Afghanistan:Ukaguzi wa kura waahirishwa
Tume ya Uchaguzi nchini Afghanistan imeahirisha kwa mda ukaguzi wa makaratasi ya kupiga kura katika uchaguzi wa Urais.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili13 Jul
Afghanistan:Kura kuhesabiwa upya
Maafisa wa uchaguzi nchini Afghanistan wajiandaa kuhesabu kura zote millioni nane zilizopigwa katika uchaguzi wa urais.
10 years ago
BBCSwahili27 Aug
Afghanistan:Abdullah asusia hesabu ya kura
Wawakilishi wa mgombe urais katika Uchaguzi wa Afghanistan Abdullah Abdullah wamesusia shughuli ya ukaguzi wa kura
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OmzXdzxeBqzQuk88sTpduBY6-kwN-fIr1vIkgmib4ukVkJ3QmlDOvJan37CBALqDV*JDhTqQkyJ7DtgKAdgxPSW1Mcnyw5yJ/1.jpg?width=650)
WANANCHI AFGHANISTAN WAPIGA KURA KUMCHAGUA RAIS WAO
Mwananchi wa Afghanistan akipiga kura ya kumchagua rais mpya wa nchi hiyo. Rais Hamid Karzai akipiga kura yake mjini Kabul. Mpiga kura…
9 years ago
Habarileo27 Oct
Uchaguzi Kwela waahirishwa
UCHAGUZI wa ubunge katika Jimbo la Kwela wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa umeahirishwa kutokana na wananchi wa kata ya Milepa jimboni humo kushindwa kupiga kura baada ya vifaa vyote vya kupigia kura kuteketezwa kwa moto.
11 years ago
BBCSwahili10 Jan
Mkutano wa CAR waahirishwa
Wajumbe kwenye mkutano huo wanasema walitakiwa kuendelea na mkutano usiku kucha ili kubuni mkakati kuhusu mustakabali wa rais wa taifa hilo Michel Djotodia.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-08jiFqBepxM/VnFxgLZmDHI/AAAAAAAIM2E/RCw6gXXNLVo/s72-c/pvg.png)
MKUTANO MKUU WA TFF WAAHIRISHWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-08jiFqBepxM/VnFxgLZmDHI/AAAAAAAIM2E/RCw6gXXNLVo/s640/pvg.png)
Mwishoni mwa mwezi Novemba 2015, Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) mkoa wa wa Ilala ulitoa agizo la kufungwa na kuchukuliwa fedha kutoka kwenye akaunti za Shirikisho la Mpira wa Miguu (TFF) ili kulipa fedha zaidi ya shilingi bilioni 1.6, sehemu kubwa ikiwa ni malipo ya kutoka kwenye mishahara...
10 years ago
BBCSwahili01 Mar
Uchaguzi wa bunge waahirishwa Misri
Tume ya uchaguzi yabadilisha ratiba ya uchaguzi wa wabunge kufuatia uamuzi wa mahakama
9 years ago
BBCSwahili15 Oct
Uchaguzi wa Handeni mjini waahirishwa TZ
Uchaguzi wa ubunge katika jimbo la Handeni mjini nchini Tanzania umeahirishwa kufuatia kifo cha mgombea wa eneo hilo Daktari Abdallah O Kigoda.
11 years ago
BBCSwahili14 May
Uuzaji wa Tiketi za Madola waahirishwa
Uuuzaji wa Tiketi za michezo ya jumuia ya madola umeahirishwa kufuatia hitilafu ya mitambo iliyozuia kuuzwa kwa tiketi laki moja
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania