SIKU ZA DIAMOND KUWA NA ZARI ZINAHESABIKA
Licha ya vyombo vya habari Tanzania kuyapalilia mapenzi ya wawili hao, hali ni tofauti nchini Uganda ambako mapaparazi wamekuwa wakiibua mambo ya sirini ya msanii na mwanamama huyo tajiri nchini humo.Kikubwa kinachozungumziwa ni kuhusu tabia ya Zari kutoka na wanaume tofauti. King Lawrence, anayedaiwa kuwa mpenzi wa Zari ametangaza dau la Dola 40,000 kwa Diamond ili amwache dada huyoWASWAHILI wanasema ngoma ikivuma sana hupasuka. Msemo huu unalandana na penzi la Zari ‘The Boss Lady’ na nyota...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi02 Dec
Diamond kuwa mgeni rasmi ‘Zari All White Ciroc’
9 years ago
Bongo531 Dec
Mtukaneni tu Tiffah lakini siku moja atakuja kuwa Rais wenu – Zari
Watu hawana haya – Kwa mujibu wa Zari the Bosslady, baadhi yao wamekuwa wakimporomoshea matusi mtoto wake aliyezaa na Diamond, Tiffah tangu alipozaliwa.
Lakini Zari ana habari kwa haters! Mrembo huyo wa Uganda anaamini kuwa siku moja watamheshimu mtoto wake sababu anamlea aje kuwa rais kama Ellen Johnson Sirleaf wa Liberia!
“Matusi from day one even before she was born,” ameandika Zari kwenye Instagram.
“But she is here and strong enough to handle. Boss ladies use bricks thrown at them to...
10 years ago
Mtanzania21 Jan
Ikulu: Siku za Profesa Muhongo zinahesabika
Aziza Masoud na Grace Shitundu, Dar es Salaam
IKULU imewataka Watanzania kuwa na subira kwa kuwa Rais Jakaya Kikwete wakati wowote kuanzia sasa atatoa uamuzi dhidi ya tuhuma zinazomkabili Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo.
Profesa Muhongo na baadhi ya viongozi wengine wa Serikali wanahusishwa na sakata la uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 kwenye akaunti ya Tegeta Escrow.
Viongozi wengine ni aliyekuwa Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Eliakim Maswi ambaye amesimamishwa...
10 years ago
Mwananchi26 Nov
Mwakalebela: Siku za Msigwa zinahesabika Iringa
11 years ago
GPLSiku za Emmanuel Okwi, zinahesabika Yanga SC
11 years ago
Michuzi03 Mar
Siku za kwenda Brazil Kombe la Dunia zinahesabika
10 years ago
Bongo510 Jan
Huddah amkana mwanaume aliyedai kuwa mpenzi wake, aliyemtangazia Diamond dau la $40,000 ili amuache Zari
11 years ago
Dewji Blog25 Apr
Wasafirishaji na wauzaji dawa za kulevya siku zako zinahesabika — JK
Rais Jakaya Kikwete akisalimia na Waziri wa Uchukuzi, Dkt Harrison Mwakyembe wakati akiingia katika uwanja wa Julius Nyerere International Airport (JNIA) kuweka jiwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa jengo la tatu la abiria jijini Dar es Salaam.
.asema kama Rais wa nchi inamuuma sana kwa taifa kuwa uchochoro wa dawa hizo
.Rais asema watumishi wanaojihusisha na dawa za kulevya kuondolewa mara moja
.TAA watengeneza jengo jipya la abiria lenye mifumo ya kimataifa
Na Damas Makangale,...
10 years ago
Bongo531 Jan
Picha: Zari ndani ya Dar, athibitisha kwa mara ya kwanza kwa kauli yake kuwa mpenzi wa Diamond