Bugando wampongeza JK kwa misaada ya vifaa
HOSPITALI ya Rufaa ya Bugando jijini Mwanza imempongeza Rais Jakaya Kikwete kwa kutekeleza ahadi yake ya kuwapatia vifaa maalumu vya upasuaji wa mishipa ya fahamu, ubongo na uti wa mgongo na kwamba tayari vimeanza kazi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-di-bWl9n6Ss/U2IPZWuV18I/AAAAAAAFeXA/vCtZfGiP2fg/s72-c/No.+1.jpg)
MRADI WA HAKUNA WASICHOWEZA WATOA ELIMU NA MISAADA YA VIFAA VYA KUJISITIRI WAKATI WA HEDHI KWA WASICHANA 6000 MKOANI MTWARA
![](http://1.bp.blogspot.com/-di-bWl9n6Ss/U2IPZWuV18I/AAAAAAAFeXA/vCtZfGiP2fg/s1600/No.+1.jpg)
9 years ago
Dewji Blog18 Sep
Pinda aendelea kupokea misaada ya vifaa mbalimbali kusaidia shule mpya ya msingi Kakuni Mkoani Katavi
Mwakilishi wa Kampuni ya HUAWEI nchini Tanzania Bw. Jimmy Liguo Jin (kushoto) akimkabidhi Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda sehemu ya msaada wa kompyuta mpakato zilizotolewa na kampuni hiyo kusaidia wanafunzi wa shule mpya ya Msingi ya Kakuni iliyo katika kijiji cha Kibaoni mkoani Katavi leo jijini Dar es salaam. Shule hiyo ya kisasa imeanzishwa kufuatia wazo la Wazo la Waziri Mkuu, Mhe.Mizengo Pinda la kuwa na shule Bora na ya kisasa katika kijiji hicho na inajengwa kupitia michango na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LsXCoIm5WZ4/XrVvASKPfgI/AAAAAAALpgY/IqP5FkRVjG4RK3tTlrST7YEsEt8k-OpbwCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-3AA-1-768x512.jpg)
WAZIRI MAVUNDE AMWAGA MISAADA YA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORANA GEREZA KUU ISANGA, LEO JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-LsXCoIm5WZ4/XrVvASKPfgI/AAAAAAALpgY/IqP5FkRVjG4RK3tTlrST7YEsEt8k-OpbwCLcBGAsYHQ/s640/PIX-3AA-1-768x512.jpg)
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulia Kazi, Vijana na Ajira Mhe. Anthony Mavunde akizungumza nje ya Gereza akikabidhi vifaa vya kujikinga na janga la corona katika Gereza Kuu Isanga, jijini Dodoma. Mhe. Mavunde amekabidhi msaada uliojumuisha vifaa mbalimbali ikiwemo sabuni, ndoo za maji pamoja na vitakasa mikono(Sanitizer).
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PIX-4AA-1-1024x682.jpg)
Baadhi ya vifaa hivyo vilivyokabidhiwa katika Gereza Kuu Isanga na Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulia Kazi, Vijana na Ajira Mhe. Anthony...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Q-QlFeShnLU/VfwO40bnW9I/AAAAAAAH510/NZaohcqfnSk/s72-c/PM%2B-1.jpg)
WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AENDELEA KUPOKEA MISAADA YA VIFAA MBALIMBALI KUSAIDIA SHULE MPYA YA MSINGI KAKUNI MKOANI KATAVI
Pinda amepokea misaada hiyo kutoka Kampuni hizo kwa lengo la kuzindua mradi wa ujenzi wa Shule ya Msingi Kakuni katika kijiji cha Kibaoni Wilaya ya Mlele mkoa wa Katavi.
Shule ya Msingi Kakuni iliyopo kijiji cha Kibaoni Mkoani Katavi ni Shule aliyosoma Waziri Mkuu huyo Mhe,Mizengo Pinda.
Mradi huo wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-MsrhAIV0SVk/VCHW28h3tSI/AAAAAAAARJU/xStLmkAFEqI/s72-c/1.jpg)
KINANA AITEKA HANDENI WENGI WAMPONGEZA KWA KUTOA NAFASI KWA WANANCHI KUULIZA MASWALI
![](http://4.bp.blogspot.com/-MsrhAIV0SVk/VCHW28h3tSI/AAAAAAAARJU/xStLmkAFEqI/s1600/1.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wananchi wa kata ya Kwaluguru wakati wa kukagua maendeleo ya ujenzi wa vyumba vitatu vya maabara katika shule ya sekondari Kwaluguru wilayani Handeni.
![](http://3.bp.blogspot.com/-fuskadLsPA8/VCHZZKnd1LI/AAAAAAAARKQ/on2mQhf5d-w/s1600/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6xtmrlQGs-Q/VCHZLH-x7uI/AAAAAAAARKI/EEWB0Cj6gyw/s1600/3.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wklWNBgE070/XrPtK1goT2I/AAAAAAALpXA/Ktst3OXIzhQUuH7ljL1jEvUE6QP0jKELwCLcBGAsYHQ/s72-c/3a9aa480-ea24-40bd-846c-515358dd541a%2B%25281%2529.jpg)
CCM UBUNGO WAMPONGEZA DC MAKORI KWA UTENDAJI
Taarifa ilitolewa leo na Katibu wa Siasa ya Uenezi, Wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam Mbaruku Masudi, imeeleza kuwa katika kikao hicho pamoja na mambo kilipokea taarifa ya Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Kisare Makori ikiwamo hali ya ugonjwa wa corona, ujenzi wa vyumba vya...
10 years ago
Habarileo11 Jul
Madiwani wampongeza ofisa mipango kwa kazi nzuri
BARAZA la madiwani la halmashauri ya wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma lililovunjwa rasmi juzi, limempongeza Ofisa mipango wa halmashauri hiyo Thekla Nyoni kutokana na utendaji mzuri wa kazi.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-B6_Eb-XEruc/XutyqhlN9yI/AAAAAAALueA/HLMkh2RCbrwrq2Y9X7dt7e3ib6a6IwOZACLcBGAsYHQ/s72-c/2420936_magufuli.jpg)
Viongozi wa Dini Wampongeza JPM kwa Ungozi Uliotukuka
![](https://1.bp.blogspot.com/-B6_Eb-XEruc/XutyqhlN9yI/AAAAAAALueA/HLMkh2RCbrwrq2Y9X7dt7e3ib6a6IwOZACLcBGAsYHQ/s400/2420936_magufuli.jpg)
Viongozi wa dini jijini Dodoma wamempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli kwa uongozi wake uliotukuka.
Akizungumza leo jijini Dodoma, Askofu wa Kanisa la EAGT Ipagala jijini humo, Evance Chande alisema kuwa Rais John Pombe Magufuli ni kiongozi mwenye uthubuti, mwenye kufanya maamuzi magumu ambayo yamesaidia katika utekelezaji na usimamizi wa miradi mbalimbali kama vile ujenzi wa reli ya kisasa, ujenzi wa bwawa la kufua...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-KQ3TwhlkuQs/VnlJjtD7crI/AAAAAAAIN5U/KJcjxnO_u2s/s72-c/magufuli1.jpg)
IGWUTA WAMPONGEZA RAIS MAGUFULI KWA KAZI ZAKE
![](http://3.bp.blogspot.com/-KQ3TwhlkuQs/VnlJjtD7crI/AAAAAAAIN5U/KJcjxnO_u2s/s320/magufuli1.jpg)
Akizungumza na Waandishi wa habari leo Katibu Mkuu wa chama chama cha IGWUTA, Michael Kashamba amesema kuwa,Wamefurahishwa kwa kumpata Rais Magufuli na wanatoa wito kwa Wafanyakazi wote hapa nchini kujitokeza na kumuunga...