Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


EMMANUEL OKWI AANZA MAZOEZI RASMI NA YANGA

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Yanga kumfilisi Emmanuel Okwi

Mshambuliaji wa Yanga Emmanuel Okwi (kushoto). Na Saphyna Mlawa
PAMOJA na kuwa na taarifa kwamba Yanga imemalizana na mshambuliaji wake, Emmanuel Okwi, taarifa za uhakika zinaeleza kwamba mwafaka haujafikiwa asilimia mia na huenda Mganda huyo akafilisiwa na Yanga. Mwanasheria wa Okwi, Edgar Agaba, ambaye alifanya mazungumzo na Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji, alikumbana na wakati mgumu baada ya kiongozi huyo kusisitiza mambo...

 

11 years ago

GPL

Siku za Emmanuel Okwi, zinahesabika Yanga SC

Mshambuliaji Emmanuel Okwi. Na Walusanga Ndaki
UNAWEZA ukadhani ni masihara, lakini uhusiano kati ya mshambuliaji Emmanuel Okwi na uongozi wa Yanga umebaki asilimia 20 tu. Yanga wanaonyesha kutoridhishwa na tabia za Okwi na viongozi waliokutana wanaona bora aende zake.
Habari za uhakika kutoka kwa rafiki wa Okwi zinaeleza Yanga imeishamdokeza kuwa inataka kuvunja mkataba. “Kweli hata Okwi anajua, kaniambia uongozi Yanga...

 

11 years ago

GPL

EMMANUEL OKWI ALIVYOTUA DAR KUJIUNGA NA YANGA LEO

Emmanuel Okwi akilakiwa na shabiki maarufu wa Yanga, Steven (kulia) katika uwanja wa ndege alipowasili. Ulinzi ukiwa umeimarishwa wakati Okwi akiwasili jijini Dar akitokea Uganda kuungana na Yanga. Mshambuliaji wa Kimataifa wa timu ya Taifa ya Uganda…

 

11 years ago

Michuzi

BREKING NYUUUZZZZZZ: Emmanuel Okwi ruksa kuchezea yanga - FIFA

Shirikisho la Soka Dunia (FIFA), limemruhusu mshambuliaji Emmanuel Okwi kuichezea Yanga. Barua ya Fifa iliyotua ofisi za Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), ilisema kuwa suala la malipo ya Simba kwa Etoile du Sahel hayausiani na Emmanuel Okwi kucheza mpira.  Rais wa TFF, Jamal Malinzi amesema kuwa taarifa hiyo ya Fifa imemruhusu mshambuliaji huyo acheze mpira iwapo ametimiza vigezo vyote vya usajili ikiwemo ITC.  "FIFA  wametuletea taarifa leo saa nne asubuhi na wametaka Okwi aruhusiwe...

 

10 years ago

GPL

EMERSON AANZA MAZOEZI YANGA

Kiungo Mbrazil Emerson de Oliveira (wa pili kutoka kulia) akiwa mazoezini leo asubuhi katika Uwanja wa Shule ya Sekondari Loyola, Dar. Wengine ni Hamis Kiiza, Hussein Javu na Coutinho. (Picha na Yanga SC) BAADA ya kuwasili jana kutoka nchini Brazil, kiungo mkabaji Emerson de Oliveira Neves Roque leo ameanza mazoezi mepesi asubuhi katika Uwanja wa Shule ya Sekondari Loyola jijini Dar es Salaam kufuatia kusaifri kwa zaidi ya masaa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Andrey Countinho aanza mazoezi Yanga.

Mbrazil wa Yanga, Andrey Countinho ameanza mazoezi mepesi .

 

11 years ago

GPL

MBRAZIL MWINGINE WA YANGA AANZA MAZOEZI YA NGUVU

Wabrazil, Andrey Coutinho na Jaja (nyuma yake) wakijifua na wachezaji wenzao wa Yanga.
Jaja akiwa mbele ya wachezaji wenzake.
Ilifikia wakati wa kuzunguka uwanja.…

 

11 years ago

GPL

Straika wa England atua Yanga, aanza mazoezi

Na Sweetbert Lukonge
YANGA kweli ngoma inogile! Ndivyo unaweza kusema, baada ya mshambuliaji mwingine kutua klabuni hapo akitokea England na kisha kuanza mazoezi chini ya Kocha Marcio Maximo. Mshambuliaji mpya wa Yanga aliyekuwa akikipiga katika timu ya Coventry City ya England Suleiman Abdallah Mbarouk. Mshambuliaji huyo raia wa Tanzania ambaye amekuwa akicheza soka England kwa miaka mingi, Suleiman Abdallah Mbarouk,...

 

10 years ago

Michuzi

sakata la emmanuel Okwi kusajiliwa na simba: Yanga kukata rufaa fifa kupinga maamuzi ya tff

Mwenyekiti wa Kamati ya Sheria na Utawala Bora wa klabu ya Young Africans Wakili Sam Mapande - kulia
Uongozi wa klabu ya Yanga umesema utapinga maamuzi ya kamati ya Sheria na Hadhi ya Wachezaji kuhusiana na maamuzi yake ya kumtangaza mchezaji wake, Emmanuel Okwi kuwa huru.Sam Mapande amesema kuwa hawajaridhishwa na maamuzi hayo ambayo yanakinzana na shitaka zima la mchezaji huyo. Mapande amesema kuwa kamati ya TFF imeamua sakata la Okwi kinyume na malalamiko yao kwani hakukuwa na lalamiko la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani