Mawaziri sita wa Rais Magufuli walivyokula viapo Ikulu Dec 28…..(+Audio & Pichaz)
Dec 28 2015 Baraza la Mawaziri la Serikali ya awamu ya tano limekamilika baada ya Mawaziri watano na Naibu Waziri mmoja kula viapo, Shughuli imefanyika Ikulu Dar es salaam ikiongozwa na Rais John Pombe Magufuli. Hapa chini nimekuwekea sauti yote wakati Mawaziri na Manaibu wakila viapo, unaweza kubonyeza Play>> Unataka kutumiwa MSG za habari zote […]
The post Mawaziri sita wa Rais Magufuli walivyokula viapo Ikulu Dec 28…..(+Audio & Pichaz) appeared first on TZA_MillardAyo.
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo23 Dec
Rais Magufuli kamsimamisha mwingine Dec 22 2015…(+Audio)
Leo Dec 22 2015 Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ametangaza kumsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa kampuni hodhi ya rasilimali za reli Tanzania (RAHCO) Mhandisi Benhadard. Hapa nimekusogeze dakika mbili za Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akitolea ufafanuzi wa hatua hiyo ya Rais. Bonyeza Play hapa chini kuna kila kitu Unataka kutumiwa MSG za […]
The post Rais Magufuli kamsimamisha mwingine Dec 22 2015…(+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo24 Dec
Rais Magufuli amemalizia kuwateua Mawaziri waliobaki….(+Audio)
Dec 23 2015 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemalizia kujaza nafasi za uteuzi wa Mawaziri na Naibu Waziri alizobakiza wakati akitangaza baraza la Mawaziri la kwanza katika awamu ya tano ya utawala wake. Wote wametajwa hapa chini Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa […]
The post Rais Magufuli amemalizia kuwateua Mawaziri waliobaki….(+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo26 Dec
Kwa kipigo cha Stoke City, huenda siku za Van Gaal Man United zikawa zinahesabika … (+Pichaz&Video)
Ligi Kuu Uingereza imeendelea tena leo December 26 siku ya Boxing Day kwa michezo 10 ila mchezo wa awali ulikuwa kati ya Stoke City dhidi ya Manchester United katika dimba la Britannia lenye uwezo wa kubeba zaidi ya mashabiki 27000 kwa mara moja. Huu ni mchezo wa 18 kwa timu zote mbili ila unatajwa kuwa […]
The post Kwa kipigo cha Stoke City, huenda siku za Van Gaal Man United zikawa zinahesabika … (+Pichaz&Video) appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo15 Dec
Rais Magufuli ndani ya Ikulu na ugeni kutoka Japan, mipango ya umeme ilivyojadiliwa..(+Audio)
Dec 14 2015, Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli alikutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Japan Masaharu Yoshida Ikulu jijini Dar es salaa ikiwa ni pamoja na kujadili kuhusu ujenzi wa mtambo wa kuzalisha umeme wa Kinyerezi namba mbili utakaozalisha megawatts 240 za umeme na utakaogharimu Dola za kimarekani milioni 344.2. Hii ndio video kutokea Ikulu, wawezakuitazama kwa […]
The post Rais Magufuli ndani ya Ikulu na ugeni kutoka Japan, mipango ya umeme ilivyojadiliwa..(+Audio)...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Gnohzi9t71s/Xkv3xggIPHI/AAAAAAACy6g/I9zDCTA4pgU6LgRl4dUyKzF1mYojY8O-QCLcBGAsYHQ/s72-c/1AA-4-1024x555.jpg)
RAIS MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MAWAZIRI IKULU DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-Gnohzi9t71s/Xkv3xggIPHI/AAAAAAACy6g/I9zDCTA4pgU6LgRl4dUyKzF1mYojY8O-QCLcBGAsYHQ/s1600/1AA-4-1024x555.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-l1rWwDpWYhY/Xs6INXd6k3I/AAAAAAALrxQ/6Y8z25ru-Eo_Bj59JZyBgVhtJnNw-rJqQCLcBGAsYHQ/s72-c/1...jpg)
Rais Dkt. Magufuli aongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri Ikulu ya Chamwino
![](https://1.bp.blogspot.com/-l1rWwDpWYhY/Xs6INXd6k3I/AAAAAAALrxQ/6Y8z25ru-Eo_Bj59JZyBgVhtJnNw-rJqQCLcBGAsYHQ/s640/1...jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-kGfkvoIaat4/Xs6INhskafI/AAAAAAALrxU/tSsW5lusR6AWVzOgqzum_OwaPuK_Qi7rgCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-gm1jwSAnouA/Xs6INgWqfWI/AAAAAAALrxY/FWDUJ8-FFV0ujADpSLFyJEcheBsGULhbwCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZJa60fEJRH8/Xs6IOJfVe-I/AAAAAAALrxc/NdHoUVJOSoMDPYtc_0uEVDteAga_tmdbgCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-1Xpb-OUjUr4/Xs6IOswkCMI/AAAAAAALrxg/uY8gpVNXnZIA-dXy1gK4oguX343H1_xkACLcBGAsYHQ/s640/4.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tIE8aUd7CYI/Xkve9HeF0BI/AAAAAAALd4U/gWKOoJvJaUAATF-AvlejwPtyxAHcQh1nwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS DKT. MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MAWAZIRI IKULU JIJINI DAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-tIE8aUd7CYI/Xkve9HeF0BI/AAAAAAALd4U/gWKOoJvJaUAATF-AvlejwPtyxAHcQh1nwCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-d8yOuXq88Tw/XkvfHcVu8zI/AAAAAAALd4Y/Lv-HBXfi9KYwzp7mvyCR3dyXRdiLqkhqQCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://4.bp.blogspot.com/-nfUX-E5Clec/XmaKZeNpd6I/AAAAAAACIa0/6RIEMwB6628PxwSFijIpm5iycGJbOeLtwCLcBGAsYHQ/s72-c/1%2B%25282%2529.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MAWAZIRI, IKULU JIJINI DAR ES SALAAM, LEO
![](https://4.bp.blogspot.com/-nfUX-E5Clec/XmaKZeNpd6I/AAAAAAACIa0/6RIEMwB6628PxwSFijIpm5iycGJbOeLtwCLcBGAsYHQ/s400/1%2B%25282%2529.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-X5LwC1ET4SA/XmaJbDyymlI/AAAAAAACIas/t1CuzCuCgcItkEQkKLF6Sli7lct5fJLlwCLcBGAsYHQ/s400/2%2B%25281%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-1E4ba-7TFsQ/VmvyutuejCI/AAAAAAAILwc/BIuS9IqJUAI/s72-c/MMG_2583.jpg)
RAIS DKT. MAGUFULI AWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI LEO IKULU JIJINI DAR ES SALAAM.
![](http://2.bp.blogspot.com/-1E4ba-7TFsQ/VmvyutuejCI/AAAAAAAILwc/BIuS9IqJUAI/s640/MMG_2583.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akimuapisha waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Mhongo katika hafla fupi ya kuwaapisha Mawaziri na Manaibu Waziri, leo katika ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam.
![](http://4.bp.blogspot.com/-ogRoevG5yFI/Vmv1aNbcIvI/AAAAAAAILxI/1ETFwJp5i-A/s640/MMG_2597.jpg)