WAZIRI MKUU AONYA WANAOPOTOSHA NA WANAOTOA KIHOLELA TAARIFA ZA CORONA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Wakuu wa Mikoa , Makatibu Tawala wa Mikoa na Waganga Wakuu wa Mikoa kwa njia ya video akiwa ofisini kwake Mlimwa jijini Dodoma, Machi 21, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
DODOMA, Tanzania
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameonya juu ya baadhi ya Watu wanapotosha na wanaotoa kiholela taarifa kuhusu ugonjwa wa homa ya mapafu unaosababishwa na virusi vya Corona hapa nchini.
Amesema kuanzia sasa taarifa hizo zitatolewa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWAZIRI MKUU AONYA WANAOPOTOSHA KUHUSU CORONA
Amesema kuanzia sasa taarifa hizo zitatolewa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto na ikilazimika zitatolewa na Waziri Mkuu na ikilazimika sana zitatolewa na viongozi wakuu wa nchi ili kuepusha mikanganyiko.
Waziri Mkuu ametoa onyo hilo leo (Jumamosi, Machi 21, 2020)...
5 years ago
CCM Blog
WAZIRI MKUU AONYA WAPOTOSHAJI KUHUSU CORONA

Amesema kuanzia sasa taarifa hizo zitatolewa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto na ikilazimika zitatolewa na Waziri Mkuu na ikilazimika sana zitatolewa na viongozi wakuu wa nchi ili kuepusha mikanganyiko.
Waziri Mkuu ametoa onyo hilo leo (Jumamosi, Machi 21, 2020)...
11 years ago
Tanzania Daima05 Jun
Rose Ndauka aonya wanaotoa mimba
MWANADADA anayefanya vizuri katika tasnia ya filamu nchini, Rose Ndauka, amewaonya wasanii wa kike kuacha tabia ya utoaji mimba kwani ni kinyume cha maadili na ni kujidhalilisha. Akizungumza jijini Dar...
11 years ago
Habarileo07 Oct
Lowassa aonya wanaouza ardhi kiholela
WAZIRI Mkuu mstaafu, Edward Lowassa amesema kuwa tatizo la ardhi wilayani Monduli mkoani Arusha ni kubwa kuliko inavyofikiriwa na umasikini unapiga hodi kwa kasi kubwa katika wilaya hiyo, kutokana na uuzwaji holela wa ardhi kwa thamani ndogo.
11 years ago
Michuzi
WAZIRI MKUU AONYA MATUMIZI YA RUSHWA UCHAGUZI MKUU

Ametoa onyo hilo leo mchana (Jumapili, Julai 27, 2014) wakati akizungumza na mamia ya waumini na viongozi mbalimbali waliohudhuria ibada ya uzinduzi wa dayosisi mpya ya Ruvuma ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) na kuwekwa wakfu Askofu Amon Mwenda aliyeteuliwa kuongoza dayosisi hiyo.
“Ninawasihi...
11 years ago
Dewji Blog09 Apr
WAZIRI Muhongo amesema wananchi wanaotoa taarifa za uongo kulipwa fidia ni wezi sawa na wezi wa maofisini wa mali za Umma
Mbunge wa jimbo la Iramba Magharibi na Naibu Waziri wa Fedha, Mh. Mwingulu Nchemba, akizungumza kwenye mkutano wa hadhara katika kijiji cha Kaselya wilaya ya Iramba.Wa kwanza kulia ni Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo na wa pili kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Iramba Yahaya Nawanda.
Na.Nathaniel Limu-Singida
WAZIRI wa NIishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (MB), amesema wananchi wanaotoa taarifa za uongo ili waweze kulipwa fidia wakati hawastahili, ni wezi sawa na...
5 years ago
BBCSwahili26 Jun
Virusi vya corona: Dereva bajaji wanaotoa mafunzo ya Corona nchini Tanzania
5 years ago
BBCSwahili22 Mar
Magufuli awakemea wanaopotosha jamii kuhusu ugonjwa wa corona
5 years ago
BBCSwahili13 May
Virusi vya corona:Daktari mkuu wa aonya kuhusu uwezekano wa kusambaa zaidi kwa Covid-19 Marekani