mkuu wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Queen Mlozi amempongeza Rais Dk John Magufuli kwa kuwapa nafasi za uongozi wanawake kwenye serikali yake ya awamu ya tano.
Katibu huyo ametoa pongezi hizo pamoja na kumuomba Rais Magufuli kuendelea kuwapa nafasi kwani waliopo wameonesha jinsi gani mwanamke akipewa nafasi anaweza kufanya vizuri.
Akizungumza na wandishi wa habari jijini Dodoma leo kuelekea maadhimisho ya siku ya wanawake duniani itakayofanyika Machi 8,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wklWNBgE070/XrPtK1goT2I/AAAAAAALpXA/Ktst3OXIzhQUuH7ljL1jEvUE6QP0jKELwCLcBGAsYHQ/s72-c/3a9aa480-ea24-40bd-846c-515358dd541a%2B%25281%2529.jpg)
CCM UBUNGO WAMPONGEZA DC MAKORI KWA UTENDAJI
Taarifa ilitolewa leo na Katibu wa Siasa ya Uenezi, Wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam Mbaruku Masudi, imeeleza kuwa katika kikao hicho pamoja na mambo kilipokea taarifa ya Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Kisare Makori ikiwamo hali ya ugonjwa wa corona, ujenzi wa vyumba vya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-o-iftunf9m0/Xs5sKoVfHuI/AAAAAAAAMX0/-u54N-33fpgWuVSJCHe0Hoeif2-7HiXjQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.png)
WAKULIMA WILAYA YA IKUNGI WAMPONGEZA RAIS DKT. JOHN MAGUFULI KWA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-o-iftunf9m0/Xs5sKoVfHuI/AAAAAAAAMX0/-u54N-33fpgWuVSJCHe0Hoeif2-7HiXjQCLcBGAsYHQ/s640/1.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-N-jaXoNDBDs/Xs5sIumtuUI/AAAAAAAAMXs/PTznSJOSvE8p_T7IGPMs9oIwQhmGr-LtQCLcBGAsYHQ/s640/2.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-kXl-FC5nBwk/Xs5sJxecqkI/AAAAAAAAMXw/Soa0dyXhhgIU2dHr8e6ASbEn0TVNb5dzACLcBGAsYHQ/s640/vlcsnap-2020-05-27-15h10m19s748.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Xup153Qqz1Y/Xs5sMM2TG-I/AAAAAAAAMX4/F53rTArN5DY52yqdhvBBjKQLKUTkQpeHgCLcBGAsYHQ/s640/vlcsnap-2020-05-27-15h11m55s710.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-3a_Id4U13K4/Xs5sOUMxw6I/AAAAAAAAMX8/_tWr4BX1lIkXqNYrrkPkbfUv8voIXVdbgCLcBGAsYHQ/s640/vlcsnap-2020-05-27-15h12m55s580.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-24qSAMLaJ1E/Xs5sOwbGTMI/AAAAAAAAMYE/CuRWPBXTsa4VwejWXoRjQNyX8ECyGKiuQCLcBGAsYHQ/s640/vlcsnap-2020-05-27-15h13m35s228.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-b8yw5_3azG0/Xs5sOti3mkI/AAAAAAAAMYA/m2Haw1d-v5c29TgK7_MKRB12hnhb9prqgCLcBGAsYHQ/s640/vlcsnap-2020-05-27-15h17m45s705.png)
5 years ago
CCM Blog5 years ago
MichuziWAZIRI MPANGO ATANGULIZA MSAMAHA WAKATI AKIMIMINIA SIFA RAIS DKT.JOHN MAGUFULI KWA UTENDAJI KAZI WAKE
Na Said Mwishehe, Michuzi TV.
WAZIRI wa Fedha na Mipango Dk.Philip Mpango ameomba msamaha ili kutoa ushuhuda ushuhuda wake kuhusu Rais Dk.John Magufuli ambapo amesema Baba huyu(Dk.Magufuli) ni kiongozi mwenye maono na uwezo mkubwa.
Aidha, ana kipaji cha hali ya juu cha kufanya yasiyowezekana na ni kiongozi ambaye anafahamu vema kuwa ili nchi ifanikiwe kuleta mabadiliko chanya ni lazima kuvunja kabisa...
9 years ago
Dewji Blog04 Nov
9 years ago
Habarileo07 Jan
Maimamu Z’bar wampongeza Rais Magufuli
JUMUIYA ya Maimamu Zanzibar (Jumaza) kwa kushirikiana na taasisi za Kiislamu wamepongeza juhudi zinazochukuliwa na Rais John Magufuli za kuleta suluhu ya kudumu ya Zanzibar katika mazungumzo yanayowashirikisha viongozi wakuu wa vyama vya siasa na marais wastaafu.
9 years ago
StarTV16 Dec
Utendaji Wa Rais Magufuli wawafanya Wakenya kutamani awe Rais wao
Raia wa Kenya wamewataka Watanzania kutoa ushirikiano kwa Rais Dokta John Magufuli katika juhudi zake ya kupambana na Ufisadi na Ubadhilifu wa mali za umma anazoendelea kuzichukua tangu aapishwe kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Novemba tano mwaka huu.
Wakenya hao wamesema kimsingi hata wao wanatamani kuwa na Rais kama Dokta Magufuli kwa sababu ameonesha kuwa ni Mzalendo anayeipenda nchi yake na anayepigania maslahi ya wananchi masikini ambao kwa miaka kadhaa wamekosa fursa ya...