KATIBU MKUU UWT AMPONGEZA RAIS MAGUFULI KWA KUWAPA WANAWAKE KIPAUMBELE
![](https://1.bp.blogspot.com/-WPVH2X2c3_w/XmFZ7YoM0cI/AAAAAAALhbQ/0ZicZqFIsYQGWr_wDE5dX1dWffa8zUCogCLcBGAsYHQ/s72-c/8a8e3752-dcd6-4de9-a19c-5be6977a338f.jpg)
Charles James, Michuzi TV
KATIBU Mkuu wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Queen Mlozi amempongeza Rais Dk John Magufuli kwa kuwapa nafasi za uongozi wanawake kwenye serikali yake ya awamu ya tano.
Katibu huyo ametoa pongezi hizo pamoja na kumuomba Rais Magufuli kuendelea kuwapa nafasi kwani waliopo wameonesha jinsi gani mwanamke akipewa nafasi anaweza kufanya vizuri.
Akizungumza na wandishi wa habari jijini Dodoma leo kuelekea maadhimisho ya siku ya wanawake duniani itakayofanyika Machi 8,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV11 Nov
Rais Magufuli ashauriwa kuwapa kipaumbele wanawake
Wanaharakati wa kutetea haki za wanawake nchini wamemshauri Rais John Magufuli kutekeleza ahadi zake kwa vitendo ikiwemo kuteua wanawake zaidi katika nafasi za juu za uongozi.
Wanaharakati hao wamemsisitiza Rais Magufuli kuunda Baraza la Mawaziri lenye sura za usawa wa kijinsia ili kuondoa mfumo dume katika uamuzi.
Wakati Bunge la 11 likitarajiwa kuanza Novemba 17 mwaka huu, wananchi wamekuwa na mtazamo tofauti kuhusu baraza jipya la mawaziri, ambapo wanaharakati wa kutetea haki za wanawake...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-eVSPenXB4v0/XvLswpt_-fI/AAAAAAALvKA/UXq_79XnpQcizgisBCC-75oXrGzhiYrPQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-23%2Bat%2B6.07.09%2BPM.jpeg)
KATIBU UWT WILAYA YA DODOMA MJINI AONGOZA ZOEZI LA KUMDHAMINI RAIS MAGUFULI
Charles James, Michuzi TV
WANAWAKE wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kupitia Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Wilaya ya Dodoma Mjini leo wamejitokeza kwa wingi kumdhamini Rais Dk John Magufuli katika fomu yake ya kuwania Urais kupitia chama hiko.
Zoezi hilo la ujazaji fomu limeongozwa na Katibu wa UWT Wilaya ya Dodoma Mjini, Diana Madukwa katika uwanja wa Jamhuri ambapo jumla ya wanawake 1,000 wamejitokeza kumdhamini Rais Magufuli.
Akizungumza na Michuzi Blog, Katibu huyo wa UWT Dodoma Mjini, Diana...
9 years ago
Mwananchi13 Oct
Katibu UWT aomba wanawake wasimwangushe Samia
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eII0G2S8hk0/VlLagPk1YtI/AAAAAAAIH78/UdN7xHkFf6A/s72-c/zzz.png)
Rais wa Ireland Mhe. Michael D. Higgins ampongeza Dkt John Pombe Magufuli kwa kuchaguliwa kuwa Rais
![](http://4.bp.blogspot.com/-eII0G2S8hk0/VlLagPk1YtI/AAAAAAAIH78/UdN7xHkFf6A/s640/zzz.png)
SALAMU ZA PONGEZI
Rais wa Ireland, Mheshimiwa Michael D. Higgins amemtumia Salamu za Pongezi Dkt. John Pombe Joseph Magufuli kwa kuchaguliwa kwake kuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Katika Salamu zake hizo, Rais Higgins amesema Ireland na Tanzania zimekuwa na uhusiano mzuri na wa kirafiki kwa miaka mingi, hivyo ana matarajio kwamba katika kipindi cha uongozi wa Rais Magufuli, uhusiano huo utaimarishwa zaidi.
“Ireland na Tanzania zimekuwa na mipango ya maendeleo na...
9 years ago
StarTV01 Dec
UWT Dar  wampongeza Utendaji Wa Rais Magufuli kwa mwanzo mzuri
Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi, U.W.T Mkoa wa Dar es salaam wamempongeza Rais Magufuli kwa uwajibikaji wake na utendaji kazi kwa kupiga vita mafisadi na wakwepa kodi.
Rais Magufuli amefananishwa na hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, kwa ufuatiliaji na kasi yake aliyoianza ya kuwa karibu na wananchi katika kuhakikisha anakomesha kero zao na kuwawajibisha viongozi wazembe.
Janeth Masaburi ni Mwenyekiti wa U.W.T. mkoa wa Dar es salaam amewataka watanzania bila...
5 years ago
MichuziMEYA TANGA AMPONGEZA RAIS MAGUFULI KWA KUTHAMINI IMANI ZA WATU
Mkuu wa wilaya ya Tanga Thobias Mwilapwa akizungumza wakati wa kikao cha Baraza la Madiwani
MSTAHIKI meya wa Jiji la Tanga Alhaji Mustapha Selebosi akizungumza wakati wa kikao cha Baraza la Madiwani leo kulia ni Mkurugenzi wa Jiji la Tanga Daudi Mayeji kushoto ni Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Tanga Meja Mstaafu Mkoba
Mkurugenzi wa Jiji la Tanga Daudi Mayeji akizungumza wakati wa kikao hicho kulia ni Mkuu wa wilaya ya Tanga Thobias Mwilapwa na kushoto ni Mstahiki Meya wa Jiji hilo Alhaj...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-252kz6b_CqY/XmB5Xeym1RI/AAAAAAALhFY/UngzP2aJBes10qJo3DX4viwlNFnXqqGpgCLcBGAsYHQ/s72-c/3ac45ab2-387f-47f8-b3a8-e59ea2a28a0c.jpg)
5 years ago
MichuziWAZIRI WA FEDHA DK.MPANGO AMPONGEZA RAIS MAGUFULI KWA JINSI ANAVYOLIONGOZA VEMA TAIFA, AGUSIA CORONA , MAFURIKO
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
WAZIRI wa Fedha na Mipango Dk.Philip Mpango ametoa pongezi za dhati kwa Rais Dk.John Magufuli kwa jinsi alivyoendelea kuliongoza vema Taifa letu huku akifafanua kwa kipindi cha miaka minne na nusu ya utawala wake tumeshuhudia kuimarika kwa uchumi , mfumuko wa bei umethibitiwa na miradi mikubwa ya maendeleo imetekelezwa.
Pia amesema wajibu katika utumishi wa umma umeimarika na kero za wananchi wanyonge zimetatuliwa, hivyo kwa kipekee kumuamini kuongoza Wizara ya...
5 years ago
MichuziWAZIRI WA FEDHA DK.MPANGO AMPONGEZA RAIS MAGUFULI KWA JINSI ANAVYOLIONGOZA VEMA TAIFA, AGUSIA CORONA , MAFURUKO
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
WAZIRI wa Fedha na Mipango Dk.Philip Mpango ametoa pongezi za dhati kwa Rais Dk.John Magufuli kwa jinsi alivyoedelea kuliongoza vema Taifa letu huku akifafanua kwa kipindi cha miaka minne na nusu ya utawala wake tumeshuhudia kuimarika kwa uchumi , mfumumo wa bei umethibitiwa na miradi mikubwa ya maendeleo imetekelezwa.
Pia amesema wajibu wa katika utumishi wa umma umeimarika na kero za wananchi wanyonge zimetatuliwa, hivyo kwa kipekee kumuamini kuongoza Wizara ya...