Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bugando wampongeza JK kwa misaada ya vifaa

HOSPITALI ya Rufaa ya Bugando jijini Mwanza imempongeza Rais Jakaya Kikwete kwa kutekeleza ahadi yake ya kuwapatia vifaa maalumu vya upasuaji wa mishipa ya fahamu, ubongo na uti wa mgongo na kwamba tayari vimeanza kazi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MRADI WA HAKUNA WASICHOWEZA WATOA ELIMU NA MISAADA YA VIFAA VYA KUJISITIRI WAKATI WA HEDHI KWA WASICHANA 6000 MKOANI MTWARA

Mwakilishi wa Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara Bw. Salum Masalanga (katikati) akikabidhi msaada wa pedi kwa Mwanafunzi wa Shule ya Msingi ya Maendeleo, Neema Mohamed chini ya programu ya Hakuna Wasichoweza iliyofadhiliwa na Vodacom na T-MARC. Wakishuhudia tukio hilo, ni Mkuu wa Kitengo cha Huduma kwa Jamii Vodacom, Yesaya Mwakifulefule (kushoto)na Mratibu wa Mradi kutoka T-MARC Tanzania, Bi. Dorice Chalambo (kulia), mradi huo umeanza kufanya kazi mkoa wa Mtwara na Lindi na kusambaa nchi nzima....

 

9 years ago

Dewji Blog

Pinda aendelea kupokea misaada ya vifaa mbalimbali kusaidia shule mpya ya msingi Kakuni Mkoani Katavi

PM -1

Mwakilishi wa Kampuni ya HUAWEI nchini Tanzania Bw. Jimmy Liguo Jin (kushoto) akimkabidhi Waziri Mkuu  Mhe. Mizengo Pinda sehemu ya msaada wa kompyuta mpakato zilizotolewa na kampuni hiyo kusaidia wanafunzi wa shule mpya ya Msingi ya Kakuni  iliyo katika kijiji cha Kibaoni mkoani Katavi leo jijini Dar es salaam. Shule hiyo ya kisasa imeanzishwa kufuatia  wazo la Wazo la Waziri Mkuu, Mhe.Mizengo Pinda la kuwa na shule Bora na ya kisasa katika kijiji hicho na inajengwa kupitia michango na...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI MAVUNDE AMWAGA MISAADA YA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORANA GEREZA KUU ISANGA, LEO JIJINI DODOMA






Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulia Kazi, Vijana na Ajira Mhe. Anthony Mavunde akizungumza nje ya Gereza akikabidhi vifaa vya kujikinga na janga la corona katika Gereza Kuu Isanga, jijini Dodoma. Mhe. Mavunde amekabidhi msaada uliojumuisha vifaa mbalimbali ikiwemo sabuni, ndoo za maji pamoja na vitakasa mikono(Sanitizer).
Baadhi ya vifaa hivyo vilivyokabidhiwa katika Gereza Kuu Isanga na Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulia Kazi, Vijana na Ajira Mhe. Anthony...

 

9 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AENDELEA KUPOKEA MISAADA YA VIFAA MBALIMBALI KUSAIDIA SHULE MPYA YA MSINGI KAKUNI MKOANI KATAVI

 WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mizengo Peter Pinda amepokea Msaada wa Vifaa vya Shule ikiwemo sare, Kompyuta pamoja na vifaa vya Michezo kutoka kampuni ya Huawei na Benki ya NMB.
 Pinda amepokea misaada hiyo kutoka Kampuni hizo kwa lengo la kuzindua mradi wa ujenzi wa Shule ya Msingi Kakuni katika kijiji cha Kibaoni Wilaya ya Mlele mkoa wa Katavi.

Shule ya Msingi Kakuni iliyopo kijiji cha Kibaoni Mkoani Katavi ni Shule aliyosoma Waziri Mkuu huyo Mhe,Mizengo Pinda.

Mradi huo wa...

 

10 years ago

Vijimambo

KINANA AITEKA HANDENI WENGI WAMPONGEZA KWA KUTOA NAFASI KWA WANANCHI KUULIZA MASWALI



Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wananchi wa kata ya Kwaluguru wakati wa kukagua maendeleo ya ujenzi wa vyumba vitatu vya maabara katika shule ya sekondari Kwaluguru wilayani Handeni.Wananchi wa kata ya Kwaluguru wakimsikiliza Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahma Kinana  wakati wa ukaguzi wa maendeleo ya ujenzi wa maabara tatu za masomo ya sayansi katika shule ya sekondari Kwaluguru ambapo vyumba 83 vya maabara vinajengwa wilayani Handeni.

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu...

 

5 years ago

Michuzi

CCM UBUNGO WAMPONGEZA DC MAKORI KWA UTENDAJI

KAMATI ya Siasa ya Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Ubungo, chini ya mwenyekiti wake Lucas Mgonja, imempongeza Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Kisare Makori kwa utendaji wake ikiwamo vita dhidi ya ugonjwa wa corona wilayani humo.

Taarifa ilitolewa leo na Katibu wa Siasa ya Uenezi, Wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam Mbaruku Masudi, imeeleza kuwa katika kikao hicho pamoja na mambo kilipokea taarifa ya Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Kisare Makori  ikiwamo hali ya ugonjwa wa corona, ujenzi wa vyumba vya...

 

10 years ago

Habarileo

Madiwani wampongeza ofisa mipango kwa kazi nzuri

BARAZA la madiwani la halmashauri ya wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma lililovunjwa rasmi juzi, limempongeza Ofisa mipango wa halmashauri hiyo Thekla Nyoni kutokana na utendaji mzuri wa kazi.

 

5 years ago

Michuzi

Viongozi wa Dini Wampongeza JPM kwa Ungozi Uliotukuka

Na. Immaculate Makilika- MAELEZO

Viongozi wa dini jijini Dodoma wamempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli kwa uongozi wake uliotukuka.

Akizungumza leo jijini Dodoma, Askofu wa Kanisa la EAGT Ipagala jijini humo, Evance Chande alisema kuwa Rais John Pombe Magufuli ni kiongozi mwenye uthubuti, mwenye kufanya maamuzi magumu ambayo yamesaidia katika utekelezaji na usimamizi wa miradi mbalimbali kama vile ujenzi wa reli ya kisasa, ujenzi wa bwawa la kufua...

 

9 years ago

Michuzi

IGWUTA WAMPONGEZA RAIS MAGUFULI KWA KAZI ZAKE

Na Zainabu Hamis wa Globu ya Jami.CHAMA cha wafanyakazi wa viwanda na sekta mbalimbali(IGWUTA) champongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Joseph Magufuli (Pichani)kwa namna na jinsi anavyofanya kazi yake hasa ile ya kupambana na mafisadi na wanafiki.
Akizungumza na Waandishi wa habari leo Katibu Mkuu wa chama chama cha IGWUTA, Michael Kashamba amesema kuwa,Wamefurahishwa kwa  kumpata Rais Magufuli na wanatoa wito kwa Wafanyakazi wote hapa nchini kujitokeza na kumuunga...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani