Siku za Emmanuel Okwi, zinahesabika Yanga SC
![](http://api.ning.com:80/files/dUBGrCUuK8QfVcqYWZscLWc664Z8EMfNGYxwephok-4XW8zucINdyxl3i71vVWwJ3HImo3OVaHdXqhgyGKGp-rMAmO18fU69/OKWI.gif?width=650)
Mshambuliaji Emmanuel Okwi. Na Walusanga Ndaki UNAWEZA ukadhani ni masihara, lakini uhusiano kati ya mshambuliaji Emmanuel Okwi na uongozi wa Yanga umebaki asilimia 20 tu. Yanga wanaonyesha kutoridhishwa na tabia za Okwi na viongozi waliokutana wanaona bora aende zake. Habari za uhakika kutoka kwa rafiki wa Okwi zinaeleza Yanga imeishamdokeza kuwa inataka kuvunja mkataba. “Kweli hata Okwi anajua, kaniambia uongozi Yanga...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fF4HFdlaoO6XzY6wNen7hhH5xri0tx3-yb7JT17z5ZsjSk7Lz4bhxhNbEYvwDraTz3hNZ6FGmGgGb2JUKoZ*5ejuSiLKbawh/1dar.gif?width=650)
Yanga kumfilisi Emmanuel Okwi
11 years ago
GPL11 years ago
GPLEMMANUEL OKWI ALIVYOTUA DAR KUJIUNGA NA YANGA LEO
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-oE1VgM-1ZGs/UvzUsCg4V3I/AAAAAAAFM8U/X2EdMRAbQmk/s72-c/unnamed+(19).jpg)
BREKING NYUUUZZZZZZ: Emmanuel Okwi ruksa kuchezea yanga - FIFA
![](http://4.bp.blogspot.com/-oE1VgM-1ZGs/UvzUsCg4V3I/AAAAAAAFM8U/X2EdMRAbQmk/s1600/unnamed+(19).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-8YwVf5QdBWU/VA4VlweaehI/AAAAAAAGiJc/tSQgL92LDkA/s72-c/download.jpg)
sakata la emmanuel Okwi kusajiliwa na simba: Yanga kukata rufaa fifa kupinga maamuzi ya tff
![](http://2.bp.blogspot.com/-8YwVf5QdBWU/VA4VlweaehI/AAAAAAAGiJc/tSQgL92LDkA/s1600/download.jpg)
Uongozi wa klabu ya Yanga umesema utapinga maamuzi ya kamati ya Sheria na Hadhi ya Wachezaji kuhusiana na maamuzi yake ya kumtangaza mchezaji wake, Emmanuel Okwi kuwa huru.Sam Mapande amesema kuwa hawajaridhishwa na maamuzi hayo ambayo yanakinzana na shitaka zima la mchezaji huyo. Mapande amesema kuwa kamati ya TFF imeamua sakata la Okwi kinyume na malalamiko yao kwani hakukuwa na lalamiko la...
10 years ago
CloudsFM17 Dec
EMMANUEL OKWI KUFUNGA NDOA ''SOON''
Mshambuliaji wa kimataifa wa timu ya taifa ya Uganda na klabu ya Simba ya jijini Dar,Emmanul Okwi anatarajia kufunga ndoa mwezi huu nchini humo. Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hans Poppe alisema kuwa Okwi amepewa ruhusa ya kushughulikia masuala yake na hasa hilo la ndoa.
“Anatarajia kufunga ndoa mwezi huu, nafikiri itakuwa tarehe ishirini, ndiyo maana tumempa ruhusa.
Taarifa za kutoka Kampala zinaeleza, Okwi anamuoa mpenzi wake wa siku nyingi na maandalizi...
10 years ago
Mtanzania21 Jan
Ikulu: Siku za Profesa Muhongo zinahesabika
Aziza Masoud na Grace Shitundu, Dar es Salaam
IKULU imewataka Watanzania kuwa na subira kwa kuwa Rais Jakaya Kikwete wakati wowote kuanzia sasa atatoa uamuzi dhidi ya tuhuma zinazomkabili Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo.
Profesa Muhongo na baadhi ya viongozi wengine wa Serikali wanahusishwa na sakata la uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 kwenye akaunti ya Tegeta Escrow.
Viongozi wengine ni aliyekuwa Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Eliakim Maswi ambaye amesimamishwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-RZRxdTRWYGE/VLVHoCEVH6I/AAAAAAADVd0/LouSXKvAWOs/s72-c/61.jpg)
SIKU ZA DIAMOND KUWA NA ZARI ZINAHESABIKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-RZRxdTRWYGE/VLVHoCEVH6I/AAAAAAADVd0/LouSXKvAWOs/s1600/61.jpg)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-wTJgzewwpbU%2FVLTeIF84TmI%2FAAAAAAAAQ0g%2F_hpmZLnwmFw%2Fs1600%2Fmondandzarinew.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
Mwananchi26 Nov
Mwakalebela: Siku za Msigwa zinahesabika Iringa