Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magufuli awakemea wanaopotosha jamii kuhusu ugonjwa wa corona

Rais wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli amekemea tabia ya watu kufanya mzaha na kutisha wengine kupitia mitandao ya kijamii juu ya ugonjwa wa homa ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona (Covid-19).

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

VIONGOZI WA DINI WAHIMIZWA KUISADIA SERIKALI KUELIMISHA JAMII KUHUSU UGONJWA WA CORONA

Viongozi wa dini nchini wamehimizwa kuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha kuwa wanaisaidia Serikali,katika kuhamasisha jamii kuhusiana na kujikinga na maambukizi ya Virusi vya Corona vinavyosababisha Ugonjwa wa Covid-19.
Akizungumza na Vyombo vya habari Msemaji wa Taasisi ya dini ya Kiislaamu ya TWARIQA Qadiria,Jalailania Arrasziqia Tanzania Shekhe Haruna Hussein alisema viongozi wa dini Wana nafasi kubwa Sana katika kusaidia mapambano haya ya Virusi vya Corona,kwa kuhakikisha kuwa katika...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU AONYA WANAOPOTOSHA KUHUSU CORONA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameonya juu ya upotoshwaji na utoaji holela wa taarifa kuhusu ugonjwa wa homa ya mapafu unaosababisha na virusi vya corona (COVID 19) unaofanywa na watu mbalimbali nchini.
Amesema kuanzia sasa taarifa hizo zitatolewa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto na ikilazimika zitatolewa na Waziri Mkuu na ikilazimika sana zitatolewa na viongozi wakuu wa nchi ili kuepusha mikanganyiko.
Waziri Mkuu ametoa onyo hilo leo (Jumamosi, Machi 21, 2020)...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Rais Magufuli asema ana imani ugonjwa wa corona umeondolewa kwa nguvu za Mwenyezi Mungu

Rais Magufuli aliwaomba raia wa taifa hilo kutumia siku tatu kuanzia tarehe 17 hadi 19 Aprili 2020, kumuomba Mwenyezi Mungu ili kuwaepusha na janga la ugonjwa wa corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Maswali yako kuhusu ugonjwa wa corona yanajibiwa

Kuna utofauti gani kati ya mafua na corona? Barakoa inasaidia? Ngono inaweza kusababisha maambukizi ya ucorona?

 

11 years ago

BBCSwahili

Mugabe awakemea mabalozi kuhusu ushoga

Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe, ametishia kuwafukuza kutoka nchini humo wanadiplomasia wanaopigia debe mapenzi ya jinsia moja.

 

5 years ago

Michuzi

Dkt. Ndugulile aiagiza NIMR kufanya utafiti kuhusu ugonjwa wa Corona

WAMJW- Dar es Salaam.         WIZARA ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imeitaka Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) kufanya utafiti kuhusu ugonjwa wa Corona (Covid-19) kwa kuwa kuna tofauti kubwa ya dalili zilizojitokeza kwa wagonjwa hapa nchini ukilinganisha na wagonjwa waliopo nje ya  nchi.

Agizo hilo limetolewa na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Faustine Ndugulile wakati alipokutana na watafiti wa taasisi...

 

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI MKUU AONYA WANAOPOTOSHA NA WANAOTOA KIHOLELA TAARIFA ZA CORONA


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Wakuu wa Mikoa , Makatibu Tawala wa Mikoa na Waganga Wakuu wa Mikoa kwa njia ya video akiwa ofisini kwake Mlimwa jijini Dodoma, Machi 21, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)







DODOMA, Tanzania
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameonya juu ya baadhi ya Watu wanapotosha na wanaotoa kiholela taarifa kuhusu ugonjwa wa homa ya mapafu unaosababishwa na virusi vya Corona hapa nchini.
Amesema kuanzia sasa taarifa hizo zitatolewa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani