Uuzaji wa Tiketi za Madola waahirishwa
Uuuzaji wa Tiketi za michezo ya jumuia ya madola umeahirishwa kufuatia hitilafu ya mitambo iliyozuia kuuzwa kwa tiketi laki moja
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi08 Nov
TFF wabadili mfumo uuzaji tiketi
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limedai kuwa mchezo wa leo wa Yanga na Mgambo Shooting tiketi za elektroniki hazitauzwa kwenye magari kama ilivyozoeleka.
11 years ago
BBCSwahili10 Jan
Mkutano wa CAR waahirishwa
Wajumbe kwenye mkutano huo wanasema walitakiwa kuendelea na mkutano usiku kucha ili kubuni mkakati kuhusu mustakabali wa rais wa taifa hilo Michel Djotodia.
9 years ago
Habarileo27 Oct
Uchaguzi Kwela waahirishwa
UCHAGUZI wa ubunge katika Jimbo la Kwela wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa umeahirishwa kutokana na wananchi wa kata ya Milepa jimboni humo kushindwa kupiga kura baada ya vifaa vyote vya kupigia kura kuteketezwa kwa moto.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-08jiFqBepxM/VnFxgLZmDHI/AAAAAAAIM2E/RCw6gXXNLVo/s72-c/pvg.png)
MKUTANO MKUU WA TFF WAAHIRISHWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-08jiFqBepxM/VnFxgLZmDHI/AAAAAAAIM2E/RCw6gXXNLVo/s640/pvg.png)
Mwishoni mwa mwezi Novemba 2015, Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) mkoa wa wa Ilala ulitoa agizo la kufungwa na kuchukuliwa fedha kutoka kwenye akaunti za Shirikisho la Mpira wa Miguu (TFF) ili kulipa fedha zaidi ya shilingi bilioni 1.6, sehemu kubwa ikiwa ni malipo ya kutoka kwenye mishahara...
10 years ago
BBCSwahili01 Mar
Uchaguzi wa bunge waahirishwa Misri
Tume ya uchaguzi yabadilisha ratiba ya uchaguzi wa wabunge kufuatia uamuzi wa mahakama
9 years ago
BBCSwahili15 Oct
Uchaguzi wa Handeni mjini waahirishwa TZ
Uchaguzi wa ubunge katika jimbo la Handeni mjini nchini Tanzania umeahirishwa kufuatia kifo cha mgombea wa eneo hilo Daktari Abdallah O Kigoda.
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-_tpiizw6HqU/ViJtaUBna0I/AAAAAAABXig/Zzz7Z8eQ2OE/s72-c/12031446_408385176020753_9102802074939371140_o.jpg)
MKUTANO WA LOWASSA WAAHIRISHWA TUNDUMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-_tpiizw6HqU/ViJtaUBna0I/AAAAAAABXig/Zzz7Z8eQ2OE/s640/12031446_408385176020753_9102802074939371140_o.jpg)
10 years ago
BBCSwahili08 Feb
Uchaguzi mkuu waahirishwa Nigeria
Tume ya uchaguzi nchini Nigeria imeahirisha uchaguzi kutokana na sababu za kiusalama.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/W-BK82a1GssekkiJCGbuzvIL33L572e1fX4XhVxonLsEaYUTpMGm4JotpDA63N9s*urRhfAr0UXZTlq8yJ4tSB*wEQKIrzhZ/150629114355_burundi_elections_512x288_.jpg)
UCHAGUZI WA BURUNDI WAAHIRISHWA TENA
Askari wakiimarisha ulinzi wakati wa uchaguzi wa wabunge nchini Burundi. Taaswira za hali ya amani nchini Burundi. Msemaji wa Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi, Gervais Abayeho amesema kuwa, uchaguzi wa rais nchini humo uliopangwa kufanyika julai 15 umeahirishwa tena kwa mara nyingine na badala yake utafanyika Julai 21 mwaka huu. Uchaguzi huo umekumbwa na utata baada ya makundi ya upinzani nchini humo kuandamana na kupinga hatua...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania