EMMANUEL OKWI KUFUNGA NDOA ''SOON''
Mshambuliaji wa kimataifa wa timu ya taifa ya Uganda na klabu ya Simba ya jijini Dar,Emmanul Okwi anatarajia kufunga ndoa mwezi huu nchini humo. Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hans Poppe alisema kuwa Okwi amepewa ruhusa ya kushughulikia masuala yake na hasa hilo la ndoa.
“Anatarajia kufunga ndoa mwezi huu, nafikiri itakuwa tarehe ishirini, ndiyo maana tumempa ruhusa.
Taarifa za kutoka Kampala zinaeleza, Okwi anamuoa mpenzi wake wa siku nyingi na maandalizi...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fF4HFdlaoO6XzY6wNen7hhH5xri0tx3-yb7JT17z5ZsjSk7Lz4bhxhNbEYvwDraTz3hNZ6FGmGgGb2JUKoZ*5ejuSiLKbawh/1dar.gif?width=650)
Yanga kumfilisi Emmanuel Okwi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dUBGrCUuK8QfVcqYWZscLWc664Z8EMfNGYxwephok-4XW8zucINdyxl3i71vVWwJ3HImo3OVaHdXqhgyGKGp-rMAmO18fU69/OKWI.gif?width=650)
Siku za Emmanuel Okwi, zinahesabika Yanga SC
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NvWHU5oq4TZfO9Plfw-*0RaEHxGWb5ow2csmdaYqoYJ1oQcFOkEh7EYC1E94kvCbQQax5OqeCIA79MR--sceopAJe4qTiByE/okwi.jpg?width=650)
Emmanuel Okwi, Kiiza wachomoka kambini usiku
11 years ago
GPL11 years ago
GPLEMMANUEL OKWI ALIVYOTUA DAR KUJIUNGA NA YANGA LEO
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-oE1VgM-1ZGs/UvzUsCg4V3I/AAAAAAAFM8U/X2EdMRAbQmk/s72-c/unnamed+(19).jpg)
BREKING NYUUUZZZZZZ: Emmanuel Okwi ruksa kuchezea yanga - FIFA
![](http://4.bp.blogspot.com/-oE1VgM-1ZGs/UvzUsCg4V3I/AAAAAAAFM8U/X2EdMRAbQmk/s1600/unnamed+(19).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-8YwVf5QdBWU/VA4VlweaehI/AAAAAAAGiJc/tSQgL92LDkA/s72-c/download.jpg)
sakata la emmanuel Okwi kusajiliwa na simba: Yanga kukata rufaa fifa kupinga maamuzi ya tff
![](http://2.bp.blogspot.com/-8YwVf5QdBWU/VA4VlweaehI/AAAAAAAGiJc/tSQgL92LDkA/s1600/download.jpg)
Uongozi wa klabu ya Yanga umesema utapinga maamuzi ya kamati ya Sheria na Hadhi ya Wachezaji kuhusiana na maamuzi yake ya kumtangaza mchezaji wake, Emmanuel Okwi kuwa huru.Sam Mapande amesema kuwa hawajaridhishwa na maamuzi hayo ambayo yanakinzana na shitaka zima la mchezaji huyo. Mapande amesema kuwa kamati ya TFF imeamua sakata la Okwi kinyume na malalamiko yao kwani hakukuwa na lalamiko la...
10 years ago
CloudsFM19 Dec
MENINA KUFUNGA NDOA?
Msanii wa Bongo Fleva,Menina amepongezwa na mashabiki wake baada ya kutupia picha kwenye mtandao akiwa amevaa shela la harusi huku watu wakijiuliza huenda ameolewa kwa siri au anatarajia kufunga ndoa.
Baadhi ya mshabiki walimpongeza: sophybeiby @meninahladivah heee hongera ndo hata kunitonya mdogo wangu haya mwaya kila la kheri Nakupenda sana.
ramadhanijuma58 Umependeza...
10 years ago
CloudsFM19 Dec
ELTON JOHN KUFUNGA NDOA
Mwanamuziki nguli wa nchini Uingereza,Elton John anatarajia kuolewa katika ndoa ya jinsia moja na mpenzi wake wa siku nyingi aliyedumu naye kwa miaka 20,David Furnish.
Mwanamuziki huyo anatarajia kufunga ndoa mwezi Desemba 21,mwaka huu,Elton John ana umri wa miaka 67 na mpenzi wake ana umri wa miaka 52 wametangaza nia ya kufunga ndoa baada ya kuishi muda mrefu kama mume na mke.
Pamoja na kuwa baadhi ya nchi hazikubaliani na suala la kufunga ndoa kwa watu wa jinsia moja,lakini wanaume hao...