Magufuli awakemea wanaopotosha jamii kuhusu ugonjwa wa corona
Rais wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli amekemea tabia ya watu kufanya mzaha na kutisha wengine kupitia mitandao ya kijamii juu ya ugonjwa wa homa ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona (Covid-19).
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7c16QPeNAw8/Xo1vcej6r5I/AAAAAAALmdM/QNyRdAFOCHU7Lt96lT1PamjANu7tnMvMwCLcBGAsYHQ/s72-c/d79fae8f-60c5-4aa4-ab24-7f03bbdd2cbc.jpg)
VIONGOZI WA DINI WAHIMIZWA KUISADIA SERIKALI KUELIMISHA JAMII KUHUSU UGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-7c16QPeNAw8/Xo1vcej6r5I/AAAAAAALmdM/QNyRdAFOCHU7Lt96lT1PamjANu7tnMvMwCLcBGAsYHQ/s400/d79fae8f-60c5-4aa4-ab24-7f03bbdd2cbc.jpg)
Akizungumza na Vyombo vya habari Msemaji wa Taasisi ya dini ya Kiislaamu ya TWARIQA Qadiria,Jalailania Arrasziqia Tanzania Shekhe Haruna Hussein alisema viongozi wa dini Wana nafasi kubwa Sana katika kusaidia mapambano haya ya Virusi vya Corona,kwa kuhakikisha kuwa katika...
5 years ago
MichuziWAZIRI MKUU AONYA WANAOPOTOSHA KUHUSU CORONA
Amesema kuanzia sasa taarifa hizo zitatolewa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto na ikilazimika zitatolewa na Waziri Mkuu na ikilazimika sana zitatolewa na viongozi wakuu wa nchi ili kuepusha mikanganyiko.
Waziri Mkuu ametoa onyo hilo leo (Jumamosi, Machi 21, 2020)...
5 years ago
Michuzi5 years ago
BBCSwahili07 Jun
Virusi vya corona: Rais Magufuli asema ana imani ugonjwa wa corona umeondolewa kwa nguvu za Mwenyezi Mungu
Rais Magufuli aliwaomba raia wa taifa hilo kutumia siku tatu kuanzia tarehe 17 hadi 19 Aprili 2020, kumuomba Mwenyezi Mungu ili kuwaepusha na janga la ugonjwa wa corona.
5 years ago
BBCSwahili19 Mar
Coronavirus: Maswali yako kuhusu ugonjwa wa corona yanajibiwa
Kuna utofauti gani kati ya mafua na corona? Barakoa inasaidia? Ngono inaweza kusababisha maambukizi ya ucorona?
11 years ago
BBCSwahili18 Apr
Mugabe awakemea mabalozi kuhusu ushoga
Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe, ametishia kuwafukuza kutoka nchini humo wanadiplomasia wanaopigia debe mapenzi ya jinsia moja.
5 years ago
CCM Blog![](https://3.bp.blogspot.com/-7JmxluI1jdk/XpceKqSs0-I/AAAAAAACJ1Y/qvX-Or_Lmx0yULpabxIFR2sckf0vukJaACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200415-WA0059.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-04hiM0YNvLQ/XrP1Dqg04XI/AAAAAAALpYY/TbVKZKQ01f4Lp10PxosJKrZxhGm37hUFACLcBGAsYHQ/s72-c/7292aaac-b68b-4f44-98cf-99803afe8dd5.jpg)
Dkt. Ndugulile aiagiza NIMR kufanya utafiti kuhusu ugonjwa wa Corona
WAMJW- Dar es Salaam. WIZARA ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imeitaka Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) kufanya utafiti kuhusu ugonjwa wa Corona (Covid-19) kwa kuwa kuna tofauti kubwa ya dalili zilizojitokeza kwa wagonjwa hapa nchini ukilinganisha na wagonjwa waliopo nje ya nchi.
Agizo hilo limetolewa na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Faustine Ndugulile wakati alipokutana na watafiti wa taasisi...
Agizo hilo limetolewa na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Faustine Ndugulile wakati alipokutana na watafiti wa taasisi...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-tvX1juUUUZ8/XnY2liOozBI/AAAAAAACJCU/nYRTRMFLK1ANuiZa8kv0TC4ZDth4EsygwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200321_180750_047.jpg)
WAZIRI MKUU AONYA WANAOPOTOSHA NA WANAOTOA KIHOLELA TAARIFA ZA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-tvX1juUUUZ8/XnY2liOozBI/AAAAAAACJCU/nYRTRMFLK1ANuiZa8kv0TC4ZDth4EsygwCLcBGAsYHQ/s320/IMG_20200321_180750_047.jpg)
DODOMA, Tanzania
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameonya juu ya baadhi ya Watu wanapotosha na wanaotoa kiholela taarifa kuhusu ugonjwa wa homa ya mapafu unaosababishwa na virusi vya Corona hapa nchini.
Amesema kuanzia sasa taarifa hizo zitatolewa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania