Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TFF wabadili mfumo uuzaji tiketi

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limedai kuwa mchezo wa leo wa Yanga na Mgambo Shooting tiketi za elektroniki hazitauzwa kwenye magari kama ilivyozoeleka.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Uuzaji wa Tiketi za Madola waahirishwa

Uuuzaji wa Tiketi za michezo ya jumuia ya madola umeahirishwa kufuatia hitilafu ya mitambo iliyozuia kuuzwa kwa tiketi laki moja

 

11 years ago

Tanzania Daima

Elimu bado yahitajika mfumo mpya wa tiketi

KIVUMBI cha raundi ya pili ya Ligi Kuu Tanzania bara kitaanza kutimka Januari 25 kwa miamba 14 kuendelea na kampeni ya kutwaa ubingwa wa ligi hiyo iliyoanza Agosti 24, mwaka...

 

11 years ago

Mwananchi

TFF, TPLB warudisha tiketi za analojia

Dar es Salaam. Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na  Bodi ya Ligi (TPLB) wamesitisha matumizi ya tiketi za elektroniki hadi msimu ujao baada ya mfumo wa kubaini tiketi halali na feki (Turnstile) kushindwa kufanya kazi vizuri.

 

11 years ago

Tanzania Daima

TFF kutoa somo tiketi za elektroniki

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) linatarajiwaa kutoa elimu kwa mashabiki juu ya matumizi ya tiketi za kielektroniki zinazotarajiwa kuanza kutumika rasmi katika raundi ya lala salama ya Ligi Kuu Tanzania...

 

9 years ago

Mwananchi

Serikali kuzungumzia tiketi za kielektroniki, TFF yamua

Wakati Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limepiga kalenda matumizi ya tiketi za elektroniki, Serikali imepanga kutoa tamko kuhusu mfumo huo wiki ijayo.

 

11 years ago

Mwananchi

Wadau waipinga TFF kusimamisha tiketi za kielektroniki

>Wadau mbalimbali wamelalamikia kitendo cha  Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kusimamisha matumizi ya tiketi za elektroniki badala kupambana na  changamoto hizo.

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI KAMWELWE AZINDUA MFUMO WA TIKETI MTANDAO LEO JIJINI DAR

Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Isack Kamwelwe amezindua majaribio ya awali ya mfumo wa ukataji tiketi za mabasi kwa njia ya mtandao nchini utakao simamiwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Aridhini (LATRA) .Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Isack Kamwelwe 
Waziri Kamwelwe amezindua mfumo huo jijini Dar Es salaam ambapo amesema kuwa mfumo huo uliotengenezwa na Kituo cha Taifa cha Kutunza Taarifa (NIDC) utasaidia kupunguza msongamano katika vituo na kurahisisha huduma ya...

 

5 years ago

Michuzi

SHIRIKA LA RELI TANZANIA LAZINDUA MFUMO UKATAJI TIKETI KWA NJIA YA KIELEKTRONIKI

Shirika la Reli Tanzania – TRC lazindua rasmi mfumo mpya wa ukataji tiketi kwa njia ya kielekroniki katika hafla fupi iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano uliopo ofisi ya Makao Makuu ya Shirika jijini Dar es Salaam Aprili 4, 2020.

Hafla hiyo ilihudhuriwa na Mgeni rasmi Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Isack Kamwele, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi TRC Prof. John Wajanga Kondoro, Kaimu Mkurugenzi Mkuu Ndugu Focus ,Mwakilishi kutoka Mamlaka ya Serikali Mtandao Bwana Benedictor...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani