Safari za nje TZ? Nauli mwendokasi? ‘Bomoabomoa’ Dar na Moshi? Rais JPM kajifungia Ikulu, ‘majipu’? (+Audio)
Alhamisi January 07 2016 imeanza na huu uchambuzi wa stori kubwa za Magazetini, hizi ni baadhi yake na sauti niliyokurekodia. Oparesheni ya kutimua wageni wasio na vibali kuanza leo, bomoabomoa Dar kuathiri watu 200,000 ambao watakosa makazi ya kuishi… Rais Magufuli ajifungia miezi miwili Ikulu bila kusafiri, atumbua vigogo Serikalini. Serikali yapinga nauli za mabasi […]
The post Safari za nje TZ? Nauli mwendokasi? ‘Bomoabomoa’ Dar na Moshi? Rais JPM kajifungia Ikulu, ‘majipu’? (+Audio)...
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Bomoabomoa Dar? Wanaotoa mimba? Nauli mwendokasi? Majipu ya Dk.Mwakyembe? (+Audio)
Magazeti ya January 6 2016 yako mtaani na hapa ninazo stori kubwakubwa zilizoguswa na uchambuzi wa Magazetini kwenye show ya Powerbreakfast Clouds FM… Waziri Mkuu Majaliwa awaonya madaktari wanaotoa mimba wasichana Ruvuma, atishia kuwachukulia hatua… Mahakama Kuu yazuia bomoabomoa kwenye nyumba 674 Dar, Naibu Waziri Kigwangalla aridhishwa na huduma katika hospitali ya Muhimbili. Wadau wakerwa bei ya […]
The post Bomoabomoa Dar? Wanaotoa mimba? Nauli mwendokasi? Majipu ya Dk.Mwakyembe?...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fweuCOUfGgbBeA*R-sCWhF9cLpAXMMAWQgNLv0hqStLWVBPfrVDeuQEM0A0vk5P7-lpEXBbKgCkDYJByVc39mQkOzOcEpJ52/e2.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA MISRI IKULU, DAR ES SALAAM
9 years ago
Mzalendo Zanzibar25 Oct
Naiona safari ya CCM nje ya Ikulu
Posted on October 24, 2015 Na Enzi T. Aboud KISHINDO cha mabadiliko kimekuwa kama wingu kubwa na pana linalowasogeza pamoja wataka mabadiliko na kuvifanya vyama viwili vikubwa Zanzibar vya CCM na CUF vyenye ushindani kutikisa siasa […]
The post Naiona safari ya CCM nje ya Ikulu appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
MillardAyo23 Dec
Ndio kusema Rais wa Ghana kaiga kasi ya Rais Magufuli ??!! cheki alivyoanza kubana safari za nje..
Kama ni mfatiliaji wa masuala ya kila kinachoendelea kwenye headlines kubwa kutoka Tanzania zilizofanikiwa kuteka zaidi siku chache zilizopita, ni ishu ya kasi ya Rais Magufuli kwenye utendaji wake huku akisisitiza kubana matumizi ya Serikali. Kwenye kubana matumizi kwa sasa Rais Magufuli aliagiza pia kuzuia safari za viongozi nje ya nchi… Rais wa Ghana pia […]
The post Ndio kusema Rais wa Ghana kaiga kasi ya Rais Magufuli ??!! cheki alivyoanza kubana safari za nje.. appeared first on...
9 years ago
Michuzi30 Dec
9 years ago
MillardAyo15 Dec
Rais Magufuli ndani ya Ikulu na ugeni kutoka Japan, mipango ya umeme ilivyojadiliwa..(+Audio)
Dec 14 2015, Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli alikutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Japan Masaharu Yoshida Ikulu jijini Dar es salaa ikiwa ni pamoja na kujadili kuhusu ujenzi wa mtambo wa kuzalisha umeme wa Kinyerezi namba mbili utakaozalisha megawatts 240 za umeme na utakaogharimu Dola za kimarekani milioni 344.2. Hii ndio video kutokea Ikulu, wawezakuitazama kwa […]
The post Rais Magufuli ndani ya Ikulu na ugeni kutoka Japan, mipango ya umeme ilivyojadiliwa..(+Audio)...
10 years ago
BBCSwahili07 Feb
Bomu lalipuka nje ya ikulu ya rais Yemen
9 years ago
MillardAyo28 Dec
Mawaziri sita wa Rais Magufuli walivyokula viapo Ikulu Dec 28…..(+Audio & Pichaz)
Dec 28 2015 Baraza la Mawaziri la Serikali ya awamu ya tano limekamilika baada ya Mawaziri watano na Naibu Waziri mmoja kula viapo, Shughuli imefanyika Ikulu Dar es salaam ikiongozwa na Rais John Pombe Magufuli. Hapa chini nimekuwekea sauti yote wakati Mawaziri na Manaibu wakila viapo, unaweza kubonyeza Play>> Unataka kutumiwa MSG za habari zote […]
The post Mawaziri sita wa Rais Magufuli walivyokula viapo Ikulu Dec 28…..(+Audio & Pichaz) appeared first on TZA_MillardAyo.