CCM Ubungo wamdhamini JPM kurudi Ikulu
![](https://1.bp.blogspot.com/-VB_u-yjFu6E/XutIw9pNrII/AAAAAAALubM/mHXRMWXQ2U84tfdPo3v1dWXyKRqwHQf2wCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-18%2Bat%2B11.34.46%2BAM%2B%25281%2529.jpeg)
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Ubungo, Lucas Mgonja ameongoza wajumbe wa Halmashauri Kuu ya chama hicho, kujaza fomu za kumdhamini mgombea urais wa CCM, Rais Dk. John Magufuli.Rais Magufuli amechukua fomu ya kuwania tena urais kwa kipindi cha pili jana jijini Dodoma na ameanza kusaka wadhamini 250 mikoani kama utaratibu wa CCM unavyoelekeza.
Taarifa ilitolewa leo na Katibu wa Siasa na Uenezi Wilaya ya Ubungo, Mbaruku Masudi, ilieleza kuwa wajumbe hao wa Halmashauri Kuu ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima28 Jan
CCM isitegemee kurudi Ikulu — CHADEMA
MWANACHAMA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Lilian Wassira, amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM) kisitegemee kurudi Ikulu kutokana na matendo ya viongozi wake. Wasira alitoa kauli hiyo juzi katika...
9 years ago
Mwananchi25 Nov
Siku 20 ndani ya Ikulu JPM vs JK
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-qMPiN_25YM8/XmNMx-rjusI/AAAAAAACIQc/3R5EQC1EIuw1uAR1j6ndcN-6TdAwTJZjACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200307_102122_258.jpg)
TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA YAMPONGEZA JPM KUKUTANA NA WAPINZANI, IKULU
![](https://1.bp.blogspot.com/-qMPiN_25YM8/XmNMx-rjusI/AAAAAAACIQc/3R5EQC1EIuw1uAR1j6ndcN-6TdAwTJZjACLcBGAsYHQ/s1600/IMG_20200307_102122_258.jpg)
Viongozi hao ni Mshauri wa Chama cha ACT-Wazalendo, Maalimu Seif Sharif Hamad, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba na Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Bwana James Mbatia, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD).
Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB)...
9 years ago
MillardAyo07 Jan
Safari za nje TZ? Nauli mwendokasi? ‘Bomoabomoa’ Dar na Moshi? Rais JPM kajifungia Ikulu, ‘majipu’? (+Audio)
Alhamisi January 07 2016 imeanza na huu uchambuzi wa stori kubwa za Magazetini, hizi ni baadhi yake na sauti niliyokurekodia. Oparesheni ya kutimua wageni wasio na vibali kuanza leo, bomoabomoa Dar kuathiri watu 200,000 ambao watakosa makazi ya kuishi… Rais Magufuli ajifungia miezi miwili Ikulu bila kusafiri, atumbua vigogo Serikalini. Serikali yapinga nauli za mabasi […]
The post Safari za nje TZ? Nauli mwendokasi? ‘Bomoabomoa’ Dar na Moshi? Rais JPM kajifungia Ikulu, ‘majipu’? (+Audio)...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-RrU5h4fSKbI/VDiJ49gLFYI/AAAAAAAASPc/JXYu-ARkIqg/s72-c/1.jpg)
SIKU YA 29 YA ZIARA YA KINANA WAPINZANI WAZIDI KURUDI CCM
![](http://2.bp.blogspot.com/-RrU5h4fSKbI/VDiJ49gLFYI/AAAAAAAASPc/JXYu-ARkIqg/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ApN91WBsmXc/VDiJ6kCMeLI/AAAAAAAASPo/ND3m8FYBRts/s1600/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Cnq_AnYC8O8/VDiJ6Lnic6I/AAAAAAAASPk/Mu9qhnW-mNc/s1600/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-UHyMBdLkkrA/VDiJ7ljhHQI/AAAAAAAASP0/PcAeGTKVQqE/s1600/4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-CqXeThEegRM/VDiJ8bXZftI/AAAAAAAASP8/I4FQwSUyavo/s1600/5.jpg)
9 years ago
TheCitizen09 Dec
CCM says Yes, we’re with JPM
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-rzWBhdGNh5c/VIiQwToWoTI/AAAAAAAG2YY/Fy1CwqWkT3Y/s72-c/unnamed%2B(17).jpg)
Maalim Hassan yahya Hussein afurahia kurudi kundini CCM
10 years ago
Mwananchi27 Aug
Maalim Seif: Siwezi kamwe kurudi CCM hii ya sasa