Rose Ndauka aonya wanaotoa mimba
MWANADADA anayefanya vizuri katika tasnia ya filamu nchini, Rose Ndauka, amewaonya wasanii wa kike kuacha tabia ya utoaji mimba kwani ni kinyume cha maadili na ni kujidhalilisha. Akizungumza jijini Dar...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo530 Sep
Rose Ndauka na Chiwaman waachana, ndoto za ndoa zayeyuka, Rose athibitisha
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-tvX1juUUUZ8/XnY2liOozBI/AAAAAAACJCU/nYRTRMFLK1ANuiZa8kv0TC4ZDth4EsygwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200321_180750_047.jpg)
WAZIRI MKUU AONYA WANAOPOTOSHA NA WANAOTOA KIHOLELA TAARIFA ZA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-tvX1juUUUZ8/XnY2liOozBI/AAAAAAACJCU/nYRTRMFLK1ANuiZa8kv0TC4ZDth4EsygwCLcBGAsYHQ/s320/IMG_20200321_180750_047.jpg)
DODOMA, Tanzania
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameonya juu ya baadhi ya Watu wanapotosha na wanaotoa kiholela taarifa kuhusu ugonjwa wa homa ya mapafu unaosababishwa na virusi vya Corona hapa nchini.
Amesema kuanzia sasa taarifa hizo zitatolewa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya...
10 years ago
GPLALIYEKUWA MCHUMBA WA ROSE NDAUKA, MALICK BANDAWE ATEMBELEA GPL, AFUNGUKA KISA CHA KUACHANA NA ROSE
10 years ago
Tanzania Daima05 Nov
Madaktari wanaotoa mimba kukionaÂ
SERIKALI imesema itaendelea kuwachukulia hatua kali za kisheria na za kinidhamu madaktari watakaogundulika kujihusisha na utoaji wa mimba kinyume na utaratibu. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa...
10 years ago
Bongo Movies25 Mar
Irene Uwoya Alia na Wanaotoa Mimba
Staa mrembo kutoka Bongo Movies,amewaasa wanawake kuacha kutoa mimba hata kama watakumbana na mtatizo,kwani mtoto ndio kila kitu katika maisha.
Msanii huyu alitoa wito huo hivi juzi kati akiwataka wajawazito wote waliokataliwa na wapenzi wao kuonyesha kuwa wao ni wanawake majasiri kwa kutothubutu kutoa mimba hizo.
‘Mtoto ni zawadi kutoka kwa Mungu, siku ya leo nawashauri wanawake wanaokataliwa mimba na wapenzi wao wasitoe wala kufanya chochote muonyeshe kama wewe ni mwanamke...
9 years ago
Habarileo07 Jan
‘Madaktari wanaotoa mimba wanafunzi wafukuzwe kazi’
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameagiza kufukuzwa kazi kwa madaktari na wahudumu ya sekta ya afya katika hospitali ya mkoa wa Ruvuma, wanaojihusisha na vitendo vya utoaji mimba kwa wanafunzi na hata watu wazima.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bGawF3RRkafI63M9Ver9K72cC6wy1m6*C77Q1DGA8x4tQvc1MK5Nnvp3Vd3WxemCVACOKhaW0Y3V00RwjqGdBEbNo0k7yJ80/d1c64406b95c11e280ad22000a1fbe2f_7.jpg?width=650)
WEMA NA FUNDISHO KWA WANAWAKE WANAOTOA MIMBA
10 years ago
Habarileo05 Nov
Madaktari wanaotoa mimba kinyume na taratibu kukiona
SERIKALI imesema itaendelea kuwachukulia hatua kali za kisheria na za kinidhamu madaktari wote watakaogundulika kujihusisha na utoaji wa mimba kinyume na utaratibu.
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Bomoabomoa Dar? Wanaotoa mimba? Nauli mwendokasi? Majipu ya Dk.Mwakyembe? (+Audio)
Magazeti ya January 6 2016 yako mtaani na hapa ninazo stori kubwakubwa zilizoguswa na uchambuzi wa Magazetini kwenye show ya Powerbreakfast Clouds FM… Waziri Mkuu Majaliwa awaonya madaktari wanaotoa mimba wasichana Ruvuma, atishia kuwachukulia hatua… Mahakama Kuu yazuia bomoabomoa kwenye nyumba 674 Dar, Naibu Waziri Kigwangalla aridhishwa na huduma katika hospitali ya Muhimbili. Wadau wakerwa bei ya […]
The post Bomoabomoa Dar? Wanaotoa mimba? Nauli mwendokasi? Majipu ya Dk.Mwakyembe?...