Bomu lalipuka nje ya ikulu ya rais Yemen
Bomu limelipuka nje ya ikulu ya rais wa Yemen, katika mji mkuu, Sanaa, mji ambao sasa unadhibitiwa na wapiganaji wa Houthi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili20 Jan
Waasi 'waiteka' ikulu ya Rais Yemen
11 years ago
Habarileo07 May
Bomu lalipuka eneo la Kanisa
BOMU limelipuka katika nyumba ya kulala wageni iliyopo katika eneo la Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT), Usharika wa Imani, jijini Mwanza na kujeruhi vibaya mtumishi wa kanisa hilo.
11 years ago
Mwananchi07 May
Bomu lalipuka, lajeruhi kanisani
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzTY94yzCcJeJ0-ikXd*m6muMqBiafZsRAL6Ngqy*KD2RWUsbM1-9n-GJQKIJZf2koBdgk8s6g06Iiei5Ijfu80NOt3MwcTn/IMG20140414WA00001.jpg?width=650)
BOMU LALIPUKA NA KUJERUHI ARUSHA
11 years ago
BBCSwahili26 Dec
Bomu lalipuka ndani ya basi Msri
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
BOMU LALIPUKA BAR, LAJERUHI ZAIDI YA 10 ARUSHA
11 years ago
Mwananchi14 Jun
Bomu lalipuka Zanzibar,mmoja afa saba wajeruhiwa
11 years ago
Dewji Blog14 Apr
Breaking News…Bomu lalipuka na kujeruhi mamia ya watu Arusha Night Park usiku huu
Habari za kuthibitika kutoka chanzo chetu kinasema watu wasiofahamika wamerusha bomu la mkono (Granade) kwenye Bar maarufu jijini Arusha inayofahamika kwa jina la Arusha Night Park almaarufu kama “Matako Bar” iliyopo maeneo ya Mianzini.
Chanzo chetu kinasema kuwa watu wawili wamepoteza maisha hadi sasa na wengine wengi idadi isiyofahamika wamejeruhiwa vibaya huku wengine wakiwa wamekatika mikono, miguu na kuchuruzikwa na damu.
Mkasa huo umetokea wakati umati wa watu ukiwa umekusanyika...
11 years ago
Dewji Blog14 Apr
Breaking News…Bomu lalipuka na kujeruhi watu kadhaa Arusha Night Park usiku huu
Habari za kuthibitika kutoka chanzo chetu kinasema watu wasiofahamika wamerusha kitu kinachosadikiwa kuwa ni bomu la mkono (Granade) kwenye Bar maarufu jijini Arusha inayofahamika kwa jina la Arusha Night Park iliyopo maeneo ya Mianzini.
Chanzo chetu kinasema kuwa watu kadhaa wamejeruhiwa vibaya kutokana na mlipuko huo.
Tukio hilo limetokea wakati umati wa watu ukiwa umekusanyika kwenye Bar hiyo ukitazama mpira jioni hii.
MOblog inaendelea kufuatilia kwa ukaribu zaidi na tutaendelea...