Andrey Countinho aanza mazoezi Yanga.
Mbrazil wa Yanga, Andrey Countinho ameanza mazoezi mepesi .
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/17StHKe5zK6j2iG7mh2yDkZsIAJQbjXQH0TfZxiE3v6LitfsjqbKpyeBqtk3cydgG3dpZBSNTF4JTLspeltz2J2eL6L4LP0t/YANGA.jpg)
EMERSON AANZA MAZOEZI YANGA
Kiungo Mbrazil Emerson de Oliveira (wa pili kutoka kulia) akiwa mazoezini leo asubuhi katika Uwanja wa Shule ya Sekondari Loyola, Dar. Wengine ni Hamis Kiiza, Hussein Javu na Coutinho. (Picha na Yanga SC) BAADA ya kuwasili jana kutoka nchini Brazil, kiungo mkabaji Emerson de Oliveira Neves Roque leo ameanza mazoezi mepesi asubuhi katika Uwanja wa Shule ya Sekondari Loyola jijini Dar es Salaam kufuatia kusaifri kwa zaidi ya masaa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JH0C62scBfBK-w-8RNaYId9xY-bJ6nPiwF3cbW2YkuFYpwlXrBf0sdvmPnjny6r7R*QcArCxAOIApNq7BjLCl6MI7LWMLL*5/straika.jpg)
Straika wa England atua Yanga, aanza mazoezi
Na Sweetbert Lukonge
YANGA kweli ngoma inogile! Ndivyo unaweza kusema, baada ya mshambuliaji mwingine kutua klabuni hapo akitokea England na kisha kuanza mazoezi chini ya Kocha Marcio Maximo. Mshambuliaji mpya wa Yanga aliyekuwa akikipiga katika timu ya Coventry City ya England Suleiman Abdallah Mbarouk. Mshambuliaji huyo raia wa Tanzania ambaye amekuwa akicheza soka England kwa miaka mingi, Suleiman Abdallah Mbarouk,...
11 years ago
GPL11 years ago
GPLMBRAZIL MWINGINE WA YANGA AANZA MAZOEZI YA NGUVU
Wabrazil, Andrey Coutinho na Jaja (nyuma yake) wakijifua na wachezaji wenzao wa Yanga.
Jaja akiwa mbele ya wachezaji wenzake.
Ilifikia wakati wa kuzunguka uwanja.…
11 years ago
Mwananchi02 Jul
MAZOEZI DAKIKA 120: Maximo aanza kwa kishindo Yanga
>Kocha Mkuu wa Yanga, Marcio Maximo ameanza kazi yake kwa kishindo jana asubuhi na jioni kwa kuwakimbiza wachezaji wake kwa saa mbili kwenye ufukwe wa Coco na Uwanja wa Bandari, jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Tanzania Daima13 Sep
Andrey Coutinho amtesa Marcio Maximo Yanga SC
KOCHA Mkuu wa Yanga, Mbrazil Marcio Maximo,amesema hana uhakika kama Andrey Coutinho atacheza mechi ya Ngao ya Jamii dhidi ya Azam FC, itakayochezwa kesho katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/duVHRdMH0nc/default.jpg)
MCHEZA WA YANGA KUTOKA BRAZIL ANDREY FERREIRA COUTINHO PLUIJM AMPIGIA SALUTI
pluijm ampigia saluti Coutinho
![](http://api.ning.com/files/jbaar29oQX6gYwGXp5bJ6vO-juYYtBqaAAEfk5q5tmBSHr7P*xjCzyuydhSYir8nez3TXdWuSGUMTj4*eW1yNt7jo7wQWUgF/PLUIJMKITAMBI.jpg?width=650)
Na Khadija MngwaiBAADA ya kiungo wa Yanga, Andrey Coutinho, raia wa Brazil, kufanikiwa kufumania nyavu mara mbili katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi dhidi ya Polisi Zanzibar, kocha mkuu wa timu hiyo, Hans van Der Pluijm, amefunguka kuwa kiwango cha mchezaji huyo kipo juu kwa sasa.
Pluijm alianza kwa kumuweka benchi kiungo huyo kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Azam, lakini michuano ya Kombe la Mapinduzi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UJ8aoEZo49aesCE-yd-4BeAHhcDLZWzXPDCExLLgrWKnJZyb03IrO7aNZqCsafdzew9DmCUsXg3aMc*UbhIlnlI5arPEwh4a/MANUTD4.jpg?width=650)
DE GEA AANZA MAZOEZI NA MAN UTD
Kipa wa Manchester Utd, David de Gea akifanya mazoezi. Wayne Rooney (kushoto) na Michael Carrick (kulia) wakiwaongoza wenzao kupasha katika Uwanja wa Seattle, Amerika.…
10 years ago
Mwananchi03 Oct
Baba Ubaya aanza mazoezi mepesi Simba
Beki wa kushoto wa kutumainiwa wa Simba, Issa Rashid ‘Baba Ubaya’ ameanza mazoezi na timu yake ingawa daktari wa timu hiyo amemzuia kucheza mechi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania