Ikulu: Siku za Profesa Muhongo zinahesabika
Aziza Masoud na Grace Shitundu, Dar es Salaam
IKULU imewataka Watanzania kuwa na subira kwa kuwa Rais Jakaya Kikwete wakati wowote kuanzia sasa atatoa uamuzi dhidi ya tuhuma zinazomkabili Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo.
Profesa Muhongo na baadhi ya viongozi wengine wa Serikali wanahusishwa na sakata la uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 kwenye akaunti ya Tegeta Escrow.
Viongozi wengine ni aliyekuwa Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Eliakim Maswi ambaye amesimamishwa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi26 Nov
Mwakalebela: Siku za Msigwa zinahesabika Iringa
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dUBGrCUuK8QfVcqYWZscLWc664Z8EMfNGYxwephok-4XW8zucINdyxl3i71vVWwJ3HImo3OVaHdXqhgyGKGp-rMAmO18fU69/OKWI.gif?width=650)
Siku za Emmanuel Okwi, zinahesabika Yanga SC
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-RZRxdTRWYGE/VLVHoCEVH6I/AAAAAAADVd0/LouSXKvAWOs/s72-c/61.jpg)
SIKU ZA DIAMOND KUWA NA ZARI ZINAHESABIKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-RZRxdTRWYGE/VLVHoCEVH6I/AAAAAAADVd0/LouSXKvAWOs/s1600/61.jpg)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-wTJgzewwpbU%2FVLTeIF84TmI%2FAAAAAAAAQ0g%2F_hpmZLnwmFw%2Fs1600%2Fmondandzarinew.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
11 years ago
Michuzi03 Mar
Siku za kwenda Brazil Kombe la Dunia zinahesabika
![FIFA-World-Cup-2014-Brazil](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/FIFA-World-Cup-2014-Brazil.jpg)
11 years ago
Dewji Blog25 Apr
Wasafirishaji na wauzaji dawa za kulevya siku zako zinahesabika — JK
Rais Jakaya Kikwete akisalimia na Waziri wa Uchukuzi, Dkt Harrison Mwakyembe wakati akiingia katika uwanja wa Julius Nyerere International Airport (JNIA) kuweka jiwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa jengo la tatu la abiria jijini Dar es Salaam.
.asema kama Rais wa nchi inamuuma sana kwa taifa kuwa uchochoro wa dawa hizo
.Rais asema watumishi wanaojihusisha na dawa za kulevya kuondolewa mara moja
.TAA watengeneza jengo jipya la abiria lenye mifumo ya kimataifa
Na Damas Makangale,...
10 years ago
Habarileo25 Jan
Profesa Muhongo ajiuzulu
HATIMAYE baada ya kukabiliwa na shinikizo la muda mrefu kuanzia katika vyombo vya habari, Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na baadaye katika vikao vya vyama vya siasa, Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, amejiuzulu wadhifa huo.
11 years ago
Habarileo02 Feb
Profesa Muhongo acharuka
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amesema baadhi ya kampuni zinazotumiwa na Wakala wa Nishati Vjijini (REA) kuwaunganishia umeme wakazi wa vijijini, zinaomba rushwa, hivyo kuwaondolea matumaini ya kuondokana na umasikini.
10 years ago
Mwananchi18 Oct
AREMA wampinga Profesa Muhongo
10 years ago
Mwananchi25 Jan
Vita vya Profesa Muhongo