Siku 20 ndani ya Ikulu JPM vs JK
Kasi ya utendaji kazi aliyoanza nayo Rais John Magufuli katika muda wa siku 20 inaonekana kubwa na ya aina yake lakini hivyo ndivyo ilikuwa kwa mtangulizi wake, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete, miaka 10 iliyopita. Â Â Â
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VB_u-yjFu6E/XutIw9pNrII/AAAAAAALubM/mHXRMWXQ2U84tfdPo3v1dWXyKRqwHQf2wCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-18%2Bat%2B11.34.46%2BAM%2B%25281%2529.jpeg)
CCM Ubungo wamdhamini JPM kurudi Ikulu
Taarifa ilitolewa leo na Katibu wa Siasa na Uenezi Wilaya ya Ubungo, Mbaruku Masudi, ilieleza kuwa wajumbe hao wa Halmashauri Kuu ya...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-qMPiN_25YM8/XmNMx-rjusI/AAAAAAACIQc/3R5EQC1EIuw1uAR1j6ndcN-6TdAwTJZjACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200307_102122_258.jpg)
TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA YAMPONGEZA JPM KUKUTANA NA WAPINZANI, IKULU
![](https://1.bp.blogspot.com/-qMPiN_25YM8/XmNMx-rjusI/AAAAAAACIQc/3R5EQC1EIuw1uAR1j6ndcN-6TdAwTJZjACLcBGAsYHQ/s1600/IMG_20200307_102122_258.jpg)
Viongozi hao ni Mshauri wa Chama cha ACT-Wazalendo, Maalimu Seif Sharif Hamad, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba na Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Bwana James Mbatia, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD).
Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB)...
9 years ago
Mwananchi11 Dec
Sura mpya 17 ndani baraza la JPM
9 years ago
Mwananchi28 Dec
Siku 16, maagizo 40 ya mawaziri wa JPM
9 years ago
MillardAyo07 Jan
Safari za nje TZ? Nauli mwendokasi? ‘Bomoabomoa’ Dar na Moshi? Rais JPM kajifungia Ikulu, ‘majipu’? (+Audio)
Alhamisi January 07 2016 imeanza na huu uchambuzi wa stori kubwa za Magazetini, hizi ni baadhi yake na sauti niliyokurekodia. Oparesheni ya kutimua wageni wasio na vibali kuanza leo, bomoabomoa Dar kuathiri watu 200,000 ambao watakosa makazi ya kuishi… Rais Magufuli ajifungia miezi miwili Ikulu bila kusafiri, atumbua vigogo Serikalini. Serikali yapinga nauli za mabasi […]
The post Safari za nje TZ? Nauli mwendokasi? ‘Bomoabomoa’ Dar na Moshi? Rais JPM kajifungia Ikulu, ‘majipu’? (+Audio)...
9 years ago
Mwananchi30 Nov
JPM aweka rekodi ya siku 25 ya mawaziri
5 years ago
CCM Blog24 May
RAIS KENYATTA NAYE AKUBALI YA JPM, ASEMA HAWEZI KUENDELEA KUCHUKUA HATUA ZA WAKENYA KUKAA NDANI MILELE
![Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya](https://ichef.bbci.co.uk/news/660/cpsprodpb/BC18/production/_112425184_kenyatta.jpg)
10 years ago
Vijimambo25 Mar
THE BOSSLADY NDANI YA IKULU YA WASAFI KIROHO SAFI
![](http://i1.wp.com/sammisago.com/wp-content/uploads/2015/03/zari-10.jpg?resize=546%2C542)
Hizi tatu, Zari The Boss lady ndani ya nyumba mpya ya Diamond Platnumz.
Zari the boss lady ameshare picha ya chumba cha kulala kwenye jumba la kifahari la Diamond Platnumz lililopewa jina ‘[State House]. Zari aliweka picha ya Gypsum ambayo imetengenezwa peke kwaajili ya Diamond Platnumz huku ujumbe ukisema [Gotta love ny current view]
![](http://i1.wp.com/sammisago.com/wp-content/uploads/2015/03/zari.jpg?resize=548%2C548)
![](http://i1.wp.com/sammisago.com/wp-content/uploads/2015/03/zari-12.jpg?resize=542%2C538)
![](http://i0.wp.com/sammisago.com/wp-content/uploads/2015/03/zari-2.jpg?resize=366%2C73)
10 years ago
Mtanzania21 Jan
Ikulu: Siku za Profesa Muhongo zinahesabika
Aziza Masoud na Grace Shitundu, Dar es Salaam
IKULU imewataka Watanzania kuwa na subira kwa kuwa Rais Jakaya Kikwete wakati wowote kuanzia sasa atatoa uamuzi dhidi ya tuhuma zinazomkabili Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo.
Profesa Muhongo na baadhi ya viongozi wengine wa Serikali wanahusishwa na sakata la uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 kwenye akaunti ya Tegeta Escrow.
Viongozi wengine ni aliyekuwa Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Eliakim Maswi ambaye amesimamishwa...