Afghanistan:Abdullah asusia hesabu ya kura
Wawakilishi wa mgombe urais katika Uchaguzi wa Afghanistan Abdullah Abdullah wamesusia shughuli ya ukaguzi wa kura
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima31 Aug
ABDULLAH ABDULLAH: Mgombea anayekwamisha matokeo ya uchaguzi Afghanistan
SHUGHULI ya kuhakiki kura nchini Afghanistan inaendelea licha ya wagombea wawili kujiondoa Agosti 27, mwaka huu. Mchakato huo wa kuhesabu upya kura unalenga kusuluhisha mzozo wa uchaguzi ulioibuka kufuatia duru...
11 years ago
BBCSwahili13 Jul
Afghanistan:Kura kuhesabiwa upya
Maafisa wa uchaguzi nchini Afghanistan wajiandaa kuhesabu kura zote millioni nane zilizopigwa katika uchaguzi wa urais.
11 years ago
BBCSwahili20 Jul
Afghanistan:Ukaguzi wa kura waahirishwa
Tume ya Uchaguzi nchini Afghanistan imeahirisha kwa mda ukaguzi wa makaratasi ya kupiga kura katika uchaguzi wa Urais.
10 years ago
Mwananchi29 Mar
Hesabu Kura ya Maoni zinahenyesha viongozi
Somo lolote lenye namba kama hisabati, kwa miaka mingi, litaendelea kusumbua, siyo tu wanafunzi darasani, bali pia watu wazima, baadhi wakiwa ni viongozi.
9 years ago
BBCSwahili26 Oct
Ukosefu wa taa watatiza hesabu ya kura Pemba
Baada ya watanzania wanapiga kura Oktoba 25 kumchagua mrithi wa Rais Jakaya Kikwete shughuli ya kuhesabu kura imeanza tayari
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OmzXdzxeBqzQuk88sTpduBY6-kwN-fIr1vIkgmib4ukVkJ3QmlDOvJan37CBALqDV*JDhTqQkyJ7DtgKAdgxPSW1Mcnyw5yJ/1.jpg?width=650)
WANANCHI AFGHANISTAN WAPIGA KURA KUMCHAGUA RAIS WAO
Mwananchi wa Afghanistan akipiga kura ya kumchagua rais mpya wa nchi hiyo. Rais Hamid Karzai akipiga kura yake mjini Kabul. Mpiga kura…
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-F-fdTyZc12Y/VmPzRymcCDI/AAAAAAAAdGc/2c2F2Y1z2Pc/s72-c/b1.jpg)
PPF YAIBUKA KIDEDE KATIKA UTUNZAJI BORA WA HESABU ZAKE, YATWAA TUZO YA WA HESABU UPANDE WA MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII
![](http://3.bp.blogspot.com/-F-fdTyZc12Y/VmPzRymcCDI/AAAAAAAAdGc/2c2F2Y1z2Pc/s640/b1.jpg)
Na K-Vis Media/Khalfan Said.MFUKO wa Pensheni wa PPF, umeibuka kidedea kwa kutwaa tuzo ya uwasilishaji bora wa hesabu zake katika kipindi cha mwaka 2014.
Katika hafla ya kutoa tuzo kwa taasisi za serikali na za watu binafsi, Bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu, NBAA, imetoa tuzo hizo kwa makampuni na taasisi mbalimbali nchini, ambapo kwa upande wa kundi la Mifuko ya Hifadhi ya Jamii, PPF ndiyo iliibuka ya kwanza ambapo Mkurugenzi wa Fedha wa Mfuko huo, Bw. Martin Mmari kwa niaba ya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Gw9jzbNT4rM/VEkViYtqFAI/AAAAAAAGs_Q/Ju_LZ8YQLoM/s72-c/unnamed.jpg)
KAMATI YA HESABU ZA SERIKALI (PAC) YAJADILI HESABU ZA MWAKA WA FEDHA WA 31 DESEMBA, 2012 BAADA YA RIPOTI YA CAG, KWA SHIRIKA LA BIMA LA TAIFA (NIC)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Gw9jzbNT4rM/VEkViYtqFAI/AAAAAAAGs_Q/Ju_LZ8YQLoM/s1600/unnamed.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-dxcZvVkq42E/VEkVgfeuyaI/AAAAAAAGs-s/dVCHYTLPBPc/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-qR3mZchJ2j4/VMzw1eLqr0I/AAAAAAAHAjQ/YXv1dH0-69E/s72-c/1.jpg)
Bunge laridhishwa na utendaji wa serikali, lapitisha taarifa za za Kamati ya Bajeti, Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), Hesabu za Serikali (PAC), Miundombinu na Nishati na Madini.
Na Hussein Makame, MAELEZO, DodomaKAMATI za Bunge za Serikali za Mitaa (LAAC) na ile ya Hesabu za Serikali (PAC), zimeridhishwa na mafanikio na hatua zilizochukuliwa na Serikali kwa kuongeza mapato yake na kushughulikia changamoto zinazoikabili katika kutekelza majukumu yake.Kufuatia hali hiyo, Bunge limepitisha taarifa za kamati hizo na nyingine tatu, huku Serikali ikiahidi kufanyia kazi yale yote yaliyopendekezwa kwenye taarifa hizo ili kulipeleka Taifa kule kunakotakiwa.Taarifa za Kamati...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania