Madiwani wampongeza ofisa mipango kwa kazi nzuri
BARAZA la madiwani la halmashauri ya wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma lililovunjwa rasmi juzi, limempongeza Ofisa mipango wa halmashauri hiyo Thekla Nyoni kutokana na utendaji mzuri wa kazi.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sukGDga1K-k/XrvZw-s86cI/AAAAAAALqDM/-TnR4RM2-2g1SFjiONbZYDJifNWT1yPyACLcBGAsYHQ/s72-c/25761ac5-fedb-4a76-946c-1693ac433d3f.jpg)
MADIWANI KINONDONI WAMPONGEZA MEYA SITTA, MKURUGENZI KAGURUMJULI KWA KUFANYA VIZURI KWENYE MIRADI YA MAENDELEO
Pongezi hizo zimetolewa na Madiwani hao wakati wa kikao cha Baraza la madiwani robo ya tatu ya mwaka ambapo wamesema kuwa katika kipindi ambacho wamekuwa madiwani wameshuhudia miradi mikubwa ambayo imetekelezwa ikiwa ni juhudi kubwa zinazofanywa na viongozi...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-KQ3TwhlkuQs/VnlJjtD7crI/AAAAAAAIN5U/KJcjxnO_u2s/s72-c/magufuli1.jpg)
IGWUTA WAMPONGEZA RAIS MAGUFULI KWA KAZI ZAKE
![](http://3.bp.blogspot.com/-KQ3TwhlkuQs/VnlJjtD7crI/AAAAAAAIN5U/KJcjxnO_u2s/s320/magufuli1.jpg)
Akizungumza na Waandishi wa habari leo Katibu Mkuu wa chama chama cha IGWUTA, Michael Kashamba amesema kuwa,Wamefurahishwa kwa kumpata Rais Magufuli na wanatoa wito kwa Wafanyakazi wote hapa nchini kujitokeza na kumuunga...
10 years ago
Habarileo11 Apr
ALAT yaipongeza MSD kwa kazi nzuri
BOHARI ya Dawa nchini (MSD) imepongezwa na wajumbe wa Mkutano Mkuu wa 31 wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT), kwa kufikia asilimia 85 ya upatikanaji wa dawa, pamoja na kufanikisha upelekaji wa dawa na vifaa tiba moja kwa moja hadi ngazi ya kata.
10 years ago
Dewji Blog08 Oct
Shirikisho la Muziki Tanzania latoa pongezi kwa Bunge Maalum la Katiba kwa kazi nzuri
Rais wa Shirikisho la Muziki Tanzania (TMF), Addo November (katikati) akizungumza na waandishi wa habari, wakati akilipongeza Bunge Maalum la Katiba kwa kuingiza katika vipengele vitatu vinavyolinda maslahi ya wanamuziki. Kulia ni Mwanamuziki Kasim Mapili na Samatta Rajabu.
Na Anitha Jonas –Maelezo.
SHIRIKISHO la Muziki Tanzania limetoa pongezi za dhati kwa Bunge Maalum la Katiba lililokuwa likiongozwa na Mwenyekiti wa Bunge hilo Mhe. Samuel Sitta kwa kuingiza Ibara tatu katika Rasimu ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ikqw4Ki8TM8/XmsVs-NNCfI/AAAAAAALi4E/WpIFwI78vYEbIw5PBEttoapE81t5vuDZwCLcBGAsYHQ/s72-c/31f7a3a4-ae26-4a89-b549-3cdf97247d1a.jpg)
RC NJOMBE AWAPONGEZA WALIMU WAWILI LUDEWA KWA KAZI NZURI
Na Shukrani Kawogo, Njombe.
Mkuu wa mkoa wa Njombe Christopher Ole Sendeka amewapongeza walimu wawili wa shule ya msingi Nindi iliyopo wilayani Ludewa mkoani Njombe kwa juhudi wanazofanya kwa kuwafundisha wanafunzi wa shule hiyo kwa moyo wote bila kujali upungufu wa walimu walionao.
Walimu hao waliofahamika kwa majina ya Rebeca Mhagama Pamoja na Judith Kayombo wamekuwa wakifundisha wawili tu katika mikondo kumi na moja huku jumla ya wanafunzi wote ikiwa ni 308 wa shule ya msingi na 42 wa...
9 years ago
MichuziASKOFU DR MDEGELLA ATAKA WATANZANIA KUMWOMBEA RAIS DR MAGUFULI KWA KAZI NZURI
Askofu wa kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT( Dayosisi ya Iringa Dr OwdenBurg Mdegella akimpa baraka ya Christmas mtoto Monica Kasesela huku babake mkuu wa wilaya ya Iringa Bw Richard Kasesela na binti yake Cathelin Kasesela wakishuhudia baada ya kumalizika kwa ibada ya pili katika usharika wa kanisa kuu
![](http://lh3.googleusercontent.com/-pLhe-jzjufo/Vnz6fVNIauI/AAAAAAACDOA/ePofSEGWakQ/s640/blogger-image--2110069268.jpg)
Askofu Dr Mdegela akitoa baraka
Mwalimu wa kwaya ya vijana katika kanisa kuu Bw Lupyana Samweli akipokea baraka za Christmas kutoka kwa askofu wa kanisa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rCwZPPl68YQ/UyAK1XQFWGI/AAAAAAAFTA4/SGEA_uZgjZQ/s72-c/unnamed.jpg)
Vodacom yamzawadia askari wa kikosi cha Usalama Barabarani kwa kazi nzuri
![](http://2.bp.blogspot.com/-rCwZPPl68YQ/UyAK1XQFWGI/AAAAAAAFTA4/SGEA_uZgjZQ/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/yihHDlvuKFY/default.jpg)