Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mugabe asusia mkutano kuhusu CAR

Rais Robert Mugabe amesusia kongamano kuhusu hali katika Jamuhuri ya Afrika ya Kati nchini Ubelgiji baada ya Muungano wa Ulaya kumnyima Visa mkewe Grace.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mugabe awakemea mabalozi kuhusu ushoga

Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe, ametishia kuwafukuza kutoka nchini humo wanadiplomasia wanaopigia debe mapenzi ya jinsia moja.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mkutano wa CAR waahirishwa

Wajumbe kwenye mkutano huo wanasema walitakiwa kuendelea na mkutano usiku kucha ili kubuni mkakati kuhusu mustakabali wa rais wa taifa hilo Michel Djotodia.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wasiwasi wa UN kuhusu CAR

Naibu mkuu wa UN ameelezea wasiwasi kuhusu hali katika Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo, akitaka kikosi maalum cha amani kupelekwa nchini humo

 

9 years ago

BBCSwahili

Rais wa CAR atahadharisha kuhusu uchaguzi

Kaimu Rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, Catherine Samba-Panza, ameonya kuwa maadui wa amani wanajaribu kuzuia uchaguzi mkuu nchini humo usifanyike mwezi Desemba.

 

11 years ago

BBCSwahili

Katibu mkuu wa UN aonya kuhusu ghasia-CAR

Ban Ki-Moon aonya kuwa ghasia katika Jamhuri ya Afrika ya Kati zinaweza kuligawa taifa hilo kwa misingi ya kidini

 

10 years ago

Dewji Blog

Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe awasili Arusha tayari kwa kufungua mkutano wa vijana viongozi wa China na Afrika Ngurudoto

13

14

Rais wa Zimbabwe Mh. Robert Mugabe akishuka kwenye Ndege wakati alipowasili kwenye uwanja wa Ndege wa Kilimanjaro International Airport (KIA) tayari kwa kufungua mkutano wa Vijana Viongozi wa Afrika na China (African- China Young Leaders Forum) unaofanyika kwenye hoteli ya Ngurudoto Mkoani Arusha kwa siku 4 ukijumuisha vijana kutoka mataifa mbalimbali ya Afrika na China, Mzee Robert Mugabe amepokelewa na Makamu wa Rais Mh. Dr. Gharib Bilal kulia na Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Gill asusia wadhfa wa FIfa

Naibu mwenyekiti wa shirikisho la soka la Uingereza amekataa kuhudumu kama mwanakamati wa FIFA Sepp Blatter akiwa Rais

 

11 years ago

Mwananchi

Diwani wa CCM asusia kikao

Diwani wa Kata ya Usagara (CCM), Callos Hizza katikati ya wiki hii alitoka nje wakati Mkutano wa Baraza la Madiwani wa Jiji la Tanga ukiendelea kama ishara ya kupinga kupitishwa mchoro wa Ramani ya Usagara Mashariki, akidai umelenga kupora eneo la kata yake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Afghanistan:Abdullah asusia hesabu ya kura

Wawakilishi wa mgombe urais katika Uchaguzi wa Afghanistan Abdullah Abdullah wamesusia shughuli ya ukaguzi wa kura

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani