CCM UBUNGO WAMPONGEZA DC MAKORI KWA UTENDAJI
![](https://1.bp.blogspot.com/-wklWNBgE070/XrPtK1goT2I/AAAAAAALpXA/Ktst3OXIzhQUuH7ljL1jEvUE6QP0jKELwCLcBGAsYHQ/s72-c/3a9aa480-ea24-40bd-846c-515358dd541a%2B%25281%2529.jpg)
KAMATI ya Siasa ya Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Ubungo, chini ya mwenyekiti wake Lucas Mgonja, imempongeza Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Kisare Makori kwa utendaji wake ikiwamo vita dhidi ya ugonjwa wa corona wilayani humo.
Taarifa ilitolewa leo na Katibu wa Siasa ya Uenezi, Wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam Mbaruku Masudi, imeeleza kuwa katika kikao hicho pamoja na mambo kilipokea taarifa ya Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Kisare Makori ikiwamo hali ya ugonjwa wa corona, ujenzi wa vyumba vya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV01 Dec
UWT Dar  wampongeza Utendaji Wa Rais Magufuli kwa mwanzo mzuri
Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi, U.W.T Mkoa wa Dar es salaam wamempongeza Rais Magufuli kwa uwajibikaji wake na utendaji kazi kwa kupiga vita mafisadi na wakwepa kodi.
Rais Magufuli amefananishwa na hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, kwa ufuatiliaji na kasi yake aliyoianza ya kuwa karibu na wananchi katika kuhakikisha anakomesha kero zao na kuwawajibisha viongozi wazembe.
Janeth Masaburi ni Mwenyekiti wa U.W.T. mkoa wa Dar es salaam amewataka watanzania bila...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/fUheMbn-YCI/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0R4WLFRUOW8/VWws2ulVmwI/AAAAAAAAQOI/Cnkn43gUkNA/s72-c/E86A8904%2B%2528800x533%2529.jpg)
CCM MOSHI VIJIJINI WAMPONGEZA MWENYEKITI MPYA WA MJI MDOGO WA HIMO HUSSEIN JAMAL.
![](http://4.bp.blogspot.com/-0R4WLFRUOW8/VWws2ulVmwI/AAAAAAAAQOI/Cnkn43gUkNA/s640/E86A8904%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-g4Z4Z-33N1c/VWws7MXl8kI/AAAAAAAAQOk/R62bZTDe1og/s640/E86A8916%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-raQz9jYwXJs/VWws_IIgVpI/AAAAAAAAQPU/KDk4LCKAmjo/s640/E86A8970%2B%2528800x533%2529.jpg)
9 years ago
GPL26 Oct
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-MsrhAIV0SVk/VCHW28h3tSI/AAAAAAAARJU/xStLmkAFEqI/s72-c/1.jpg)
KINANA AITEKA HANDENI WENGI WAMPONGEZA KWA KUTOA NAFASI KWA WANANCHI KUULIZA MASWALI
![](http://4.bp.blogspot.com/-MsrhAIV0SVk/VCHW28h3tSI/AAAAAAAARJU/xStLmkAFEqI/s1600/1.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wananchi wa kata ya Kwaluguru wakati wa kukagua maendeleo ya ujenzi wa vyumba vitatu vya maabara katika shule ya sekondari Kwaluguru wilayani Handeni.
![](http://3.bp.blogspot.com/-fuskadLsPA8/VCHZZKnd1LI/AAAAAAAARKQ/on2mQhf5d-w/s1600/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6xtmrlQGs-Q/VCHZLH-x7uI/AAAAAAAARKI/EEWB0Cj6gyw/s1600/3.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu...
10 years ago
Daily News07 Aug
CCM set to recover Kawe, Ubungo constituencies
Daily News
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) can only recover Ubungo and Kawe constituencies in Dar es Salaam Region currently under the opposition Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), if it fields strong candidates, a senior official of the ruling party ...
9 years ago
Habarileo11 Oct
Wenye bodaboda 500 Ubungo wajiunga CCM
WAENDESHA bodaboda zaidi ya 500 katika Jimbo la Ubungo jijini Dar es Salaam, wameahidi kuwa wanachama watiifu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), baada ya kupewa elimu kuhusu nini kilisababisha wao kuzuiwa kuingia katikati ya Jiji la Dar es Salaam.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VB_u-yjFu6E/XutIw9pNrII/AAAAAAALubM/mHXRMWXQ2U84tfdPo3v1dWXyKRqwHQf2wCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-18%2Bat%2B11.34.46%2BAM%2B%25281%2529.jpeg)
CCM Ubungo wamdhamini JPM kurudi Ikulu
Taarifa ilitolewa leo na Katibu wa Siasa na Uenezi Wilaya ya Ubungo, Mbaruku Masudi, ilieleza kuwa wajumbe hao wa Halmashauri Kuu ya...
10 years ago
Habarileo24 Dec
Bugando wampongeza JK kwa misaada ya vifaa
HOSPITALI ya Rufaa ya Bugando jijini Mwanza imempongeza Rais Jakaya Kikwete kwa kutekeleza ahadi yake ya kuwapatia vifaa maalumu vya upasuaji wa mishipa ya fahamu, ubongo na uti wa mgongo na kwamba tayari vimeanza kazi.