Mugabe awakemea mabalozi kuhusu ushoga
Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe, ametishia kuwafukuza kutoka nchini humo wanadiplomasia wanaopigia debe mapenzi ya jinsia moja.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili22 Mar
Magufuli awakemea wanaopotosha jamii kuhusu ugonjwa wa corona
Rais wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli amekemea tabia ya watu kufanya mzaha na kutisha wengine kupitia mitandao ya kijamii juu ya ugonjwa wa homa ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona (Covid-19).
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LWw0InctTwm1fj0xdPSt6Z28lyz3GI5H2BXU1SoN5fOIpS4uivUYB6LalC-9zMUd7mcmzdFsbEcxvL0PFJzCq3zK1bhs*JEP/KIPA.jpg?width=650)
Kipa Simba afunguka kuhusu ushoga
Kipa wa zamani wa Simba, Andrew Ntalla. Na Sweetbert Lukonge
WIKI iliyopita, kipa wa zamani wa Kagera Sugar na Simba, Andrew Ntalla alielezea mikasa aliyokutana nayo kwenye Klabu ya Simba, nyakati ngumu na ahadi hewa kutoka kwa viongozi waklabu hiyo likiwemo suala la kukosa mahali pa kuishi wakati aliahidiwa kupewa nyumba ya kuishi.
Endelea… NILIPOTOKA kwenye ile gesti ya Manzese ambayo walikuwa wamenipangia kisha...
10 years ago
GPL25 May
11 years ago
BBCSwahili02 Apr
Mugabe asusia mkutano kuhusu CAR
Rais Robert Mugabe amesusia kongamano kuhusu hali katika Jamuhuri ya Afrika ya Kati nchini Ubelgiji baada ya Muungano wa Ulaya kumnyima Visa mkewe Grace.
11 years ago
Mwananchi21 May
Mabalozi 12 EU wamlima Pinda barua kuhusu albino
Mabalozi 12 wa Umoja wa Ulaya (EU), nchini wamemtumia Waziri Mkuu, Mizengo Pinda barua ya wazi wakimtaka kuchukua hatua stahiki kwa watu waliofanya mauaji ya albino wilayani Bariadi, mkoani Simiyu.
9 years ago
MichuziSerikali yazungumza na Mabalozi kuhusu wajibu wao katika Uchaguzi Mkuu
Serikali kupitia Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, imesema kuwa waangalizi wa Uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu, hawatakiwi kutoa tamko lololote kuhusiana na uchaguzi au Kampeni kabla ya Tume ya taifa ya uchaguzi NEC kutangaza matokeo. Waziri husika na Wzara hiyo, Bernard Membe amesema hayo wakati akizungumza na Mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao nchini Tanzania, ambapo amesema waangalizi hao wanaweza kutoa ripoti zao baada ya kuthibitishwa na Wizara hiyo au NEC na...
9 years ago
MichuziMABALOZI MBALIMBALI WAZUNGUMZA KUHUSU MAJUKUMU YAO KATIKA UCHAGUZI MKUU UJAO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KZ4AL469p0U/XvN9LCYzo8I/AAAAAAALvSI/HIKOKHnSoaArPTYI0RoV6dzb3oIC8KWSACLcBGAsYHQ/s72-c/c7cc93d4-7171-4288-bfd1-6bd8ac1890da.jpg)
WAZIRI KIGWANGALLA ATETA NA MABALOZI WA NCHI MBALIMBALI KUHUSU UTAYARI WA TANZANIA KUPOKEA WATALII.
![](https://1.bp.blogspot.com/-KZ4AL469p0U/XvN9LCYzo8I/AAAAAAALvSI/HIKOKHnSoaArPTYI0RoV6dzb3oIC8KWSACLcBGAsYHQ/s640/c7cc93d4-7171-4288-bfd1-6bd8ac1890da.jpg)
Balozi wa Sweden nchini Tanzania, Ulf Kallstig akizungumza na Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla (kulia) leo jijini Dar es salaam.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/f6e869ab-4b74-402f-af98-e06beea37b45.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/94650104-25ea-4f44-a6b5-13c0aefb0a60.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/6dfb5317-2731-4406-b729-8655296cd699.jpg)
Waziri wa Maliasili na Utalii...
11 years ago
Tanzania Daima04 Mar
Mzee wa Upako awakemea wanaharakati
WANAHARAKATI wanawake nchini wametakiwa kuwaheshimu waume zao na kuelewa kuwa mwanamume ni kichwa cha familia. Akizungumza katika kipindi chake cha Tutashinda kinachorushwa hewani na kituo cha runinga cha Channel Ten...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania