Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bomoabomoa Dar? Wanaotoa mimba? Nauli mwendokasi? Majipu ya Dk.Mwakyembe? (+Audio)

Magazeti ya January 6 2016 yako mtaani na hapa ninazo stori kubwakubwa zilizoguswa na uchambuzi wa Magazetini kwenye show ya Powerbreakfast Clouds FM… Waziri Mkuu Majaliwa awaonya madaktari wanaotoa mimba wasichana Ruvuma, atishia kuwachukulia hatua… Mahakama Kuu yazuia bomoabomoa kwenye nyumba 674 Dar, Naibu Waziri Kigwangalla aridhishwa na huduma katika hospitali ya Muhimbili. Wadau wakerwa bei ya […]

The post Bomoabomoa Dar? Wanaotoa mimba? Nauli mwendokasi? Majipu ya Dk.Mwakyembe?...

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Safari za nje TZ? Nauli mwendokasi? ‘Bomoabomoa’ Dar na Moshi? Rais JPM kajifungia Ikulu, ‘majipu’? (+Audio)

Alhamisi January 07 2016 imeanza na huu uchambuzi wa stori kubwa za Magazetini, hizi ni baadhi yake na sauti niliyokurekodia. Oparesheni ya kutimua wageni wasio na vibali kuanza leo, bomoabomoa Dar kuathiri watu 200,000 ambao watakosa makazi ya kuishi… Rais Magufuli ajifungia miezi miwili Ikulu bila kusafiri, atumbua vigogo Serikalini. Serikali yapinga nauli za mabasi […]

The post Safari za nje TZ? Nauli mwendokasi? ‘Bomoabomoa’ Dar na Moshi? Rais JPM kajifungia Ikulu, ‘majipu’? (+Audio)...

 

9 years ago

MillardAyo

Jipu la pesa Uswisi? bomoabomoa Dar? wanawake na makalio makubwa, vitambi? #StoriKUBWA.. (+Audio)

Nakupa baadhi ya headlines zilizoguswa na Uchambuzi wa stori za Magazetini January 4 2016 mtu wangu… Mbunge Zitto Kabwe ampa jipu jingine Rais Magufuli, ni la walioweka fedha Uswisi. Bomoabomoa yadaiwa kumhujumu Rais Magufuli, baadhi ya watumishi waendesha zoezi hilo kumfanya achukiwe na waliomchagua Oktoba 2015… Matukio ya ujambazi unaofanywa kwa wateja wanaotoa pesa Benki yatia […]

The post Jipu la pesa Uswisi? bomoabomoa Dar? wanawake na makalio makubwa, vitambi? #StoriKUBWA.. (+Audio)...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Madaktari wanaotoa mimba kukiona 

SERIKALI imesema itaendelea kuwachukulia hatua kali za kisheria na za kinidhamu madaktari watakaogundulika kujihusisha na utoaji wa mimba kinyume na utaratibu. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rose Ndauka aonya wanaotoa mimba

MWANADADA anayefanya vizuri katika tasnia ya filamu nchini, Rose Ndauka, amewaonya wasanii wa kike kuacha tabia ya utoaji mimba kwani ni kinyume cha maadili na ni kujidhalilisha. Akizungumza jijini Dar...

 

10 years ago

Bongo Movies

Irene Uwoya Alia na Wanaotoa Mimba

Staa mrembo kutoka Bongo Movies,amewaasa wanawake  kuacha kutoa mimba hata kama  watakumbana na mtatizo,kwani mtoto ndio kila kitu katika maisha.

Msanii huyu alitoa wito huo hivi juzi kati akiwataka  wajawazito wote waliokataliwa  na wapenzi wao kuonyesha kuwa  wao  ni wanawake majasiri  kwa kutothubutu kutoa mimba hizo.

‘Mtoto  ni zawadi  kutoka kwa  Mungu, siku ya leo  nawashauri wanawake  wanaokataliwa  mimba na wapenzi wao wasitoe wala kufanya  chochote muonyeshe kama wewe ni mwanamke...

 

9 years ago

Habarileo

‘Madaktari wanaotoa mimba wanafunzi wafukuzwe kazi’

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameagiza kufukuzwa kazi kwa madaktari na wahudumu ya sekta ya afya katika hospitali ya mkoa wa Ruvuma, wanaojihusisha na vitendo vya utoaji mimba kwa wanafunzi na hata watu wazima.

 

9 years ago

GPL

WEMA NA FUNDISHO KWA WANAWAKE WANAOTOA MIMBA

Hamida Hassan Shauku ya wanawake wengi kuitwa mama ni kubwa sana, namaanisha kwamba kuwa na mtoto ni moja ya heshima ambayo wanawake wengi wanaililia, walio kwenye ndoa na hata wale walio nje ya ndoa.....Soma zaidi====>http://bit.ly/1EGHTkS

 

10 years ago

Habarileo

Madaktari wanaotoa mimba kinyume na taratibu kukiona

Naibu Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Tamisemi, Aggrey MwanriSERIKALI imesema itaendelea kuwachukulia hatua kali za kisheria na za kinidhamu madaktari wote watakaogundulika kujihusisha na utoaji wa mimba kinyume na utaratibu.

 

9 years ago

CHADEMA Blog

KAMA KWELI SERIKALI INATAKA KUTIBU MAJIPU IWEKE WAZI RIPOTI ZA MWAKYEMBE NA SITTA - MNYIKA

Mbunge wa Jimbo la Kibamba, John Mnyika, ameomba ripoti za kamati za uchunguzi zilizoundwa na mawaziri wa Wizara ya Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe na Samuel Sitta, kuhusu Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) ziwekwe hadharani.Amesema kuwekwa hadharani kwa ripoti hizo kutaondoa usiri na kusaidia kubaini ufisadi uliokithiri katika mamlaka hiyo ili hatua za kuwasimamisha vigogo wa TPA na wa Mamlaka

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani