Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TFF, TPLB warudisha tiketi za analojia

Dar es Salaam. Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na  Bodi ya Ligi (TPLB) wamesitisha matumizi ya tiketi za elektroniki hadi msimu ujao baada ya mfumo wa kubaini tiketi halali na feki (Turnstile) kushindwa kufanya kazi vizuri.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

TFF kutoa somo tiketi za elektroniki

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) linatarajiwaa kutoa elimu kwa mashabiki juu ya matumizi ya tiketi za kielektroniki zinazotarajiwa kuanza kutumika rasmi katika raundi ya lala salama ya Ligi Kuu Tanzania...

 

10 years ago

Mwananchi

TFF wabadili mfumo uuzaji tiketi

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limedai kuwa mchezo wa leo wa Yanga na Mgambo Shooting tiketi za elektroniki hazitauzwa kwenye magari kama ilivyozoeleka.

 

11 years ago

Mwananchi

Wadau waipinga TFF kusimamisha tiketi za kielektroniki

>Wadau mbalimbali wamelalamikia kitendo cha  Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kusimamisha matumizi ya tiketi za elektroniki badala kupambana na  changamoto hizo.

 

9 years ago

Mwananchi

Serikali kuzungumzia tiketi za kielektroniki, TFF yamua

Wakati Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limepiga kalenda matumizi ya tiketi za elektroniki, Serikali imepanga kutoa tamko kuhusu mfumo huo wiki ijayo.

 

11 years ago

Mwananchi

TPLB: Yanga mtake msitake ni AzamTV tu

Dar es Salaam. Uongozi wa Bodi ya Ligi Tanzania (TPLB), umesema Yanga itake isitake AzamTV itarusha mechi zote na kama hawataki ni bora wakajitoa kwenye Ligi.

 

10 years ago

TheCitizen

TPLB set to hold election next month

The Tanzania Premier League Board (TPLB) will hold a by-election on November 15 to fill a vacant member’s position.

 

5 years ago

Michuzi

TAARIFA MBALIMBALI ZA MICHEZO KUTOKA BODI YA LIGU KUU TANZANIA (TPLB)

Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi katika kikao chake cha Februari 21, 2020 ilipitia taarifa mbalimbali za mechi ya Ligi Kuu Vodacom (VPL), Ligi Daraja la Kwanza (FDL) na Ligi Daraja la Pili (SDL) zinazoendelea hivi sasa. LIGI KUU
Mechi namba 218- Azam FC 1 vs Coastal Union FC 2. 
Klabu ya Azam FC imetozwa faini ya Tsh 1,000,000 (milioni moja) kwa kosa la timu hiyo kuchelewa kutoka uwanjani hata Kamishna alipowaita walikaidi amri ya kutoka vyumbani na golikipa wa timu hiyo...

 

10 years ago

Habarileo

6 tu warudisha fomu za urais CCM

Makao Makuu ya CCM mjini DodomaWIKI moja kabla ya kwisha kwa muda warudisha fomu kwa makada wa CCM waliojitokeza kuwania kupitishwa na chama hicho kuwania urais wa Tanzania, ni wanachama sita tu kati ya 39 ndio waliorudisha fomu mpaka sasa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani