Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


EMMANUEL OKWI KUFUNGA NDOA ''SOON''

Mshambuliaji wa kimataifa wa timu ya taifa ya Uganda na klabu ya Simba ya jijini Dar,Emmanul Okwi anatarajia kufunga ndoa mwezi huu nchini humo. Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hans Poppe alisema kuwa Okwi amepewa ruhusa ya kushughulikia masuala yake na hasa hilo la ndoa.
“Anatarajia kufunga ndoa mwezi huu, nafikiri itakuwa tarehe ishirini, ndiyo maana tumempa ruhusa.
Taarifa za kutoka Kampala zinaeleza, Okwi anamuoa mpenzi wake wa siku nyingi na maandalizi...

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Yanga kumfilisi Emmanuel Okwi

Mshambuliaji wa Yanga Emmanuel Okwi (kushoto). Na Saphyna Mlawa
PAMOJA na kuwa na taarifa kwamba Yanga imemalizana na mshambuliaji wake, Emmanuel Okwi, taarifa za uhakika zinaeleza kwamba mwafaka haujafikiwa asilimia mia na huenda Mganda huyo akafilisiwa na Yanga. Mwanasheria wa Okwi, Edgar Agaba, ambaye alifanya mazungumzo na Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji, alikumbana na wakati mgumu baada ya kiongozi huyo kusisitiza mambo...

 

11 years ago

GPL

Siku za Emmanuel Okwi, zinahesabika Yanga SC

Mshambuliaji Emmanuel Okwi. Na Walusanga Ndaki
UNAWEZA ukadhani ni masihara, lakini uhusiano kati ya mshambuliaji Emmanuel Okwi na uongozi wa Yanga umebaki asilimia 20 tu. Yanga wanaonyesha kutoridhishwa na tabia za Okwi na viongozi waliokutana wanaona bora aende zake.
Habari za uhakika kutoka kwa rafiki wa Okwi zinaeleza Yanga imeishamdokeza kuwa inataka kuvunja mkataba. “Kweli hata Okwi anajua, kaniambia uongozi Yanga...

 

11 years ago

GPL

Emmanuel Okwi, Kiiza wachomoka kambini usiku

Emmanuel Okwi. Na Musa Mateja, Tanga
VIUNGO washambuliaji wa Yanga, Hamis Kiiza na Emmanuel Okwi, juzi walijikuta wakiishiwa na uvumilivu na kuamua kuondoka kambini kwao kwa muda kisha kwenda nje ya kambi kuishuhudia mechi ya Ligi Kuu ya England. Hamis…

 

11 years ago

GPL

EMMANUEL OKWI ALIVYOTUA DAR KUJIUNGA NA YANGA LEO

Emmanuel Okwi akilakiwa na shabiki maarufu wa Yanga, Steven (kulia) katika uwanja wa ndege alipowasili. Ulinzi ukiwa umeimarishwa wakati Okwi akiwasili jijini Dar akitokea Uganda kuungana na Yanga. Mshambuliaji wa Kimataifa wa timu ya Taifa ya Uganda…

 

11 years ago

Michuzi

BREKING NYUUUZZZZZZ: Emmanuel Okwi ruksa kuchezea yanga - FIFA

Shirikisho la Soka Dunia (FIFA), limemruhusu mshambuliaji Emmanuel Okwi kuichezea Yanga. Barua ya Fifa iliyotua ofisi za Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), ilisema kuwa suala la malipo ya Simba kwa Etoile du Sahel hayausiani na Emmanuel Okwi kucheza mpira.  Rais wa TFF, Jamal Malinzi amesema kuwa taarifa hiyo ya Fifa imemruhusu mshambuliaji huyo acheze mpira iwapo ametimiza vigezo vyote vya usajili ikiwemo ITC.  "FIFA  wametuletea taarifa leo saa nne asubuhi na wametaka Okwi aruhusiwe...

 

10 years ago

Michuzi

sakata la emmanuel Okwi kusajiliwa na simba: Yanga kukata rufaa fifa kupinga maamuzi ya tff

Mwenyekiti wa Kamati ya Sheria na Utawala Bora wa klabu ya Young Africans Wakili Sam Mapande - kulia
Uongozi wa klabu ya Yanga umesema utapinga maamuzi ya kamati ya Sheria na Hadhi ya Wachezaji kuhusiana na maamuzi yake ya kumtangaza mchezaji wake, Emmanuel Okwi kuwa huru.Sam Mapande amesema kuwa hawajaridhishwa na maamuzi hayo ambayo yanakinzana na shitaka zima la mchezaji huyo. Mapande amesema kuwa kamati ya TFF imeamua sakata la Okwi kinyume na malalamiko yao kwani hakukuwa na lalamiko la...

 

10 years ago

CloudsFM

MENINA KUFUNGA NDOA?

Msanii wa Bongo Fleva,Menina amepongezwa na mashabiki wake baada ya kutupia picha kwenye mtandao akiwa amevaa shela la harusi huku watu wakijiuliza huenda ameolewa kwa siri au anatarajia kufunga ndoa.

Menina aliandika hivi Alhamdulilah finally soon to come Allah! Ibarik inshaallah gheir nakupenda saana #habib wangu......
Baadhi ya mshabiki walimpongeza: sophybeiby @meninahladivah heee hongera ndo hata kunitonya mdogo wangu haya mwaya kila la kheri Nakupenda sana.

ramadhanijuma58 Umependeza...

 

10 years ago

CloudsFM

ELTON JOHN KUFUNGA NDOA

Mwanamuziki nguli wa nchini Uingereza,Elton John anatarajia kuolewa katika ndoa ya jinsia moja na mpenzi wake wa siku nyingi aliyedumu naye kwa miaka 20,David Furnish.
Mwanamuziki huyo anatarajia kufunga ndoa mwezi Desemba 21,mwaka huu,Elton John ana umri wa miaka 67 na mpenzi wake ana umri wa miaka 52 wametangaza nia ya kufunga ndoa baada ya kuishi muda mrefu kama mume na mke.
Pamoja na kuwa baadhi ya nchi hazikubaliani na suala la kufunga ndoa kwa watu wa jinsia moja,lakini wanaume hao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani